Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You have drifted off the question I asked you ukaleta story za hekaya. I asked you to prove your claims that Muhimbili performs 15 heart surgeries in a day.
Jinga kabisa wewe, wewe ulisema kwamba Mimi ninazungumzia hospital Moja pekee, ninakutajia Hospitali zingine zinazowazidi kwa mbali, inaanza kulialia.

Wacheni kujidanganya, Tanzania ni baba lao katika huduma za Afya, hamuwezi kabisa kutufikia

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kaka hauoni kama TRA wamesema wamefikia lengo lao la kodi kwa mwaka jana kwa asilimia 99.2 ..ambayo ni sawa na 10bilion usds..lakini budget yetu ni 18bilion usd ..

weka na non tax revenue maybe 1bil usd..tunahitaji kuongeza hizi kodi na non tax revenue kwa serikali kuongeza investements zake..lakini wakati haya yanafanyika bado miradi inadai ..hela..

if tumechagua ku punch above our weight lazima tukope
Mkuu, kukopa sio tatizo na ni lazima tukope, Mimi mwenyewe nimekopa pesa nyingi Sana, tatizo ni "attitude".

Mama amesema Jana akibaki hapa nchini na kutembelea mikoani hakutokua na maendeleo, lazima asafiri nje ya nchi, huko ndiko kwenye pesa,

Magufuli alikua akisema hii nchi ni tajiri Sana, tukijipanga vizuri kwa kudhibiti na kukusanya mapato na kuziba mianya ya upotevu wa mapato tunaweza kufanya Mambo makubwa hata kuwa "donor country".

Nimemjibu Tony254 kwa kirefu hapo juu kwa kuelezea Mambo mbalimbali aliyotumia Magufuli ili kuongeza uwezo wa serikali katika kukusanya mapato, chukulia suala la kukamata dhahabu na madini mengine yaliyokua yanatoroshwa na kuyataifisha, ilikua haipiti miezi miwili bila kusikia kilo kadhaa za dhahabu zimekamatwa zikitoroshwa na zimetaifishwa.

Kama unakamatwa na dhahabu ya 1B, kwanza unatozwa hiyo 1B, kisha hiyo dhahabu inataifishwa, maana yake serikali imepata 2B.

Kuhusu TRA kufikia malengo yake waliojiwekea, Hilo nalo ni tatizo kubwa, TRA inajiwekea malengo kulingana na mapungufu yake, sio kutokana "standard" za kidunia.

Kawaida Serikali yoyote duniani inapaswa kukusanya 24% ya GDP Kama Kodi, lakini nchi nyingi hukusanya 18%, TRA hadi Leo wanakusanya 13%, Sasa mkuu hayo ni malengo gani yaliyofikiwa hata kustahili kupongezwa?, Wanajiwekea wenyewe malengo ya chini ili waonekane wanafanya kazi vizuri.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Chukua GDP ya Uganda, gawanya kwa population ya Uganda, utapata jibu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hapo kwa population ya Uganda ndio WB wanapinga. Wanasema kwamba population ya Uganda imeongezeka. Mbona hukusoma article niliyopost?
Kwa kifupi ni kwamba unless Uganda waache kuzaana kama panya, wao kuingia middle income itakuwa ni kazi ngumu sana. Ila wakianza kuuza mafuta yao pengine itawasaidia kuvuka.
 
Mkuu, kukopa sio tatizo na ni lazima tukope, Mimi mwenyewe nimekopa pesa nyingi Sana, tatizo ni "attitude".

Mama amesema Jana akibaki hapa nchini na kutembelea mikoani hakutokua na maendeleo, lazima asafiri nje ya nchi, huko ndiko kwenye pesa,

Magufuli alikua akisema hii nchi ni tajiri Sana, tukijipanga vizuri kwa kudhibiti na kukusanya mapato na kuziba mianya ya upotevu wa mapato tunaweza kufanya Mambo makubwa hata kuwa "donor country".

Nimemjibu Tony254 kwa kirefu hapo juu kwa kuelezea Mambo mbalimbali aliyotumia Magufuli ili kuongeza uwezo wa serikali katika kukusanya mapato, chukulia suala la kukamata dhahabu na madini mengine yaliyokua yanatoeoshwa na kuyataifisha, ilikua haipiti miezi miwili bila kusikia kilo kadhaa za dhahabu zimekatwa zikitoroshwa na zimetaidishwa.

Kama unakamatwa na dhahabu ya 1B, kwanza unatozwa hiyo 1B, kisha hiyo dhahabu inataifishwa, maana yake serikali imepata 2B.

Kuhusu TRA kufikia malengo yake waliojiwekea, Hilo nalo ni tatizo kubwa, TRA inajiwekea malengo kulingana na mapungufu yake, sio kutokana "standard" za kidunia.

