Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya tuna a lot of well educated, qualified but unemployed nurses. Unaweza pinga lakini huo ndio ukweli. Hao nurses wacha waende nje ya nchi wapige pesa ndefu watume hizo pesa nyumbani.
Katika "statements" zako zenye kukudhalilisha hii ni Moja wapo, hakuna nchi yoyote Africa ambayo Kuna wasomi wengi kuzidi mahitaji ya nchi.

Wewe mwenyewe ulienda kusoma huko Chzec Republic kupitia "Scholarship" za serikali zinazotolewa na nchi za nje ili kuzisaidia nchi za Africa kupunguza pengo la wasomi.

Wewe punguza ujinga, Kati ya "Nurses 20,000 waliofanya huo mtihani waliopata hiyo nafasi ni 19 pekee, unataka kusema hao wote waliofanya huo mtihani hawana ajira hapo Kenya?.

Ninakuhakikishia hao wote 19 waliopata hiyo nafasi wameajiriwa na ni miongoni mwa best Nurses hapo Kenya, Kenya mnapoteza "cream and the most intelligent Nurses to UK, kwa ujinga wenu mnafurahia hicho kitendo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha, kumbe wewe sio mkenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Kwa hivyo mzee wewe unaona nacheka cheka na wewe unanidharau sio? Hii hapa long-term residence permit card yangu ya Czech Republic. Mzee mimi nimetoka nje ya nchi yangu na kuishi huko miaka miwili sio kama wewe ambaye hujawahi kutoka nje ya Tanzania.
View attachment 2275686
Cc Geza Ulole
joto la jiwe
ka-student visa umekaweka hata baada ya ku-expire sio?
 
Thank You Sir Lewis Hamilton. Real recognizes real.

Image
 
The M23 kadogoos in DRC!


Anything to remind us of Mobutu's ousting by Laurent Kabila? Tshisekedi should stay alert!


The ousting of Mobutu was engineered in Tanzania by Nyerere who mobilized Mbeki, Mugabe, Nujoma, Dos santos for providing logistical support to a rebel group established by Kagame and Museven whose rebel leader Laurent Kabila was in Tanzania since 1960s.

Tanzania troops were training Congolese army when when Laurent Kabila was assassinated and as a matter of urgency, Benjamin Mkapa had to call Thabo Mbeki so SANDF military aircraft could evacuate all Tanzanian troops immediately - that is exactly what Mbeki and SANDF did.
 
The ousting of Mobutu was engineered in Tanzania by Nyerere who mobilized Mbeki, Mugabe, Nujoma, Dos santos for providing logistical support to a rebel group established by Kagame and Museven whose rebel leader Laurent Kabila was in Tanzania since 1960s.

Tanzania troops were training Congolese army when when Laurent Kabila was assassinated and as a matter of urgency, Benjamin Mkapa had to call Thabo Mbeki so SANDF military aircraft could evacuated all Tanzanian troops immediately - that is exactly what Mbeki and SANDF did.
Wacha uongo leta evidence unachoongea! Museveni na Kagame ndo walimpindua Mobutu usipende sifa za kuungaunga! Tanzania was neutral on this!
 
Nimeomba evidence alipomwondoa Mobutu alisaidiwa na Tanzania!
Reason why I asked a very simple question "where was the rebel leader Laurent Kabila residing way before Kagame and Museven became presidents" ?

He was in Tanzania and his son Joseph was Born in Tanzania, nicknamed "warbus".

So, how could the duo presidents handover leadership of the rebel group to Laurent Kabila without the knowledge and approval of our intelligensia?
 
Do yourself a favour, leta balance of trade of Kenya na ya tanzania, i guarantee you the difference sio kubwa kama ulivyodai hapo juu. Na niko 100% sure nguo ulizovaa mpaka chupi ni mitumba imports, ukija KE tumeanza discussion ya kuban mitumba completly.
Tatizo lenu ninyi wakenya hamjui Mambo mengi ya ndani na nje ya nchi yenu. Kenya ni nchi pekee iliyojitoa katika mkataba wa nchi za EAC wa kuzuia nguo za mitumba baada ya USA kuzitishia kuziondoa katika AGOA nchi zozote zitakazo zuia biashara ya mitumba kutoka USA. Eti unadanganya kwamba mpo kwenye mazungumzo ya kuzuia mitumba, wacha kudanganya.

Kenya imports bill yenu inakaribia $16B, wakati Tanzania tupo $10B, Kenya "Foreign reserve yenu ni $8B, Tanzania ni $5B, hizo zote zinaonyesha jinsi mnavyotegemea kuagiza zaidi bidhaa kutoka nje kuliko kuzalisha nchini mwenu.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
90% ya watz wanaofanya biashara ndogo Kenya ni wachagga. Fundi cherehani wangu ni mchagga duka lake linaitwa 'cheka unenepe' fundi wangu wa viatu ni mchagga anaitwa senya.
Dah!

Nyie kweli kuongea na sisi humu ni fursa kubwa na niya kipee sana.

Yaani nyie ni regulars kwenye kushona viatu na nguo midabwada?🙄🙄🤔🤔
 
Kwahiyo kwenda kusoma nje ya nchi kwa kupata Ufadhili wa Bure wa scholarship za serikali unadhani ni kujituma?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kupata fully funded foreign government scholarship ni ngumu sana. Wewe ulisema kwamba ulimalizia shule form 4 division 4 kwa hivyo hujui hivi vitu, tulia upate mafunzo. Mamia ya Wakenya walituma application. Wakenya wanne tu ndio walipata hio scholarship. Mimi nilikuwa mmoja wa hao Wakenya wanne. Interview ilifanywa katika embassy ya hio nchi. Sikuchaguliwa kwa sababu huyo mzungu ni mjomba wangu. Niliipata fursa hii kwa sababu tayari nilikuwa nimesoma vizuri. Yaani niliipata through merit, sio hongo, kwa sababu wazungu hawajui hongo ni nini. Key word ni "merit".
 
Do yourself a favour, leta balance of trade of Kenya na ya tanzania, i guarantee you the difference sio kubwa kama ulivyodai hapo juu. Na niko 100% sure nguo ulizovaa mpaka chupi ni mitumba imports, ukija KE tumeanza discussion ya kuban mitumba completly.
Hamuogopi mabwana zenu USA? Maana mlipinga kipindi EAC ilipopitisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom