Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uwanja wa ndege wa Kigoma ni Kikwete! JK alijenga runway! Huyo JPM alikuwa anajimilikisha miradi halafu alikuwa mpaka anaweka jiwe la msingi halafu kimya! Hizi barabara ni mama katoa fedha! JPM miradi ya Chato na Mwanza tu!

Miradi ni ya wananchi wa JMT achaga ufala na ushamba,alijenga nani ni kwa niaba ,hakuna mradi wa Nyerere, Mwinyi ama nani apa
 
Hii picha ya mwisho natamani miji yetu yote ingekuwa hivi, yaani both Countries. Miti,majengo,hadi hali ya hewa unajua kabisa wakazi wake hapa wanapata hewa safi kabisa.

Bila shaka serikali zetu zinajifunza kitu kutokana na picha zinazowekwa humu.
Hiyo picha imepigwa kutoka Gigiri, with Westlands skyline in the background. Personally, mimi hupenda sana green spaces japo kuna baadhi ya watanzania hubeza picha kama hizi za Nairobi na kuziita misitu. Wasichokijua ni kwamba utunzi wa mazingira kama haya ni muhimu sana kwa miji zetu. Kando na kuvutia, pia inachangia hewa safi kama uliyosema hapo juu.
 
Kuna jamaa hata SGR alilazimisha ipite kwake na Rwanda japokuwa DRC walitaka reli ipite Burundi!

Huu uwanja ulijengwa kabla ya ule wa Chato ila mpaka sasa haujakamilika! Fedha hazikuwapo ila za wa Chato zilikuwapo!



Kigoma kwetu nayo inashamiri




Kigoma kwenu sio. Nimeelewa sasa😅
 
Hiyo picha imepigwa kutoka Gigiri, with Westlands skyline in the background. Personally, mimi hupenda sana green spaces japo kuna baadhi ya watanzania hubeza picha kama hizi za Nairobi na kuziita misitu. Wasichokijua ni kwamba utunzi wa mazingira kama haya ni muhimu sana kwa miji zetu. Kando na kuvutia, pia inachangia hewa safi kama uliyosema hapo juu.
Ni nzuri sana,inapendeza. Hilo eneo waliweza kuliweka safi. Miti ina faida nyingi sana ndio maana nasisitiza mipango miji wawe na utaratibu wa kutenga maeneo ya kupanda miti ili itoe hewa safi kwa viumbe hai wakiwemo wanadamu.
 
Mnadhimu wa Jeshi mstaafu Abdulrahman Shimbo aliyeanzisha jeshi la Seychelles!



MY TAKE
Jinsi Nairobi ilivyoshiriki katika kutaka kumpindua Albert Rene mwaka 1981!
CC: Tony254
 
National Institute of Transport
FWpbOzFXgAECjZ-
 
Back
Top Bottom