Kawaida Serikali yoyote duniani inapaswa kukusanya 24% ya GDP Kama Kodi, lakini nchi nyingi hukusanya 18%, TRA hadi Leo wanakusanya 13%, Sasa mkuu hayo ni malengo gani yaliyofikiwa hata kustahili kupongezwa?, Wanajiwekea wenyewe malengo ya chini ili waonekane wanafanya kazi vizuri.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hapo kwa TRA kazi wanayokubwa sana na kiukweli wana underperform kwa ku depend on taxing govt workers only ..instead ya kuongeza base...

Na nchi kweli ni tajiri ..magufuli was a beast on that area cant even compare him to mkapa
 
Hapo kwa population ya Uganda ndio WB wanapinga. Wanasema kwamba population ya Uganda imeongezeka. Mbona hukusoma article niliyopost?
Kwa kifupi ni kwamba unless Uganda waache kuzaana kama panya, wao kuingia middle income itakuwa ni kazi ngumu sana. Ila wakianza kuuza mafuta yao pengine itawasaidia kuvuka.
Watuambie hao WB, population ya Uganda ni kiasi gani na GDP ya Uganda ni kiasi gani kwa Sasa ili tupige hesabu, wawache kujifanya wajuaji wakati nchi ndizo zenye jukumu la kufanya sensa ya watu kujua idadi Yao na sio WB

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tena hawa mbwa huwa wanatumia Picha nyingi za Tz ikiwemo mastar wa Tz wakisema ni wa Kenya. Ila kinachoniudhi ni hz media zetu bongo kutumia picha za diesel SGR kuongelea electrifitried SGR wanaidhalilisha sn European standard SGR yetu.
Media zetu sometimes zinazingua unakuta hawajishughulishi kwenda deep kupata habari mostly wanadeal na habari nyepesi nyepesi (udaku mostly).
 
Jinga kabisa wewe, wewe ulisema kwamba Mimi ninazungumzia hospital Moja pekee, ninakutajia Hospitali zingine zinazowazidi kwa mbali, inaanza kulialia.

Wacheni kujidanganya, Tanzania ni baba lao katika huduma za Afya, hamuwezi kabisa kutufikia

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Huyo dogo ni kondoo sana sielewi mbona unapoteza muda wako kumjibu.

Tangu abishe mixer mishipa kumtoka kuwa miradi ya Tanzania huwa hawalipi fidia kwenye maeneo iliyopitiwa na miradi mfano SGR na ndio maana miradi ya Tanzania sio ghali imebidi nimpuuze maana ni mpumbav bora angekuwa mjinga angefundishika ila sasa ni mpumbav na mjuaji wa kishamba na siku zote bora mjinga kuliko mpumbav.

Yaani wanasiasa wao wanawadanganya kama makondoo ili wasilalamike miradi ikiwa ghali kwa kuongezwa cha juu na walivyo makondoo hata hawafanyi tafiti
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu wa Wilaya amesema wananchi wasiwe na shida maombi yao yatajibiwa, unamaanisha kwamba ndio kujibiwa kwenyewe?? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kulivyo polluted na nguvu kinzani unafikiri mchakato utaendelea?
 
Watuambie hao WB, population ya Uganda ni kiasi gani na GDP ya Uganda ni kiasi gani kwa Sasa ili tupige hesabu, wawache kujifanya wajuaji wakati nchi ndizo zenye jukumu la kufanya sensa ya watu kujua idadi Yao na sio WB

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hapo ndio hata mimi nashangaa. Mbona world bank wanaingilia mambo ya population na hio sio kazi yao? Nchi husika ndio ina jukumu la kuhesabu watu wake. Kama Tanzania nyie mtafanya sensus hivi karibuni.
 
Huko sio kwetu lakini bado ni Kenya. Ni huzuni kuona wanapitia masaibu haya. Nimesema hapa mara nyingi kwamba serikali inastahili kuchimba boreholes kila mahali huko Northern Kenya ili kupunguza athari ya ukame. Kenya ni miongoni mwa nchi ambayo imeendelea sana ukiilinganisha na nchi zingine za Sub saharan Africa lakini kwenye mambo haya ya kuwashughulikia wafugaji wa Northern Kenya huwa tumezembea sana. Huwa nashindwa kwa nini kuna njaa Northern Kenya and yet serikali ya Kenya ina uwezo mkubwa sana wa kifedha kushinda serikali yoyote ukanda huu. KRA ina target ya kukusanya around $20 billion this financial year. Sasa sio kwamba Kenya haina pesa, pengine priorities ndio zipo wrong. Ujue hii njaa inatupea bad press, inafanya watu duniani wafikirie Kenya ni nchi masikini kupindukia na kumbe ni serikali haijali. Pengine rais ajaye atasaidia.
Kra llikusanya pesa ngap fy of 2021-22 ?
Tra wamekusanya tsh 22.28trill
 
Mkuu, kukopa sio tatizo na ni lazima tukope, Mimi mwenyewe nimekopa pesa nyingi Sana, tatizo ni "attitude".

