Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakunya ni lugha gani sasa wanaweza kuongea kwa ufasaha? Sio mama mboga sio waziri both, butchering both languages equally sio English sio Swahili

Kazi wanasema kasi wengine gazi,
Maisha wanasema maisa
Ngumu wanasema gumu
Shilingi wanasema silingi
Mingi wanasema miki
Tosha wanasema tosa
Am tired [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Tony254 nini hiki?
Hivi neno Kiongosi ni wao badala ya Kiongozi? Maana kuna kipindi hapa Bongo lilikuwa linavuma balaaa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Next time nikipata leave nitakuja, aidha hii December au mwaka ujao. Kwa sasa sijui nitembelee Zanzibar au Dar.
if unataka city experience nenda Dar ( pia plenty of beaches especially Kigamboni area (over 4) and there are some Marinepark Islands i.e. Bongoyo and Mbudya that need only a boat fare to access) ila kama unataka relaxation nenda Zanzibar pia kuna beach parties za kufa mtu (Full moon parties at kendwa rocks)!










 
if unataka city experience nenda Dar (there are some Marinepark Islands i.e. Bongoyo and Mbudya that need only a boat fare to access) ila kama unataka relaxation nenda Zanzibar pia kuna beach parties za kufa mtu (Full moon parties at kendwa rocks)!











Nitafanya maamuzi baadaye lakini kwa sasa naegemea Zanzibar.
 
Nitafanya maamuzi baadaye lakini kwa sasa naegemea Zanzibar.
Both r easily accessible! Usirudi umenywea utakapogundua Zanzibar haina mpinzani kwenye quality hotels n Resorts within East and Central Africa!
 
We did the first one in 1994, but it was the simple one like this one which you did in 1996 because twins were not sharing any internal organ. This one is unique because they share many internal organs, get it clear.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Did you follow the link ama ni kupayuka tu as always? The twins shared vital body organs such as spinal cord, rectum, anus, some muscles, tissues and skin.
And the operation lasted 23 hours! Read to understand ndio uache kutoa povu
 
.......... Geza Ulole. wewe ni mtu wa kushangaza sana..
hivi hapo mwanzoni, nilikuona kama wee ni mtu shupav anaye aminika.. mtu anaye simama na ukweli, pasipo kua na mapendeleo ama ubaguzi kati ya kenya ama tz.
mfano mzuri humu ni Tony na tuusan na pia kwa kiasi 7seven. ila wewe ni mzee bwege aliye join jf in 2004.!
watu wa hadhi zako ni watu wanao heshimika sana kwenye society, na pia ndo wanao patia ushauri ama advice kwa vijana au kizazi kijacho, ila ww ni tofaut sana na cohorts zako.........



hivi kwako unaona vizuri sana kua Render na what's on the ground is exactly the same.! lakini bado mzee mkongwe wa hadhi zako, atapata energy, ya ku oppose kitu ambacho kiko wazi kabisa! ata kipofu anaweza kuuona

render[emoji1427]View attachment 2278674



endgame[emoji1427]View attachment 2278675
[emoji846][emoji846]
 
Hiyo ni lafudhi tu na wala haiashirii kutoielewa lugha ya Kiswahili. Ndio maana Geza Ulole alikuelimisha kwamba mtu anaweza kuongea kwa lafudhi iliyoathirika na lugha ya mama ila ngeli anayotumia iwe sahihi na mpangilio wa maneno pia iwe sahihi. Huko kwenu Tanzania pia wengi wenu lafudhi yenu imeathirika na lugha ya mama. Sio Wasukuma tu bali hata watu kutoka kabila zingine za Tanzania unakuta mtu anachanganya r na l au sh na s. chongchung Tanzania tunaijua vizuri na huwezi kutudanganya eti nyie Kiswahili chenu hakijaathirika na lugha ya mama.
Pia kwenye a na h,
Mfano apana badala ya hapana.
Akuna badala ya hakuna
Ana badala ya hana.

Nazani badala ya nadhani.

Kutokutumia maneno sahihi kwenye sentesi.
Mfano .Dhana na Zana.
Dhana ni maana huku Zana ni vifaa.

Hizi ndio dhana zangu akionyesha vifaa hasa silaha. Ni makosa.

Thabiti,Thibitisha zinachanganywa Dhabiti, dhibitisha. Hapa Kanda ya Kaskazini inawachanganya sana.

Inchi badala ya nchi.


Hata kwenye mantiki yapo makosa pia.
Mfano dawa ya mswaki badala ya dawa ya meno.

"Nilikwenda nikamkuta hayupo ".
Badala ya nilikwenda sikumkuta.

Chai imeingia inzi. Badala ya inzi ameingia kwenye chai.

Wengine wanatoa maana ya kilugha kwa kuileta kwenye kiswahili kama ilivyo ambayo inaleta ambiguity.
Mfano. Pale kwenye kiti huku aki point mti mkubwa,
Badala ya pale kwenye mti.

Kuna baadhi ya watu haya makosa yamekuwa common sana.Serikali kwenye mitaala ya shule ijitahidi kukazania kiswahili sanifu kuepuka makosa ya Kisarufi na Kimantiki.

Tuendelee kujifunza Kiswahili hata mimi kuna vitu sivijui vizuri bado ninaendelea kujifunza maana ninakipenda.
 
Back
Top Bottom