Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Attachments

  • Screenshot_20220704-115146.png
    Screenshot_20220704-115146.png
    116 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220704-115226.png
    Screenshot_20220704-115226.png
    43.2 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220704-115441.png
    Screenshot_20220704-115441.png
    60.4 KB · Views: 21
Sasa in terms exchange rates, kati ya Ksh 19 na Ksh 23 ni gani ndio ina unafuu? Shilingi ikipanda dhidi ta dollar sio vizuri kiuchumi ila ikishuka ni afueni kwa wananchi. Stop dragging yourself into matters you don't understand
Dalili za kujifariji ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†..

Import bill inakuwa kubwa na public debt inaongezeka shilingi yenu anapoporomoka.๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220629-080456.png
    Screenshot_20220629-080456.png
    109.6 KB · Views: 14
Hii issue inaenda kuwa campaign agenda huko Kunyaland!
Nategemea upepo na hali ya kisiasa itabadilika Kwa kiwango kikubwa sana katika historia ya siasa na chaguzi zao.

Kutakuwa na mabadiliko makubwa haswa. Tanzania ikiwa catalyst ya yote hayo. Sijui ni coincidence au mipangilio... Ila Kwa round hii tumuombee kheri jirani. Hii testing imekuja wakati ambao hawatakaa wasahau.

Shauri Yao, walikuwa wanabeza sana.
 
Facts, our hospitals are well equipped, that's why we are among the top countries in Africa in terms of health care.
Kazi inaendelea ๐Ÿ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220703-181556.png
    Screenshot_20220703-181556.png
    186.2 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220703-203706.png
    Screenshot_20220703-203706.png
    160.7 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220703-203630.png
    Screenshot_20220703-203630.png
    158 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220704-104559.png
    Screenshot_20220704-104559.png
    235.1 KB · Views: 17
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… ni mwendo wa mipasho tu.. she should be friendly na raia wake kwa maneno mazuri sio mipasho ๐Ÿคฃ

Saiz imebidi nimuonee huruma tu ๐Ÿคฃ

Mtanyooka tuu.Wenye akili ndogo kama wewe hapo ndio mnapewa dozi yenu.
 
Taratibu mnaanza kujifunza kutoka Tanzania kuishi haya maisha ya kitanzania na kujenga kama Watanzania lakini hii ni 0.001% ya kunyaland, 99% middle class wenu bado mpo kwenye Baghdad settlement ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Hapa kidogo mmejaribu kuiga Tanzania

View attachment 2280852
Sasa Dar jiji la uswazi ina nini la kuiga? Makazi kama hayo yamejaa maeneo ya Ruai (which you ignorantly call a slum), Utawala, Athi River, Kitengela, Kamulu, Kiserian, Ngong, Garden Estate na maeneo mengine mengi
 
Yaani nangoja dreamliner ya tatu ije naona Mbarawa hafanyi mchezo kwenye kusainisha BASA! Tayari ameshasaini na UK, France na US! Wasiwasi wangu tutapewa clearance na tuna ndege chache! Tunapaswa na kuwa na at least 7 wide bodies aircraft na hapo kabla ya daily flights! Order inayofuata itabidi mama afumbe macho! Atenge kama $1 bln!
Order inayofuata inabidi iwe ya ndege 10. Dreamliners 5, max 3, turbo prop 2 ili kuweza kuserve masoko ya UK, US, France, Mumbai na Guanzhou plus regional na local routes.
 
Leta pictures tuone kama inaendana na ya muhimbili, we kichaa hujui kama ocean road cancer Institute nayo ni muhimbili wing lakini ni hospital kubwa hakuna mnafanowe kunyaland
unataka kucompare fully fledged Hospital for kids na Wing ya hospitali. ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ wewe primary school dropout wacha upumbavu.

1656931040599.png

Our Hospital โ€“ Shoe4Africa



Our Hospital โ€“ Shoe4Africa
 
Ziko mbili ..list price ya 787-8 ni 240mil usd..ila manufctures hutoa discount kutegemea na vitu mbali mbali mfano ..mkichukua nying at once au mkiweka future commitments etc..sijajua kama ilifanyikwa kwa Tz
.Ukiwa mjanja kuna company nying kubwa zinanunua ndege kwa discount mfano Delta Airlines huwa ni mabingwa wa hio
Ongezea au ukilipa cash bei hupungua kidogo
 
Back
Top Bottom