Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Serikali ya Kenya inachoshindwa kuwazoa hao ombaomba hapo mjini ni nini? Pick them up from the streets and repatriate them the good thing tuko karibu gharama ya repatriation ni ndogo sana.
Hapo ndipo ninashangaa.Inawezekana hili jambo lipo kwa manufaa ya upande mmoja. Warudishwe tu nyumbani kama ni kweli tutawapokea, tena usafiri ni rahisi kwa njia ya barabara siyo ndege.
 
Sasa kwnn unashindwa kuelewa misemo mepesi ya ki aviation rafiki yangu.
Kwa hivyo mzee wewe unaona nacheka cheka na wewe unanidharau sio? Hii hapa long-term residence permit card yangu ya Czech Republic. Mzee mimi nimetoka nje ya nchi yangu na kuishi huko miaka miwili sio kama wewe ambaye hujawahi kutoka nje ya Tanzania.
IMG_20220628_191700_20220628192134672.jpg

Cc Geza Ulole
joto la jiwe
 
Hapo ndipo ninashangaa.Inawezekana hili jambo lipo kwa manufaa ya upande mmoja. Warudishwe tu nyumbani kama ni kweli tutawapokea, tena usafiri ni rahisi kwa njia ya barabara siyo ndege.
Wakunya wa human rights wataandamana!
 
Kwa hivyo mzee wewe unaona nacheka cheka na wewe unanidharau sio? Hii hapa long-term residence permit card yangu ya Czech Republic. Mzee mimi nimetoka nje ya nchi yangu na kuishi huko miaka miwili sio kama wewe ambaye hujawahi kutoka nje ya Tanzania.
View attachment 2275686
Cc Geza Ulole
joto la jiwe
The best 007 kama unafikiri natania tazama long-term residence permit card ya wengine inavyofanana. Hii unagoogle tu na unapata kujua long-term residence permit card ya Czech Republic inakaa vipi.
Screenshot_20220628-200549.png

Cc Geza Ulole
joto la jiwe
 
Back
Top Bottom