ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
inspection of the much awaited CyberKnife - an advanced cancer treatment machine which will be the 2nd in Africa after Egypt. View attachment 2279848View attachment 2279849View attachment 2279851
Inashangaza sana.Hayahusiani na mada, alafu wacha kua negative
Wapumbavu wengine usiwajibu wanatafuta uteuzi mana I'd zao zinajulikana na viongozi, haiingii akilini mtu anaongea utumbo kama huo wkt the same person alikuwa anafungua nyuzi kibao kusifu kwa miradi hiyo hiyo ambayo leo anasema kajenga mama.Miradi ni ya wananchi wa JMT achaga ufala na ushamba,alijenga nani ni kwa niaba ,hakuna mradi wa Nyerere, Mwinyi ama nani apa
Una hasira sn, poza hasira kdg.East Africa tuko France rugby (Kenya,Uganda,burundi)plus Cairo na kigali basketball (Kenya Uganda Rwanda, south Sudan)
Hiii Tanzania ni yanga na Simba tu!!!!
Hiii nchi inaboo sana, waaah!!!!
kumbe mumeipata leo nyinyi 😂😂This machine costs like $5 million. So we can expect it in Tanzania in 2040.
Ndo U-sukumagang huwa hivi, Unafkiunafki mwingiii!Hayahusiani na mada, alafu wacha kua negative
Kenya imekua ikitumia $2b kila mwaka kujenga barabara..hip $10m umetoa kwa matako yako7k kilometers Egypt wametumia $211 billion wakati 12k kilometers za kunyaland wametumia $ 10 million![]()
iliyoagizwa ndani ya mchakato wa Magufuli!Bado mnaamisi Samia ni timamu??
Ashasema tunanunua mitumba
wee wacha matusi! 😀 😀 🤷♂️Kenya imekua ikitumia $2b kila mwaka kujenga barabara..hip $10m umetoa kwa matako yako
sababu hayupo,mnatupia kila baya zuri mnataka mmpe huyu mama kilazailiyoagizwa ndani ya mchakato wa Magufuli!
Hivi lini utapata akili ya kuchangia mijadala, huna akili usitupotezee mudaSasa in terms exchange rates, kati ya Ksh 19 na Ksh 23 ni gani ndio ina unafuu? Shilingi ikipanda dhidi ta dollar sio vizuri kiuchumi ila ikishuka ni afueni kwa wananchi. Stop dragging yourself into matters you don't understand
Jinga Hilo.mpuuzi weweilikua 1000ksh ni 23,000 tsh kwa sasa 1000ksh ni sawa na 19,000tsh
wewe ulisoma hesabu ya vijiti au??![]()
sababu hayupo,mnatupia kila baya zuri mnataka mmpe huyu mama kilaza
@Tony254 ,hivi mizigo ya DRC inayopitia Mombasa ni kiasi gani?




Magufuli alikua rais wa kipuuzi na dictatorHv magufuli alikufanya nn wew mbona kama mna ishu personal![]()
Failed state with a $120b economy?Kwasababu Kikuyu Nation imeshindwa kupambana na njaa, rushwa, ukabila na Slums, hiyo isikufanye upoteze uwezo wa kufikiria, we are not failed state like you.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app