Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm ndio nina mashaka na wewe kama kweli uliwahi kupanda ndege, hapo kwenye hiyo picha uliyoweka wanakaa abiria wa departure ambao tayari washakuwa checked in, sasa what I want ni sehemu gn wanakaa abiria ambao hawajakuwa checked in, yn nataka kuona abiria ambao hawaja chekiwa wanakaa wapi?
Sasa mbona wewe hujui kuuliza swali? Lugha gongana. Sawa wacha nitafute.
 
Sasa mbona wewe hujui kuuliza swali? Lugha gongana. Sawa wacha nitafute.
Unitafutie sehemu wanayokaa reserved passengers na watu wanaosubiria arrival passengers mana hii picha imenistua sana.
tapatalk_-1412324739_512x288.jpg
 
Back
Top Bottom