Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

She a ceremonial leader.. yeye hana cha kuamua..elewa hilo..tatizo hutaki kukubali hilo.. she is just a CEREMONIAL LEADER 😂
Aliwezaje kumtoa Ndugai kama ni ceremonial? Kwenye wizara ile anahitaji nguli wa economics na si mtu wa mentality ya kuombaomba tu!

Kwa taarifa yako atashinda 2025 na kitu ambacho kinanitia wasi ni jinsi ata-handle uchaguzi Zanzibar!
 
Aliwezaje kumtoa Ndugai kama ni ceremonial? Kwenye wizara ile anahitaji nguli wa economics na si mtu wa mentality ya kuombaomba tu!

Kwa taarifa yako atashinda 2025 na kitu ambacho kinanitia wasi ni jinsi ata-handle uchaguzi Zanzibar!
Hakuna shida. Taarifa ni nzuri😆
 
Nilishasema huyu jamaa ni zero! Wizara ya Fedha haitaki pata potea! Baada ya kuhimiza serikali kukopa ku-finance budget, sasa unahimiza bahati nasibu na tunajua jinsi inavyoathiri jamii na kupunguza ufanyaji kazi! Watu wanashinda kwenye lottery booths!

Naskia toll gates zinaenda kuwekwa Tanzanite bridge na Kibaha. Hivi kwann mama asijaribu mtu kama Kimei aliyeitoa CRDB Bank mbali na kuiacha katika hali nzuri? Hata michango yake imejaa ufahamu wa jinsi ya ku-boost economy with minimum risks. Hili ni zao la PhD za mchongo akiwa waziri na Mbunge.

Huu upuuzi wa kuteuana ili kulipana fadhila unakost nchi sana.
 
Hivi tofauti na kupiga deki na kusimama kama masanamu mbele ya train ni ipi kazi ya mkunya kwenye hii SGR?

Mchina kakaba kila idara aisee

Screenshot_20220627-212359.png
 
In Kenya, Estate Za Kifahari zimepakana all the way from Garden Estate to Karen na zote zimeishinda hiyo Oyster Bay. Hiyo ni distance ya 24km.

View attachment 2274740
Kanairobi kama kapiriton kadogo mno ndio maana kamefungasha maslums kama yote, hapo counties 3 zinaisaidia Nairobi lakini bado na zenyewe zimeelemewa, kwanini msimuombe Mzungu Karen awamegee kaeneo kadogo ka kujenga?
 
Yaani navyotamani hawa washenzy wa Kaskazini wapigane mwaka huu! Huwezi amini wamentoa ubinadamu kupita kiasi! hivi hamna mtu anaweza kumpa silaha Ruto akianzishe?
Congo ana mashamba makubwa atachanganyia kwenye mahindi apeleke nyumbani.

BTW, kupata chopa hapo kunyaland Sio ishu.. Kuna somalia na Sudan jirani zinatandikwa chini kama maharage sokoni.. Wako nazo sana huko.
 
Kwa sasa timu za Tz huwezi kulinganisha na timu za Kenya, tofauti inaanzia kwenye pesa wanazopata timu za Tz, ni kama mbingu na ardhi. Bingwa wa Tanzania anapata milioni 600tzs wakati bingwa wa Kenya anapata milioni 40tzs [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona Kuna tofauti kubwa hivyo? Sio kawaida kabisa asee.. Hao jamaa wana ligi huko kwao kweli?

Tanzania ni Tajiri sana.
 
Back
Top Bottom