Mama mimi ninavyoona atafanya mambo mengi makubwa kabla ya kuondoka. Yeye ni silent killer kama Obama ama Kibaki. Hapendi uhasama, drama na vita lakini kwenye ground vitu vinasonga. Hata JNHPP kwa mwaka mmoja ujenzi wake umesonga sana. Sometimes hio stability na peace of mind ndio nchi huwa inahitaji ili mambo yasonge. Ona sasa Magufuli pamoja na mazuri yake yote, mapungufu yake moja ni kutoamini vaccines kutowasikiliza wanasayansi. Wakati nchi zote ukanda huu zilikuwa zinakwenda kwenye lockdown, Tanzania tu ndio ilishupaza shingo kwamba Corona ni kaugonjwa kadogo hakuna haja ya lockdown wala vaccines, unajifukiza tu kisha unakuwa freshi.Ulikuwa unaitafuta..au umeiona baada ya mim kuileta kumjibu Tony kuhusu SGR?😂.. anyway kuhusu mama kuwa mwanamke iko wap hapo kweny comment
Mbona hata media za Kenya hutumia picha za BRT Tanzania!View attachment 2280901
View attachment 2280902
Mama alipoingia alitangaza kwamba corona ipo, mask ivaliwe, social distancing ifanyike. Sasa hivi mnapokea watalii kwa sababu mama alisafisha mambo ambayo mwendazake alikuwa ameharibu. Hamgepata watalii ikiwa bado mngekuwa mnashupaza shingo kwamba hakuna cha kufuata mawaidha ya wanasayansi kuhusu corona. Pia biashara kati ya Tanzania na Kenya imeimarika kwa sababu ya upole wa mama. Hapo namshukuru mama sana. Najua Wakulima wenu pia wanafurahia sana. Huyo mwendazake alikuwa anaichukia Kenya vinoma.Mama mimi ninavyoona atafanya mambo mengi makubwa kabla ya kuondoka. Yeye ni silent killer kama Obama ama Kibaki. Hapendi uhasama, drama na vita lakini kwenye ground vitu vinasonga. Hata JNHPP kwa mwaka mmoja ujenzi wake umesonga sana. Sometimes hio stability na peace of mind ndio nchi huwa inahitaji ili mambo yasonge. Ona sasa Magufuli pamoja na mazuri yake yote, mapungufu yake moja ni kutoamini vaccines kutowasikiliza wanasayansi. Wakati nchi zote ukanda huu zilikuwa zinakwenda kwenye lockdown, Tanzania tu ndio ilishupaza shingo kwamba Corona ni kaugonjwa kadogo hakuna haja ya lockdown wala vaccines, unajifukiza tu kisha unakuwa freshi.
Halafu kuna watu wazimu huwa wanalinganisha Mombasa na Mwanza.3 level interchange Mombasa
View attachment 2281009
Kulinganisha Mombasa na Mwanza ni kama kulinganisha mbingu na ardhi.Halafu kuna watu wazimu huwa wanalinganisha Mombasa na Mwanza.
Kuwa mpole dawa bado haijaisha kwenye bomba.Tulia mlipigwa, bullet train gani inakimbia 160km/hr [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leta pictures tuone kama inaendana na ya muhimbili, we kichaa hujui kama ocean road cancer Institute nayo ni muhimbili wing lakini ni hospital kubwa hakuna mnafanowe kunyalandHio ni wing ambayo iko chini ya main Hospital, hata KNH ikonayo. It's not a children's Hospital. Hospitali ya watoto is dedicated entirely for kids sio wing.
List of children's hospitals - Wikipedia
en.wikipedia.org
Halafu Mikunya inalinganisha bandari ya misaada ya chakula na bandari ya kibiashara 😅😅😅Fursa zinagombania kuja Tz kila uchao, vp kuhusu TAZAMA?
msimu ujao kuna shughuli[emoji122]
Ziko mbiliDreamliner yenu ilicost pesa ngapi? Halafu mna dreamliner moja au mbili?
Investors wakija ndio mnakua wakwanza kupost humu daah wabongo kazi sana[emoji28][emoji28] ni mwendo wa mipasho tu.. she should be friendly na raia wake kwa maneno mazuri sio mipasho [emoji1787]
Saiz imebidi nimuonee huruma tu [emoji1787]
Dar kilosa sitayari man au inaishia moro mjini tuBut hongera kwa Rais SSH kwa kukamilisha kupata wakandaras wa vipande vyote vilibaki from Dar to Mwanza, thats what I really wanted her to accomplish. Sasa ni rasmi line yote ya SGR of over 1200km from Dar to Mwanza is underconstruction. [emoji122]
Mpaka wazidiwe...sis angu alipata tabu sana kupata chance ya kusoma oncology ...sasa mimi ndio nikahangaike na surgery ili iweje,mpaka wazidiwe bana hii nchi ya hovyo sana
Watu tunajenga 1200km of sgr unaongea ujinga gani ww
Mimi sina shida na hiyo. Ndugu yako ichoboy akiona picha ya Nairobi iliyopigwa sehemu fulani kisha maeneo mengine yaonekana huwa anatoa povu sana ndio mimi pia nikampa hiyo picha ya kijitonyama na posta ndani ili atumie akili for once.Unajua hapo utavuka mitaa mingap hadi ufuke posta?sasa hapa kuna mawili either unataka kujua au hujui unajifanya unajua
Ishu yangu hapo ni hio mipasho anayoitoa mkuu.. anapigana na raia wake anaowaongozaInvestors wakija ndio mnakua wakwanza kupost humu daah wabongo kazi sana