Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii deal ya barabara ni ya upumbavu sana wacha nikuambie. Mimi niliipinga kuanzia siku ya kwanza na nilifurahi ilipoanguka. Sasa kwa nini tupoteze pesa kujenga expressway kutoka Mombasa hadi Nairobi and yet tayari tuna reli ya SGR, ya MGR, na lami kutoka Mombasa hadi Nairobi? Hii ni the most useless project ever. Mimi nipo against it kabisa na vizuri ilijifia. Ukifuata comments zangu za zamani utaona niliupinga huu mradi. Baadaye wakati idadi ya magari itaongezeka basi mradi huu utakuwa sawa lakini sio sasa. Halafu ilikuwa expensive kishenzi, eti ilikuwa inacost around $3.2 billion. Yaani same price na SGR ya Kenya. Halafu US contractors wako expensive sana, kama ingekuwa ni Mchina anajenga basi mradi ungecost pengine $2 billion.
Ni PPP haitatucost chochote. Ni kama expressway tu. Korea watachukua toll kwa miaka fulani
 
One of the top products Kenya exported to Tanzania in 2020 for instance, is soap (a finished product) valued at $41.9m.

Tanzania's leading export to Kenya that same year was rice ( a raw material) valued at $32.9m.
View attachment 2281358

This only confirms our place as the region's leading consumer of electricity
Ww fala kweli ww, sasa soap zote hizo zinazozalishwa Tz bado tutegemee na za Kenya? Kama mnaingiza soap ingizeni ila mjue kabisa hazina wateja.
 
Ni PPP haitatucost chochote. Ni kama expressway tu. Korea watachukua toll kwa miaka fulani
Hio article imesema very clearly that Bechtel walitaka iwe contract paid by GoK and not PPP. Hio ndio ilifanya hio deal ikufe juu GoK ilikuwa inataka hio project ikuwe PPP but Bechtel wanted GoK to pay for the project. Let me quote the relevant section for you:

It is understood that Bechtel declined the financing model proposed by the government. The State wanted a similar model to the Nairobi Expressway, where the American firm would source funding and then recoup its cost through toll fees.
Bechtel Eng. insisted on a contract model where the government would pay for the construction of the expressway.

The U.S contractor reasoned that the public-private partnership model would inflate the cost of the Ksh318 project to Sh1.6 trillion since it would involve borrowing and interest payments which it did not want to get involved in.
“Our approach will always set out to minimize building costs and pursue the fiscally responsible option,” the firm’s spokesperson Aileen Easton was quoted by Engineering News-Record.


 
Ni PPP haitatucost chochote. Ni kama expressway tu. Korea watachukua toll kwa miaka fulani
Expressway Mchina atachukua toll kwa miaka 30[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Miradi yote ya Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, and DRC combined haifikii thamani ya miradi ya Tz, evidence [emoji116][emoji116]View attachment 2281139
Unajua ujinga waliyofanya? Wanawekaje Mozambique huko juu eti wana projects worth $29 billion ilhali LNG project ya Total ilisitishwa kwa sababu ya Ugaidi? Hio ndio tatizo ya Malazy kuokota taka taka kwenye twitter na kupost hapa.
 
Mama alipoingia alitangaza kwamba corona ipo, mask ivaliwe, social distancing ifanyike. Sasa hivi mnapokea watalii kwa sababu mama alisafisha mambo ambayo mwendazake alikuwa ameharibu. Hamgepata watalii ikiwa bado mngekuwa mnashupaza shingo kwamba hakuna cha kufuata mawaidha ya wanasayansi kuhusu corona. Pia biashara kati ya Tanzania na Kenya imeimarika kwa sababu ya upole wa mama. Hapo namshukuru mama sana. Najua Wakulima wenu pia wanafurahia sana. Huyo mwendazake alikuwa anaichukia Kenya vinoma.
Hapa mama aliamua kucheza na akili za watu waliokuwa wakipinga uwepo wa corona hapa Tanzania. Kwa kutumia ukubwa wake kauli yake ya kusema ikasikika na kuwapa hope walioko nje kwamba sasa Tanzania iko salama hatua za kudhibiti ugonjwa zinachukuliwa.

Magufuli alikuwa anajenga imani kwamba msiogope na kweli watu wengi walianza kuishi kwa matumaini na maisha yakasonga ndani ya nchi ila nje ya nchi ikatafsirika kama jeuri na dharau.

