Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kama Kenya hatuna lishe bora, chakula ya kutosha, matibabu bora sasa mbona life expectancy ya Kenya ipo juu kushinda ya Tanzania? By the way HDI inazingatia vigezo vitatu na moja yao ni life expectancy. Wakenya tunaishi muda mrefu kuwashinda. Nyinyi mnakufa mapema kama nzi. Nchi iliyoendelea watu wake wanaishi kwa muda mrefu
View attachment 2280805View attachment 2280806

Cc Nicxie
Cc tuusan
Hakuna takwimu mpya kwan
 
1.Mhh..how many megawatts does a full functional SGR consume..give or take 300MW to 500MW line nzima ikiwa operational..

2.Kigoma ,Katavi,Geita bado hazijawa connected to national grid..REA hizo zote lets say 100MW

3.:Eacop Project..

4.Sino Industrial Park over 2k industries to be built in pwani ..

5.We can sell to the EAC and SADC pool
Kweli umejitetea vizuri.
 
Hv magufuli alikufanya nn wew mbona kama mna ishu personal [emoji23]
Yaani huyu jamaa humwelezi kitu kwa Magufuli, kama ni chuki alikwenda darasani akasomea, ana kinyongo kikubwa sana, hasamehi [emoji16][emoji16][emoji16]
 
1.Mhh..how many megawatts does a full functional SGR consume..give or take 300MW to 500MW line nzima ikiwa operational..

2.Kigoma ,Katavi,Geita bado hazijawa connected to national grid..REA hizo zote lets say 100MW

3.:Eacop Project..

4.Sino Industrial Park over 2k industries to be built in pwani ..

5.We can sell to the EAC and SADC pool
Hapo kwa Sgr kutumia 500MW umezingua.
 
Kwamba professional Kunyans wanaenda USA na UK kwasababu kule kuna shortage ya experts, Wakunya hamna akili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maneno 100 chukua 1
 
Breaking news..!

Baada ya usainishaji lot 4 SGR Tabora-Isaka




Mama at her best!

Hapo kabla leo!



 
Sidhani Kama M7 amekosea, ukitaka kujua kwamba yupo sahihi, chukia GDP figure za Uganda za 2021 kutoka WB, kisha gawanya kwa "population" ya Uganda.

Hata huku Tanzania, waziri wa fedha wa wakati huo, Philip Mpango, alisema kwamba Tanzania imeshaingia katika uchumi wa Kati mwaka mmoja nyuma kabla ya WB kutangaza, hata wakenya walipiga na kumshambulia Sana, Kama wanavyofanya kwa M7 hivi Sasa, wakenya hawapendi nchi zingine zikipiga hatua. Museven yupo sahihi katika hili, tusubiri kipindi cha mpito, lazima Uganda itatangazwa rasmi na WB.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wacha tujipe muda.
 
Huyu jamaa alikuaga rafiki yake kigogo wa kufa mtu mpaka akaweka dp yake [emoji28][emoji28][emoji28] akaja akawa pro Samia kichizi [emoji28][emoji28][emoji28] saivi hao wote ni maadui zake Wakuu kuliko hata Magufuli, ndio ujue hilo akili halina
Kumbe, sasa hawa nao amekosana nao nini?[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unafikiri reli ya 160kph ni sawa na ya 80kph? It requires rigorous testing before it is cleared for service.
 
Did you know Tanzania haina any public children's hospital? I thought you should know.
We mpumbavu, Muhimbili ina children wing kubwa sawa na whole Whiteman's Nairobi Hospital

images (96).jpeg
images (97).jpeg
images (100).jpeg
images (99).jpeg
images - 2022-07-04T153123.944.jpeg
images - 2022-07-04T153136.759.jpeg
images - 2022-07-04T153155.487.jpeg
images - 2022-07-04T153313.012.jpeg
images - 2022-07-04T153420.512.jpeg
01.jpg
images - 2022-07-04T153729.541.jpeg
 
Back
Top Bottom