7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,067
Nikishamuona aweso najua hapa chai ya kuunguza mdomo inaonekana kwenye kikombe siku za baridi [emoji16][emoji16][emoji16],mzee wa maji anajitahidi sana brother.
Nikishamuona aweso najua hapa chai ya kuunguza mdomo inaonekana kwenye kikombe siku za baridi [emoji16][emoji16][emoji16],mzee wa maji anajitahidi sana brother.
Lusaka wamejaa mpaka sio vzurHivi Wakinga hawapo pande za Lusaka kweli? NilikutaNa na masai wa Dawa! Lugha ilikuwa mtihani kule kwa kweli!
Only stupid people can understand this data, in December alone, total of 19Million MT of Tanzanian cargo passed through Mombasa port, I repeat 19M metric tonnes in one month[emoji23][emoji23][emoji23]That's why I said ASSUMING. Read to understand bongolala, usiwe na mihemko za kijinga. All in order, get your daily dose of truth here then shut the f*ck up forever View attachment 2275422
Tanzania tunapunguza Sana imports kwa kuongeza uzalishaji wa ndani, ukiacha ngano ambayo kwasasa 40% bado tunategemea kuagiza, lakini bidhaa nyingi za vyakula, Malighafi (raw materials),nguo na domestic equipments tunazalisha wenyewe, sio Kama ninyi, you imports almost 80% of your goods every year.joto la jiwe nadhani umepata picha ya vitu gani tuna import, sasa niambie hapa shithole kama tanzania ina substitute ya hizii bidhaa locally?? FYI asilimia kubwa ya ngano mnayotumia inatoka Ukraine na Russia.
Ndio maana nika request a link japo najua hata link huenda ikawa ya mchongo, Mombasa port ina export nn zaidi Tz?Only stupid people can understand this data, in December alone, total of 19Million MT of Tanzanian cargo passed through Mombasa port, I repeat 19M metric tonnes in one month[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa kodi ilizingua watu wengi wakawa wanapitishia Mombasa. Upanuzi wa bandari ya Dar na maboresho yake, Upanuzi wa Tanga port na Mtwara port zimevutia watu wengi kupitishia mizigo yao kwa hizi bandari za TZ.Watz weng walikua wanatumia mombasa kuingiza magar nahisi kodi za tz zlikua mziki
Hivi hawa watu hawana kazi za kufanya?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakunya wa human rights wataandamana!
Sure!Route ya Guangzhou irudi rasmi!
Hii inaitwa umbua wanafiki,niliona sosopi wa Chadema naye bila kujali wafuasi wake wanapswa kupewa habari za kweli ameposti eti ni Ngorongoro wakati ni Kenya
Punguza ulimbikeni wako, hivi ni sawa kusema Kenya inanunua umeme toka Tanzania, au Tanzania inanunua umeme toka Kenya eti kwasababu vijiji vya Namanga na Horohoro vinapata umeme toka nchi jirani kutokana na ukaribu wa nguzo za umeme?, that amount is negligible.Wakati mwingine joto la jiwe wewe huwa unaongea ujinga sana. I wish ningepata muda leo wakati mjadala huu unajadiliwa, ningekupiga viboko sana. Nchi zote za EAC zinatumia Mombasa port. Hata Ethiopia inatumia Mombasa port. Kiufupi nchi zisizopungua saba zinatumia Mombasa port. Orodha ndio hii hapa
1.Ethiopia
2. South Sudan
3. Rwanda
4. Burundi
5. DR Congo
6. Tanzania
7. Uganda.
Do yourself a favour, leta balance of trade of Kenya na ya tanzania, i guarantee you the difference sio kubwa kama ulivyodai hapo juu. Na niko 100% sure nguo ulizovaa mpaka chupi ni mitumba imports, ukija KE tumeanza discussion ya kuban mitumba completly.Tanzania tunapunguza Sana imports kwa kuongeza uzalishaji wa ndani, ukiacha mgano ambayo kwasasa 40% bado tunategemea kuagiza, lakini bidhaa nyingi za vyakula, Malighafi (raw materials),nguo na domestic equipments tunazalisha wenyewe, sio Kama ninyi, you imports almost 80% of your goods every year.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wakati huo huo Kenya imepoteza 19 brains ambazo zingeweza kupunguza idadi ya wagonjwa wengi wanaokwenda nje ya nchi kutafuta huduma za matibabu19 Kenyan nurses wanaelekea UK kufanya kazi katika Oxford University Hospital. Kenya sio size yako wewe The best 007
joto la jiwe remittance zinazidi kuongezeka. Hawa nurses watatuma remittance nyumbani wakifika huko Oxford University Hospital. Najua hupendi kusikia haya mambo.
Kwahiyo hizo nchi zina big demand ya health workers than Kenya?, au mumeanza kukata tamaa kuendeleza sector yenu ya Afya?She has done well. Kenyans are well educated, aggresive and open minded. No wonder we are open to the idea of working abroad when Tanzanians view working abroad as a negative thing. By the way health sector in the UK and US zinahitaji a lot of nurses. Kuna a big demand for nurses in those two countries.
Kenya tuna a lot of well educated, qualified but unemployed nurses. Unaweza pinga lakini huo ndio ukweli. Hao nurses wacha waende nje ya nchi wapige pesa ndefu watume hizo pesa nyumbani.Kwahiyo hizo nchi zina big demand ya health workers than Kenya?, au mumeanza kukata tamaa kuendekeza sector yenu ya Afya?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hahahaha, kumbe wewe sio mkenyaKwa hivyo mzee wewe unaona nacheka cheka na wewe unanidharau sio? Hii hapa long-term residence permit card yangu ya Czech Republic. Mzee mimi nimetoka nje ya nchi yangu na kuishi huko miaka miwili sio kama wewe ambaye hujawahi kutoka nje ya Tanzania.
View attachment 2275686
Cc Geza Ulole
joto la jiwe
Yeah, na ukiacha Nairobi CBD, the rest ni Mathare!