Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyerere aliwalisha uongo kuhusu Kenya, waliomfuata wakaendelea vivyo hivyo.
Ndio maana 99.99% ya Watanzania ambao hawajawahi kanyanga nje ya nchi, idea zenu za Kenya ni za kuchekesha na kijinga.
Wewe ni mmjoa wao.
Tembea ujifunze mengi.
Sisi ambao hatujawahi toka nje ya Tanzania tumeambiwa kuwa Kenya watu wanakufa na njaa, wanakufa na cholera, maji ya bomba taabu, watu wachache mabeberu wanasiasa na matajiri ndio wanamiliki ardhi na pia watu wengi wa hali ya kati na chini wanakaa kwenye malazi hatarishi sijui ndio slums mnazozizungumzia humu ndani.
Hebu nifafanulie kuwa hicho tulichoambiwa ni kweli ama uongo kwa faida ya sisi ambao hatuna exposure.
 
"The Muhimbili Orthopedic Institute (MOI) will soon introduce a non-incision treatment called CyberKnife surgery"

Sisi sio wajinga. Tunajua soon yenu ni miaka kumi+.
Kama ile soon ya Bagamo Port.

Leta evidence hio mashini iko MOI na ni operational.
Subiri picha acha kupanick
 
Sasa Dar jiji la uswazi ina nini la kuiga? Makazi kama hayo yamejaa maeneo ya Ruai (which you ignorantly call a slum), Utawala, Athi River, Kitengela, Kamulu, Kiserian, Ngong, Garden Estate na maeneo mengine mengi
Mkunya na one stand alone house yenye fence na compound wapi na wapi? 😅😅😅

Ukiondoa commonly mabati houses na mud huts Nairobi, middle class yenu yote imo kwenye Baghdad settlement 😅😅😅
 
unataka kucompare fully fledged Hospital for kids na Wing ya hospitali. 🤣 🤣 🤣 wewe primary school dropout wacha upumbavu.

View attachment 2281077
Our Hospital – Shoe4Africa



Our Hospital – Shoe4Africa
😂😂😂 Kumbe ni maneno kutoka kwenye kiNGO cha kitapeli
 
So unasema kabla Nyerere Tanzania ilikuwa haina umoja, imejaa ukabila, rushwa slums, blah blah blah..

You are so deficient of national heroes, you cling on a clueless guy who did nothing but condemn you to poverty, illiteracy, jealousy of neighbors, malnutrition etc.
Yet you praise those who brought you tribalism, nepotism and land grabbing.
Something is amiss in your head.
 
How i wish that to be possible! Ila sina uhakika kama mpunga huo upo!
Hizo wanaweka order na kutenga budget ya ndege 3 kila baada ya miaka 2 so ndani ya 5-6 years wanaweza kununua hizo zote.

Kama dreamliner moja 787-8 ni 240m then tatu zitacost 720 sasa hii devide kwa 2 years maana yake kila mwaka unatenga budget ya USD 360 which is doable.
 
Shoe4 Africa has over 200 beds. Yenu iko wapi? Tanzania yote hakuna any public children's hospital. 🤣 🤣 🤣 🤣 Yetu ingine ndio hii, 350 beds.

Image
Si ulisema ikiwa ni private hospital unafunga account? 😅😅😅

Mkunya hii ni St Benedict hospital Mtwara, way better than that NGO dispensary

Kwenye issue za health mngekaaga mbali tu na Tanzania!


Huku ni kwa kina harmonize lakini kuna huduma hata Nairobi hazipo!

images - 2022-07-04T205408.105.jpeg
images - 2022-07-04T205453.731.jpeg
images - 2022-07-04T205545.688.jpeg
images - 2022-07-04T205303.850.jpeg
images - 2022-07-04T205132.985.jpeg
images - 2022-07-04T205200.223.jpeg
 
Back
Top Bottom