7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,067
Rushwa, uzembe, wizi wa viwanja (vyote pamoja na open spaces),kutokuwajibika, viwanja kubadilishiwa matumizi, kutokutoa vibali vya kujenga mapema na kupelekea watu kujenga sehemu ambazo hazijapimwa.coodip1 anaonekana kama mtaalamu kwny huu upande hivi ni kwanini bado wanawaacha watu wakijenga kiholela holela inakera sana hii ni kati ya sababu zilizonifanya nisiwe shabiki wa Mr Lukuvi kbs.
Mambo ni mengi kaka lakini wataalam wetu wa mipango miji wakijitoa na wakafanya kazi kwa weledi wanaweza kuibadili Tanzania.