Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nimefurah kuonasarafu ya kenya imeshuka from 23 to 19 asanteni 🇹🇿🇹🇿✅✅😃😃😃
B78D75A4-A84D-4F9F-9F25-456FDED758C3.jpeg
 
nimefurah kuonasarafu ya kenya imeshuka from 23 to 19 asanteni 🇹🇿🇹🇿✅✅😃😃😃i
Sasa in terms exchange rates, kati ya Ksh 19 na Ksh 23 ni gani ndio ina unafuu? Shilingi ikipanda dhidi ta dollar sio vizuri kiuchumi ila ikishuka ni afueni kwa wananchi. Stop dragging yourself into matters you don't understand
 
World bank wamekataa mambo ya Uganda kuwa middle income.
Cc tuusan
Uganda bado ni shit hole, wapambane waanze kusafirisha mafuta huenda yakawatoa.
 
Sasa in terms exchange rates, kati ya Ksh 19 na Ksh 23 ni gani ndio ina unafuu? Shilingi ikipanda dhidi ta dollar sio vizuri kiuchumi ila ikishuka ni afueni kwa wananchi. Stop dragging yourself into matters you don't understand
mpuuzi wewe 🤣🤣 ilikua 1000ksh ni 23,000 tsh kwa sasa 1000ksh ni sawa na 19,000tsh

wewe ulisoma hesabu ya vijiti au??😂
 
World bank wamekataa mambo ya Uganda kuwa middle income.
Cc tuusan
Yani bado sana wangoje tu, tatizo M7 anakomaa wakati hana jipya
 
Hivi kweli rais wa nchi anaweza kuzungumzia jambo kubwa Kama hili bila kupata ushauri wa kitaalamu toka kwa wachumi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yule mzee ameshachoka akae kwa kutulia, Mh Hayati JPM alokua anasema tunaenda vizuri wala hakuwahi kusema tumeshavuka ldc badae world bank wenyewe wakakiri
 
Back
Top Bottom