Mama amesema Jana akibaki hapa nchini na kutembelea mikoani hakutokua na maendeleo, lazima asafiri nje ya nchi, huko ndiko kwenye pesa,

Magufuli alikua akisema hii nchi ni tajiri Sana, tukijipanga vizuri kwa kudhibiti na kukusanya mapato na kuziba mianya ya upotevu wa mapato tunaweza kufanya Mambo makubwa hata kuwa "donor country".

Nimemjibu Tony254 kwa kirefu hapo juu kwa kuelezea Mambo mbalimbali aliyotumia Magufuli ili kuongeza uwezo wa serikali katika kukusanya mapato, chukulia suala la kukamata dhahabu na madini mengine yaliyokua yanatoroshwa na kuyataifisha, ilikua haipiti miezi miwili bila kusikia kilo kadhaa za dhahabu zimekamatwa zikitoroshwa na zimetaifishwa.

Kama unakamatwa na dhahabu ya 1B, kwanza unatozwa hiyo 1B, kisha hiyo dhahabu inataifishwa, maana yake serikali imepata 2B.

Kuhusu TRA kufikia malengo yake waliojiwekea, Hilo nalo ni tatizo kubwa, TRA inajiwekea malengo kulingana na mapungufu yake, sio kutokana "standard" za kidunia.

Kawaida Serikali yoyote duniani inapaswa kukusanya 24% ya GDP Kama Kodi, lakini nchi nyingi hukusanya 18%, TRA hadi Leo wanakusanya 13%, Sasa mkuu hayo ni malengo gani yaliyofikiwa hata kustahili kupongezwa?, Wanajiwekea wenyewe malengo ya chini ili waonekane wanafanya kazi vizuri.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kuna takwimu zinasema watanzania 3.8M tu ndio wanalipa kodi...yani uchumi wetu sio standard kabisa,ziko nyanja nyingi zinazalisha pesa alafu wanashindwa kuokota uko kodi ..wale wataalamu wa mambo ya uchumi hapa hua mnasemaje? Ndio wanafaa kufanya rebasing ili waweze kuziingiza izo nyanja ama vp...kiki sifahamu mambo ya uchumi
 
Iyo testing inafanyika dar moro alafu uko apa unaongea matope
Testing mmefanya tangu 2017, hadi magufala alibebwa na test train 😂😂 kama siwezi tembea Danganyikaland na nitengenze video kama hii nkibebwa na SGR hamjamaliza kitu.
Mablogger watanzania nikuiba picha za SGR ya Kenya kila siku
images-38.jpg

 
Do we really need outsiders to tell us what is good for us and what is not? Enemies of African development are our own incompetent self centred leaders.


Why U.S Contractor Pulled Out of Nairobi-Mombasa Expressway Construction

Nairobi Wire

Jul 5, 2022 6:49 AM

Following the completion of the Nairobi Expressway, the Kenyan government has set the ball rolling on a colossal road infrastructure project, the Nairobi-Mombasa Expressway.

Similar to the 27-kilometre Nairobi Expressway, the 482 Kilometre Nairobi–Mombasa Expressway will be a Public-Private Partnerships (PPP) road project.
The Ksh318.25 billion project was set to be undertaken by a US contractor; Bechtel Engineering, but the firm and the Kenyan govt couldn’t reach an agreement.

It is understood that Bechtel declined the financing model proposed by the government. The State wanted a similar model to the Nairobi Expressway, where the American firm would source funding and then recoup its cost through toll fees.
Bechtel Eng. insisted on a contract model where the government would pay for the construction of the expressway.

The U.S contractor reasoned that the public-private partnership model would inflate the cost of the Ksh318 project to Sh1.6 trillion since it would involve borrowing and interest payments which it did not want to get involved in.
“Our approach will always set out to minimize building costs and pursue the fiscally responsible option,” the firm’s spokesperson Aileen Easton was quoted by Engineering News-Record.

“We are committed to providing the best possible value of money for the Kenyan people.”
As a result, the Kenyan government contracted a Korean firm, the Korean Overseas Infrastructure & Urban Development Corporation Africa (KIND).
The firm has since presented a pre-feasibility study report of the Nairobi-Mombasa Expressway to the government.

The study focused on demand projections, traffic projections, and affordability projections for the project.
The Nairobi-Mombasa Expressway will start from Machakos to Mariakani and will turn the current two-lane into a four-lane carriageway.
 
Back
Top Bottom