Baada ya kifo chake hatukusikia kelele nyingi tena kwamba hatufuati masharti ya kujikinga na korona kwasbabu mama alishalinyamazisha.

Hivi unadhani tulikuwa tunavaa kweli masks huku kwetu vijijini? Ni kwenye hafla tu kwa viongozi wa Kitaifa kama mnavyoona, na hapa aliweza sana kuwaaminisha.

Hivi kama tungejilock down ingekuwaje kwa watu kama sisi pangu pakavu tia mchuzi upapase? Nakwambia tungekwish kwa njaa, ili tuishi tunategemea kutoka ndipo urudi na kitu, wengi wangekufa si kwa maambukizi bali kwa njaa.

Hatukujifungia ndani lakini maambukizi na vifo vilikuwa juu Kenya kuliko Tanzania ambao hatukujifungia ndani.Kwenye kuvutia utalii baada ya mama kutangaza watu wachukue hatua uko sahihi.
 
Hio article imesema very clearly that Bechtel walitaka iwe contract paid by GoK and not PPP. Hio ndio ilifanya hio deal ikufe juu GoK ilikuwa inataka hio project ikuwe PPP but Bechtel wanted GoK to pay for the project. Let me quote the relevant section for you:

It is understood that Bechtel declined the financing model proposed by the government. The State wanted a similar model to the Nairobi Expressway, where the American firm would source funding and then recoup its cost through toll fees.
Bechtel Eng. insisted on a contract model where the government would pay for the construction of the expressway.

The U.S contractor reasoned that the public-private partnership model would inflate the cost of the Ksh318 project to Sh1.6 trillion since it would involve borrowing and interest payments which it did not want to get involved in.
“Our approach will always set out to minimize building costs and pursue the fiscally responsible option,” the firm’s spokesperson Aileen Easton was quoted by Engineering News-Record.


Sa hii ni wakorea wanajenga na model ni PPP
 
Ndio tango pori linalo tayarishwa. Toa ushahidi wa hilo.
Fatilia mambo vizuri uwe armed na facts sio unalishwa matango pori tuu.

Under Mama [emoji116]




Under Magufuli [emoji116]

Used trains 2 electric locomotives + 30 used double decker coaches in 2020. Hakuna taarifa za mkataba wa kampuni waliyonunulia mpaka juzi wamevunja mkataba ndio wanaitaja Eurowagon. Mkataba wa kificho sana huu na ndio maana walikuwa na kigugimizi kuutaja.
 
Fatilia mambo vizuri uwe armed na facts sio unalishwa matango pori tuu.

Under Mama [emoji116]




Under Magufuli [emoji116]

Used trains 2 electric locomotives + 30 used double decker coaches in 2020. Hakuna taarifa za mkataba wa kampuni waliyonunulia mpaka juzi wamevunja mkataba ndio wanaitaja Eurowagon. Mkataba wa kificho sana huu na ndio maana walikuwa na kigugimizi kuutaja.
Ngoja nikuulize mkuu mana naona kama una ndimi mbili, kati ya Magufuli na Samia nani ni the best president.
 
Order inayofuata inabidi iwe ya ndege 10. Dreamliners 5, max 3, turbo prop 2 ili kuweza kuserve masoko ya UK, US, France, Mumbai na Guanzhou plus regional na local routes.
Budget yake kaka mkubwa tutaweza?
 
Sisi ambao hatujawahi toka nje ya Tanzania tumeambiwa kuwa Kenya watu wanakufa na njaa, wanakufa na cholera, maji ya bomba taabu, watu wachache mabeberu wanasiasa na matajiri ndio wanamiliki ardhi na pia watu wengi wa hali ya kati na chini wanakaa kwenye malazi hatarishi sijui ndio slums mnazozizungumzia humu ndani.
Hebu nufafanulie kuwa hicho tulichoambiwa ni kweli ama uongo kwa faida ya sisi ambao hatuna exposure.
Nasubiria majibu kwa hamu hapa,ngoja niandae pen na daftari nitake notices labda nitafunguka macho [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Sa hii ni wakorea wanajenga na model ni PPP
Oh, I was not aware of that. Kama ni PPP basi ni sawa.
 
Back
Top Bottom