Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hayo ni maneno nimeanza kuyasikia tangu mtoto.
Btw nimezaliwa kwa fasi ya Chuga nimekulia Chuga nimekula kitabu Chuga.
Sasa wewe utaniambia nini na hiyo kuforce mambo.


Hata hii ni hiphop ya Arusha na wanatumia sheng kama ya Kenya kabisa. .
Nimeskia hizi sheng words - kuwasha manare, manze, kuzurura mtaa, zurura ukisaka chapaa, mizinga na mamanzi, fegi ndio kabisa.

 
Barabara ya makongo Juu...majirani tunaboresha kila eneo
20220629_134726.jpg
 
Halafu wanatumia nguvu nyingi kupindisha hiyo makala ya bibisii.
Makala inaeleza kabisa kuwa watoto wamechukuliwa kwa kudanganywa kuwa wanapelekwa sehemu sahihi ila matokeo yake wamegeuziwa vibao.
Ukunya ni ujinga.
Ila mamlaka zetu nazo zililala sana.Ilikuwaje wasijue hili jambo.
 
Kuna jamaa hata SGR alilazimisha ipite kwake na Rwanda japokuwa DRC walitaka reli ipite Burundi!

Huu uwanja ulijengwa kabla ya ule wa Chato ila mpaka sasa haujakamilika! Fedha hazikuwapo ila za wa Chato zilikuwapo!



Kigoma kwetu nayo inashamiri




Hii miradi yote kwenye hizi tweets kaanzisha Magufuli, leta na national grid project
 
Back
Top Bottom