Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jinga kabisa wewe, wewe ulisema kwamba Mimi ninazungumzia hospital Moja pekee, ninakutajia Hospitali zingine zinazowazidi kwa mbali, inaanza kulialia.

Wacheni kujidanganya, Tanzania ni baba lao katika huduma za Afya, hamuwezi kabisa kutufikia

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Acha nikunyamazie, huna jipya. Keleke mingi ad empty rhetoric as always
 
Wakunya wanakula mpaka mzoga wa punda aisee

Hii njaa inawapeleka race kichizi

View attachment 2281103View attachment 2281104View attachment 2281105
Njaa na umasikini ni kitu kibaya sana, wanasema adui yako muombee njaa, me nasema muombee kheri..njaa siyo kabisa,inakuondolea utu na heshima completely, familia zao zinajisikiaje, watoto kama wako, jamaa na marafiki.

Kisaikolojia imeshawaumiza. Sitetei wizi, nawachukia wezi. Lakini sheria ndivyo inavyosema kweli kwamba afungwe kamba? Tofauti na mbuzi hapo ni kukosa majani.

Viongozi wetu wakati mwingine watumie busara kumaliza matatizo kama haya. Utakuta wao wameiba mamilioni kadhaa ya hiyo kampuni, aliyeiba litre 3 za mafuta amekuwa mkosefu dunia nzima.

The World is not fair at all.
 
Sasa kuwa slums ni sifa? Mbona hiyo 2.5 Square kilometers ni ndogo. Nchi tajiri kama Kenya inashindwaje kuondoa slums kidogo hivyo kwa miaka yote?????
Anzeni na zile vibanda zenu za uswazi zilizotapakaa kila mahali. Ya Kibera achana nayo
 
Mbulu kenge hii, mnashindwa ku clear slums za 2.5 sq km?????
Afadhali hiyo ni 2.5 square kilometer. Hizi ni kilometers ngapi square?
Screenshot_20220627-100349~2.png
 
Those are reserved areas for expansion mostly in Coastal region bordering DSM
Reserved? Do you know the meaning of the word? If it's reserved iweje hekari za shamba za mihogo zimepatikana huko?
 
Ww fala kweli ww, sasa soap zote hizo zinazozalishwa Tz bado tutegemee na za Kenya? Kama mnaingiza soap ingizeni ila mjue kabisa hazina wateja.
Peleka malamishi yako kwa serikali yenu wewe kenge. I am not the author of that data neither am I responsible for your country's imports
 

Tanzania to strike huge oil deposits in Wembere-Eyasi basin​

TUESDAY JULY 05 2022​

oil pix

Summary

  • In October 2019, the state-owned Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) announced it was embarking on a Sh2 billion oil exploration projects in the corridor.


By Zephania Ubwani
More by this Author

Arusha. There is no contention over the presence of oil in Tanzania, it was revealed on Monday.

Wells drilled in the Wembere-Eyasi basin have indicated the corridor was rich in hydrocarbon resources.

“Prospecting will continue, but signs of oil presence are there,” affirmed the managing director of the Tanzania Petroleum Development Corporation, Mr James Mataragio.

He revealed this shortly after the minister for Energy, Mr January Makamba, challenged the board to spearhead the oil and gas economy.

Dr Mataragio said geological mapping was underway along the entire stretch of the Wembere-Eyasi basin.

The narrow stretch along the borderlines of Arusha, Manyara, Singida, Simiyu and Tabora regions has been a scene of oil exploration for years.

In October 2019, the state-owned Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) announced it was embarking on a Sh2 billion oil exploration projects in the corridor.

The exploration involved drilling of three oil wells with 300 metres depth each in the basin covering 19,197 square kilometre.

The wells were drilled at Kining’inila Village in Igunga District and at Meatu in Simiyu region and Iramba in Singida region.

Dr Mataragio said rift valley basins in the eastern Africa region have always had signals of oil and other hydrocarbon resources.

“Kenya has discovered oil in Turkana lake, Uganda in Lake Albert, all in the Rift Valley,” he told journalists.

The shared Lake Tanganyika and Lake Rukwa on the western arm of the Great Rift Valley also have high potentials of oil.

Launching the board at Gran Melia Arusha, the minister urged it to assist the government develop the oil and gas sector.

This would fall in tandem with TPDC’s mandate when the parastatal body was established in 1969 through a government order.

“I have directed the board to leave no stone unturned to transform this key component of the energy sector,”he pointed out.

Mr Makamba specifically said natural gas should not be produced for local consumption but also for the export market.

Tanzania has an estimated 57 trillion cubic feet of natural gas reserves, mostly off shore, in the Lindi region.

Out of these, 43 trillion cubic feet are recoverable while 23 to 25 trillion cubic feet qualify for commercial exploitation.

The new board chair Ambassador Ombeni Sifue outlined major projects ahead of them, saying they will work hard to ensure success.

