Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watuambie hao WB, population ya Uganda ni kiasi gani na GDP ya Uganda ni kiasi gani kwa Sasa ili tupige hesabu, wawache kujifanya wajuaji wakati nchi ndizo zenye jukumu la kufanya sensa ya watu kujua idadi Yao na sio WB

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Siku zote tumesema humu ndani haya mashirika ni ya mchongo hamsikii M7 is right about UG being a LMIC.
I think kutakuwa na poor relationship between M7/UG and Bretton Woods institutions.
 
Hii deal ya barabara ni ya upumbavu sana wacha nikuambie. Mimi niliipinga kuanzia siku ya kwanza na nilifurahi ilipoanguka. Sasa kwa nini tupoteze pesa kujenga expressway kutoka Mombasa hadi Nairobi and yet tayari tuna reli ya SGR, ya MGR, na lami kutoka Mombasa hadi Nairobi? Hii ni the most useless project ever. Mimi nipo against it kabisa na vizuri ilijifia. Ukifuata comments zangu za zamani utaona niliupinga huu mradi. Baadaye wakati idadi ya magari itaongezeka basi mradi huu utakuwa sawa lakini sio sasa. Halafu ilikuwa expensive kishenzi, eti ilikuwa inacost around $3.2 billion. Yaani same price na SGR ya Kenya. Halafu US contractors wako expensive sana, kama ingekuwa ni Mchina anajenga basi mradi ungecost pengine $2 billion.
Kweli kabisa kwahiyo price tag ya $3.2bn bora mjenge rail Kenya nzima au muwekeze kwenye viwanda. I think wale wamarekani walitaka serikali ichangie kiasi cha pesa out of $3.2bn ili kupunguza interest kwenye mkopo anbao wangechukua kwa huo mradi.
 
Ni PPP haitatucost chochote. Ni kama expressway tu. Korea watachukua toll kwa miaka fulani
Kwenye PPP ambayo iko fully funded na partner mmoja price huwa inakuwa inflated sana ili kuvutia mwekezaji kuweka hela zake Kwenye mradi na pia ku mitigate changamoto zinazoweza kujitokeza katika uchumi wa nchi husika.
 
That's a protected/reserved land. The only one of its kind in the entire world. That's not some cassava plantation farms like those ones in Dar. How many acres are they by the way? 😂😂😂😂
New York London Paris Tokyo Beijing na miji yote mikubwa duniani haina huo upumbavu wa wanyama pori CBD mlionao ninyi
 
Fatilia mambo vizuri uwe armed na facts sio unalishwa matango pori tuu.

Under Mama
emoji116.png





Under Magufuli
emoji116.png


Used trains 2 electric locomotives + 30 used double decker coaches in 2020. Hakuna taarifa za mkataba wa kampuni waliyonunulia mpaka juzi wamevunja mkataba ndio wanaitaja Eurowagon. Mkataba wa kificho sana huu na ndio maana walikuwa na kigugimizi kuutaja.
uUkiachia kuwa mimi ni mfuatiliaji mzuri pia ni forumer wa platforms nyingi sana.

Ni juzi tu nilishea site ya "Railway-technology.com" na Prof John Njenga Mkenya wa Ujerumani. Huyu Prof ni mmoja wa Wakenya waliokua wakimpinga sana Magufuli na nilideal nae vyema over the years.



1. Sasa ndugu, site tatu ulizo orodhesha hakuna hata site moja iliyo indicate "used" na kutaja unachodai.

2. Kama zilikua order na Magufuli 2020 ushahidi uko wapi? Nimekuomba mara ya pili hii na umetuma sites ambazo hazija mention chochote kuhusu neno "used".

3. Kama zilikuwa ordered na Magufuli, why it took so long kuwa delivered kwakua they are readily available?

Mizigo ya train aliyo order Magufuli ni mingi sana na mingine ni ya MGR.
 
Kenya tumeshaijenga ndio maana tuna Gdp ya $114 billion. Nyie ndio mumeanza kujenga uchumi wenu juzi tu. Bado mna safari ndefu.
Mmejenga nini? Sgr ya 1600km? Au energy source ya kuzalisha 2115MW in one project? Au labda mmejenga a functional BRT system? Embu extrapolate mmejenga nini?
 
Kubwa jinga lenzako......
Mkuu wa wilaya kujifananisha na raisi alopiga campaign na kuchaguliwa na wananchi kwa above 70% ya kura 😂😂😂hiyo ni takataka mbele ya uncle!!
kwani ugomvi? Nime-post opinion yake unaweza soma na usihangaike kunijibu!
 
Unajua ujinga waliyofanya? Wanawekaje Mozambique huko juu eti wana projects worth $29 billion ilhali LNG project ya Total ilisitishwa kwa sababu ya Ugaidi? Hio ndio tatizo ya Malazy kuokota taka taka kwenye twitter na kupost hapa.
Mozambique ana develop gas fields zake na mtambo wa floating LNG umeshatengenezwa tayari ilichobaki ni kuanza production by 3rd quater of this year. Aliyekuambia kuwa mradi wa gas umekuwa suspended amekulisha matango pori.
 
Ngoja nikuulize mkuu mana naona kama una ndimi mbili, kati ya Magufuli na Samia nani ni the best president.
The best president to me is the one who upholds the rule of law, human rights, respect democratic space, freedom of speech and association.

Sasa hapo nichagulie raisi wewe unayeona ananifaa.
 
Back
Top Bottom