Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kanairo
download (64).jpeg
 
kwahiyo Wamasai wamevamia Tanga? Nyoko wewe! Yaani mnavamia mashamba ya Waha halafu muachwe? Kwani hamjui taratibu? Kwahiyo Wasukuma mnatafuta vurugu za Morogoro Kigoma? Ni kweli Wachagga na Wahaya hawatatawala kwa sababu ya Msukuma aliyepewa madaraka akaingiza ukabila badala ya Utaifa wa kizalendo!
Wakuu huko mnaenda mbali sana, just keep cool and come down my brothers. Hizi mambo huwa zinaibua hisia mchanganyiko kwa watu wengi hasa wanaotusoma.

Siwacommand ila nawaombeeni tuachane nazo, sisi sote ni wamoja Watanzania. [emoji120][emoji120][emoji1666][emoji1666]
 
Watu wa Arusha hutamani sana kuongea sheng kama watu Nairobi. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

But hiyo sheng ya arusha inatokea ikiwa fake sana, ukitazama hii video unanotice tu...kiswahili cha Tanzania wanavuta sana kama maisha yao tuu.. hawana haraka haraka kama sheng
 
Ni kipindi fulani cha nyuma hii ndio ilikuwa kampeni ya hivi, watu kuumizana. Siku hizi haipo tena. Ustaarabu umeongezeka.

Hata nyinyi mwaka huu bila shaka mwaka huu mtavuka salama. Kampeni za mauaji kisa uchaguzi wa muda mfupi ni za kishamba.
Amen!
Wengine hapa maombi yao ni kuwe na vuruge
 
Ila makosa ya kisarufi (grammar) kwenye matamshi ni tofauti na yatokanayo na lugha/lahaja za mama (lafudhi) na hayakubaliki kwenye uandishi haswa kama ni maandishi rasmi ya kitaasisi au yanayotoka kwa Nguli/Kada/Mkufunzi wa kielimu/ kisekta/ kitaasisi au kiserikali!

Yanaonyesha kutojitosheleza ama kujikimu kwa ufahamu/ujuzi wa mhusika haswa kama ni Mkufunzi! Tena unakuta mhusika ana shahada ya Uzamifu! Aisee huwa haikubaliki ndio maana misemo ya PhD za mchongo ipo.
Umenena mkuu. Wasomi na Viongozi wetu wawe makini wanapoongea au kutweet mtandaoni maana wao ni kioo cha jamii,tunategemea kujifunza kutoka kwao, sasa kama wanakosea kuandika, kuongea je wanaonekanaje?

Tena Lugha wanayoikosea ni Kiswahili ambacho ni Lugha ya msingi hapa kwetu.

Kumakinika ni muhimu ili elimu na nafasi zao ziendane na uhalisia na kuondoa sintofahamu kwa watu kuanza kuhoji uhalali wa elimu zao.
 
Ni kipindi fulani cha nyuma hii ndio ilikuwa kampeni ya hivi, watu kuumizana. Siku hizi haipo tena. Ustaarabu umeongezeka.

Hata nyinyi mwaka huu bila shaka mwaka huu mtavuka salama. Kampeni za mauaji kisa uchaguzi wa muda mfupi ni za kishamba.
Siasa za chuki zinarejesha nyuma maendeleo.
 
Mimi nitamsema tu na siasa zake chafu! Sasa kazi kwenu, leo nimeambiwa Wachagga na Wahaya hawatakaa washike Urais! Wengine wanadai mimi Mzanzibari!
Haya maneno haya afya ya kutaja makabila. Rais atatoka kabila lolote ilimradi ni Mtanzania. Tuyapotezee haya ya ukabila mkuu.
 
Haya maneno haya afya ya kutaja makabila. Rais atatoka kabila lolote ilimradi ni Mtanzania. Tuyapotezee haya ya ukabila mkuu.
Kuna Sukumagang humu wanatumia jina la Nyerere kwenye kuhalalisha ukabila!
 
Kenya media hawafichi habari kama Danganyika media. Kenya hakuna CCM ya kufunga wanahabari.
Watanzania wakitaka kujua habari za kweli kuhusu nchi yao lazima waisome na kutazama kwa Kenya media. Yani Kenyan media ina program wakenya na watanzania kwa pamoja ndio maana watanzania wengi wanaogopa na kuona kwamba Kenya ni superior kushinda Tanzania sababu wameambiwa na kukaririwa hivyo na TV kutoka wakiwa wadogo. Mdanganyika wa kawaida anatamani kuishi Kenya. Its called brainwashing.
Kenya ina soft power over tanzania. TV za Kenya zinaunda hadi taste na preference ya mtanzania ambaye anaitazama kila siku kutoka akiwa mdogo kwa hivyo huyu mdanganyika atatamani kununua na kutumia vitu kutoka kenya

Mfano serikali ya Danganyika imetumia picha za SGR ya Kenya mara nyingi kuonyesha maendeleo ya ujenzi wa eSGRa yenuView attachment 2279011
Hii nimeisikia kwako kwa mara ya kwanza.
 
Back
Top Bottom