These include the liquefied natural gas (LNG) project expected to cost
about $ 40 billion (about Sh 70 trillion) and the Mnazi Bay Gas Project.

Another is the $ 3.5 billion crude oil pipeline project from Hoima in western Ugandan oil fields to the port of Tanga.

The 1,445 kilometre long pipeline will be constructed under the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) involving the two countries.

 

Tanzania to strike huge oil deposits in Wembere-Eyasi basin​

TUESDAY JULY 05 2022​

oil pix

Summary

  • In October 2019, the state-owned Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) announced it was embarking on a Sh2 billion oil exploration projects in the corridor.


By Zephania Ubwani
More by this Author

Arusha. There is no contention over the presence of oil in Tanzania, it was revealed on Monday.

Wells drilled in the Wembere-Eyasi basin have indicated the corridor was rich in hydrocarbon resources.

“Prospecting will continue, but signs of oil presence are there,” affirmed the managing director of the Tanzania Petroleum Development Corporation, Mr James Mataragio.

He revealed this shortly after the minister for Energy, Mr January Makamba, challenged the board to spearhead the oil and gas economy.

Dr Mataragio said geological mapping was underway along the entire stretch of the Wembere-Eyasi basin.

The narrow stretch along the borderlines of Arusha, Manyara, Singida, Simiyu and Tabora regions has been a scene of oil exploration for years.

In October 2019, the state-owned Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) announced it was embarking on a Sh2 billion oil exploration projects in the corridor.

The exploration involved drilling of three oil wells with 300 metres depth each in the basin covering 19,197 square kilometre.

The wells were drilled at Kining’inila Village in Igunga District and at Meatu in Simiyu region and Iramba in Singida region.

Dr Mataragio said rift valley basins in the eastern Africa region have always had signals of oil and other hydrocarbon resources.

“Kenya has discovered oil in Turkana lake, Uganda in Lake Albert, all in the Rift Valley,” he told journalists.

The shared Lake Tanganyika and Lake Rukwa on the western arm of the Great Rift Valley also have high potentials of oil.

Launching the board at Gran Melia Arusha, the minister urged it to assist the government develop the oil and gas sector.

This would fall in tandem with TPDC’s mandate when the parastatal body was established in 1969 through a government order.

“I have directed the board to leave no stone unturned to transform this key component of the energy sector,”he pointed out.

Mr Makamba specifically said natural gas should not be produced for local consumption but also for the export market.

Tanzania has an estimated 57 trillion cubic feet of natural gas reserves, mostly off shore, in the Lindi region.

Out of these, 43 trillion cubic feet are recoverable while 23 to 25 trillion cubic feet qualify for commercial exploitation.

The new board chair Ambassador Ombeni Sifue outlined major projects ahead of them, saying they will work hard to ensure success.

These include the liquefied natural gas (LNG) project expected to cost
about $ 40 billion (about Sh 70 trillion) and the Mnazi Bay Gas Project.

Another is the $ 3.5 billion crude oil pipeline project from Hoima in western Ugandan oil fields to the port of Tanga.

The 1,445 kilometre long pipeline will be constructed under the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) involving the two countries.

Nicxie soma hiyooooooooo
 
Phase 2 wamepamba kasi kaka..Daraja pale la gerezani ndo kukubwa kulikobaki..na kuweka pavements za watu kupita na reserve roads..

Sijajua kama tuna akili hyo ya kuweka kira route na rangi yale ila ni idea nzuri..kama tukifwata..

Ni kama tunavyopaswa kuweka livery za Utalii kwenye ndege zinazokuja ila kuongeza utangazaji
Ni kweli wakiweka rangi tofauti na nzuri kutafanya nchi nyingi zichanganyikiwe maana picha zitakuwa azifanani na kujiuliza hii yote ni tanzania mbona brt yao ni blue haya ya rangi nyingine ni ya wapi?
 
Hivi daraja la Nyerere Kigamboni lina miaka zaidi ya 6 na hutowahi kusikia hata toll station imekwanguliwa rangi na bumper, lakini huku kwa vichaa sasa! Mpaka wafanyakazi kwenye hivyo vibooths/kiosk watakimbia kazi sababu ni kuhatarisha maisha yao kukaa humo ndani!
Ukitaka kujua hawa jamaa ni vichaa angalia Probox za miraa zinavyoendeshwa ni udereva wa kishamba sana ambazo sisi tulishaacha kwenye early 90s wakati wa beer za uchochoroni.
 
Nyinyi bidhaa muhimu mnatuletea ambayo mmeproduce kama nchi ikawa finished product ni gani? Is it not rice? Is rice a finished product? Kenge wewe

Now you see what we mean tukisema our electricity consumption and needs are way above yours? Hiyo sabuni inatengezwa kutumia stima and there's a lot of chemistry involved. Mchele mnayotuuzia haiitaji stima. See the difference?
Vipi kuhusu tiles and soft drinks from Tanzania
 
Back
Top Bottom