Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,691
- 107,133
Hawa jamaa kwa kujipendekeza na Kaskazini hawajambo usiposkia Arusha then utaskia Wachagga!Una ukondoo wewe.
Maneno yanayozungumzwa Arusha hayafanani na hiyo sheng yenu.
Hawa jamaa kwa kujipendekeza na Kaskazini hawajambo usiposkia Arusha then utaskia Wachagga!Una ukondoo wewe.
Maneno yanayozungumzwa Arusha hayafanani na hiyo sheng yenu.
Mghana Morrison anaomba uraia wa Tanzania. Kwann si kenya
Hata huyo aliyemkosoa naye kachemka.Sisi waziri wetu wa Fedha na Mipango ana Shahada ya Uzamifu (PhD) ila anaandika kama hivi!
Hili ndio tatizo kubwa. Hakuwa makini wakati anaandika na hakurudia kusoma kabla hajatuma. Au hajui kama alikosea anaona sawa.Sasa hapo kuna tatizo. Inaeleweka ikiwa msomi anashindwa kutamka maneno vizuri ila anaandika maneno vizuri. Lakini haieleweki ni kwa nini msomi anashindwa kuandika maneno vizuri inavyostahili.
Cc chongchung
[emoji3]
Chali yangu...Una ukondoo wewe.
Maneno yanayozungumzwa Arusha hayafanani na hiyo sheng yenu.
Kwa kiasi kikubwa wanaweza. Wengi wa huko wanaijua sana Nai kuliko Dar.Watu wa Arusha hutamani sana kuongea sheng kama watu Nairobi. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hii picha ya mwisho natamani miji yetu yote ingekuwa hivi, yaani both Countries. Miti,majengo,hadi hali ya hewa unajua kabisa wakazi wake hapa wanapata hewa safi kabisa.
Kwa kweli Kigoma ilikuwa imeachwa nyuma sana wakati ni mkoa mzuri sana kwa ardhi yenye rutuba, watu wachapakazi, kiungo cha DRC na uwekezaji wa kimkakati.Mi namshukuru mama anapeleka miradi ya kutosha kuiboresha Kigoma isimame kivyake na si kuiacha nyuma ije ili ije kumegwa baadae na kufanya mashamba ya upande wa pili!
Damu ikimwagika hasa kwa watu wasio na hatia huleta shida kwa vizazi vingine baadaye. Cha msingi msiache kuomba ili Mungu awaepushie mbali.Amen!
Wengine hapa maombi yao ni kuwe na vuruge
Kabisa mkuu maana zinajenga visasi vya muda mfupi na mrefu huku watu wakikomoana. Unakuta mtu ni Kiongozi mzuri ana uwezo wa kuongoza lakini kwa kuwa anatokea familia yenye ugomvi na mtu anayetakiwa kumteua anaachwa na kupewa mwingine hatimaye anaharibu kila kitu.Siasa za chuki zinarejesha nyuma maendeleo.
Kuna jamaa hata SGR alilazimisha ipite kwake na Rwanda japokuwa DRC walitaka reli ipite Burundi!Kwa kweli Kigoma ilikuwa imeachwa nyuma sana wakati ni mkoa mzuri sana kwa ardhi yenye rutuba, watu wachapakazi, kiungo cha DRC na uwekezaji wa kimkakati.
Wakati Nyerere anaongea hatuwezi kujua alikuwa katika mood gani, au aliudhika nini na hawa watu.Kuna Sukumagang humu wanatumia jina la Nyerere kwenye kuhalalisha ukabila!
kibabeLeo niliona nikaoshe macho kidogo kwa watalii using TC flight.View attachment 2277607View attachment 2277608View attachment 2277609View attachment 2277610View attachment 2277611
Kubwa jinga.....Kuna Sukumagang humu wanatumia jina la Nyerere kwenye kuhalalisha ukabila!
wakenya ni washamba tuBila shaka ataendelea kujifunza namna mwanaume mtanashati anatakiwa avae. [emoji23][emoji23][emoji23]
How come kijana anavaa kama mzee!
Hapa umepigwa mwingi.