Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ni mjinga sana. Unasema kwamba majengo hayajengi uchumi. Unajua kwamba kuna sector nzima ndani ya uchumi ya kila nchi inayoitwa real estate sector?
How do you expect him to know that. He should look at the different items used by governments in calculating GDP. Building and construction forms part of it
 
Nani kakuambia dala dala hazitumiki? Hapo kuna BRT inakuja hutoona huo ushuzi tena, sisi tuna akili kubwa hapa EA na ndiyo maana unaona mambo yetu yanaenda, baada ya BRT kupita hapo zen hayo mabasi hutoyaona CBD na ndipo Dar itatangazwa rasmi kuwa one of the few African cities to be organized.
Mipango ya Tz inakwenda kwa plan za mda mrefu hatukurupuki kufanya jambo ali mradi na sisi tuonekane tuko kwenye level mfano mzuri wa wakurupukaji ni BRT Kenya.
 
Ni kweli alihamisha wanyama kutoka sehemu nyingine lakini tangu awali walikuwepo, na iliitwa Burigi game reserve,ikizinguka pori la Kasindaga ambalo liko Biharamulo na Muleba, pori la Kimisi liko Karagwe.Haya mapori yote ndio yalitengeneza game reserve inayoitwa Burigi ,Wizara ya maliasili ikaipandisha hadhi na kuitwa Burigi Chato national park.

Malalamiko ya wana Biharamulo ni kwanini hifadhi iko kwao na inaitwa Chato,why isiitwe Biharamulo national park au Burigi national park?
Kuna ziwa ambalo liko Biharamulo linaitwa Ziwa Burigi. So wanyama wamekuwepo kitambo sana kabla hifadhi haijapandishwa hadhi.
Kabla ya kuitwa game reserve baada ya kuundwa Burigi hapo mwanzo haya mapori yalikuwa yanaitwa forest reserve
 
Kisumu iko na class and status, Mwanza ni mji wa kishamba in a big way kama Dar tu., 80% village look
Na ukiona vile wanakazana kulinganisha Mwanza na Mombasa! 😂 😂 😂
Mimi huwa nabaki tu nikicheka. Mwanza cbd hata huwezilinganisha na mtaa moja tu Mombasa Kama Kizingo kwa mfano
 
Wakenya mnataka kuiua dar Port kabisa ifungwe., punguzeni speedy
How can you kill Dar port na mizigo ya Nairobi tuu and to some extent Uganda. Dar port serves 8 countries with faster electric sgr compared to slower outdated sgr at mombasa port.
 
Very very old pictures, no plastic wastes in Tz nowadays, babayao255 naomba hii picha tafadhali jamaa analeta picha za enzi ya MkapaView attachment 2260631
Hako kajuaji kapumbav.
MT.PNG
 
Wewe ni mjinga sana. Unasema kwamba majengo hayajengi uchumi. Unajua kwamba kuna sector nzima ndani ya uchumi ya kila nchi inayoitwa real estate sector?
What do you expect from a guy with 68 IQ, construction sector inaajiri watu wengi sana ikiwemo bwana dyfre
 
How can you kill Dar port na mizigo ya Nairobi tuu and to some extent Uganda. Dar port serves 8 countries with faster electric sgr compared to slower outdated sgr at mombasa port.
So mombasa port serving only one hinterland- uganda handles more tonnes than dar port serving 8 hinterlands. Do you see something?
 
Tazameni jinsi wanajeshi wa DRC wanalemewa na M23 rebels. Wale rebels TPDF ilidanganya ulimwengu kwamba imewamaliza.

Ulishawahi kuwasikia M23 tena tangu wakati huo au ndio umewasikia sasa. Wafadhili wapo kufufua M23 ni kazi ndogo lakini watapigania huko north ambapo TPDF hawana jurisdiction.
 
How can you kill Dar port na mizigo ya Nairobi tuu and to some extent Uganda. Dar port serves 8 countries with faster electric sgr compared to slower outdated sgr at mombasa port.
How many tones of cargo did Dar port handle in 2021 now that it's serving 8 countries?
 
Mm kila siku humu huwa nasema kwamba value of Tanzanian projects equals to values of all projects in Kenya Uganda Rwanda Burundi DRC and Sudan combined but naonekana muongo ninaependa kuongeza chumvi. Na sasa bado nawaambia Wakunya kwamba GDP ya Tz kwa ss ni $150bn itakapofika 2025 tutakuwa tushagonga $200bn baada ya miradi ya kimkakati kuanza kufanya kazi.
 
Back
Top Bottom