Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza maize shortage inaashiria majamaa wanakula sana ugali na sukumawiki 😅
Wakiwa humu sasa..wanajikuta wazunguwazungu eti wanakula KFC
Ni sababu hawajui kupika kabisa, mchuzi wao wa nyama unaweza kufikiri maji ya kunawa 😅😅😅
 
Pelekeni manesi wenu ugaibuni
Huku hizi vitu zinafanywa na county governors
FB_IMG_16566886321819125.jpeg
 
Huku hizi vitu zinafanya na county governors
View attachment 2278395
Wabongo wako nyuma sana. 🤣 🤣 🤣 🤣 Hizi oxygen plants ziko in every county hospital in Kenya and it's not a big deal. Kenya ikiequip hospitals time ya covid, Magu alikua busy akiambia wabongo watafune tangawizi. Sasa ona hospitali zao mingi hazina hata ICU ndio maana mtu anashangazwa na Oxygen plant.

 
Hahahaha wakiacha ugali ni githeri, sasa wamekwepa nini? [emoji28][emoji28]

Wali ni anasa, ndizi hawazijui, ugali wa mtama hawaujui, ugali wa muhogo hawaujui, viazi hawavijui Yaani wao ugali tu [emoji28][emoji28][emoji28]
Hawawezi ishi bila uji na ugali hao. Vitu kama wali, chapati, muhogo, viazi, ndizi nk ndio kabisaa hawataviweza gharama zake.
 
Nyef nyef, we mzee heshimu miaka yako bana.



FOIBK9ZWUAImMny


Wabongo wako nyuma sana. 🤣 🤣 🤣 🤣 Hizi oxygen plants ziko in every county hospital in Kenya and it's not a big deal. Kenya ikiequip hospitals time ya covid, Magu alikua busy akiambia wabongo watafune tangawizi. Sasa ona hospitali zao mingi hazina hata ICU ndio maana mtu anashangazwa na Oxygen plant.


E7c5aa0WYAgWJkN


Comparing those to this how many oxygen tanks do u see?
Benjamin Mkapa Hospital
FWkhfJqXEAEij6S



Bugando Hospital
E5sGbLVWUAcB5re


D_kaT_iWsAAWj3q



KCMC Hospital
E6_fuDHWUAUmX2r




Mbeya Hospital
E7WqqRPXoAEGYI6


E7WqqRWXMAEgVtL






 
Back
Top Bottom