Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nahisi ww ni mmoja wa manesi waliofeli mtihani thus y una stress sn za maisha, ila pambana cku yako itafika na hutoonesha tena mipesa ya mtandaoni bali utaonesha pesa zako mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nahisi ww ni mmoja wa manesi waliofeli mtihani thus y una stress sn za maisha, ila pambana cku yako itafika na hutoonesha tena mipesa ya mtandaoni bali utaonesha pesa zako mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watchman can't tell me anything in this thread. Never.
 
Ships to dock at Mombasa in the next 14 days.

20220628_141832.png
 
Wewe mm huniwezi kimaisha, endelea kupigishana kelele humu kwenye mitandao lkn ikija kwenye reality usiguse kabisa kama unabisha tuanze sahizi kuonesha assets tunazomiliki mm na ww.
Wewe nimekudharau more than everybody in this thread. First you didn't even go to school and second you are suffering like no ones business and that's why unakesha huku ukilalamika like a goat.
 
Wewe nimekudharau more than everybody in this thread. First you didn't even go to school and second you are suffering like no ones business and that's why unakesha huku ukilalamika like a goat.
Sawa mm sikwenda shule ila nataka battle ya kimaisha mm na ww asiingilie mtu tafadhali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sawa mm sikwenda shule ila nataka battle ya kimaisha mm na ww asiingilie mtu tafadhali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Thanks for accepting that you are primitive. Case closed.
 
Thanks for accepting that you are primitive. Case closed.
Yani mm sikusoma hata darasa moja ila nataka nikuoneshe kdg nilichojaliwa na Mungu, upo tayari?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
😂Kwa maneno mengine inamaanishwa hiv.. "Kadogosa ni mwizi kwa sababu ni msukuma.. sukumagang, ila hao wengine kwakuwa ni waZanzbar sio wezi, ni wasafi kbs"
Chuki yenu na mfumo dume Sukumagang ndo inafanya ninawakong'ote humu ndani! Wizi, upendeleo wa kikabila ulifanyika mwingi sana kipindi cha Magufuli! Ila kwa vile ni mwenzenu mlifumbia na mnafumbia macho mpaka sasa as beneficiaries of the sweetness of power!

Sasa hivi mmekuwa mabingwa wa ku-predict nn kitatokea 2025 kama vile hii nchi ni yenu peke yenu na mtapiga kura wenyewe! That's stupidity of u people in here! Kwa mfano wewe Simon, nina uhakika 100% ni Msukuma na ukitaka kujua ukabila umekuathiri kiasi gani angalia jinsi unavyaoumia Kadogosa akitajwa kwenye wizi na yet kanunua vichwa na mabehewa feki toka Eurowagon na kupoteza zaidi ya Tshs 20 bln na pia jinsi unavyompinga mama, yet unafaidi matunda ya kuendelea kuwepo kwenye miradi ya SGR! Kama kweli unampinga acha kazi na nenda kalime basi usukumani basi wewe na genge lako huko TRC!

Mtoe matongotongo ya kuua vizee vya kike kwa imani za ushirikina zenye lengo la uporaji mali kwa wajane ndo mje hapa kujadili utendaji wa mama! Ngojeni 2025 halafu muone wanawake wenu mnaowakandamiza watakavyompigia kura mama overwhelmingly!
 
Haya maneno ya kwamba una brain cjui una akili hayana faida yoyote kama huna cha kuonesha kwenye jamii, naomba tuoneshe tulichojaliwa mm na ww ili tujue nani akili kati ya mm na ww.
Ushakubali wewe ni primitive and a fool as well. Mbona unaendelea kubishana?
 
Ushakubali wewe ni primitive and a fool as well. Mbona unaendelea kubishana?
Sasa nataka kushindana na ww ambaye sio fool tuone miaka yako 37 duniani ulikuwa unafanya nn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yani unapoteza mda wako mwingi kusoma alafu upo Kenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtu kakimbia maaanina, kaenda kwa jirani kupiga picha alafu atume humu, ss mm namsubiri ili nimpige upper cut moja takatifu na hatorudia tena.
 
Back
Top Bottom