Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Iko wapi marshalling yard ya sgr tanzania kando ya port? bila dude kama hili pale kilindini, sgr ya tanzania itakua ni ya kazi bure tu. mombasa mzigo unaekwa direct kutoka kwa meli hadi train wakati dar port mzigo unatolewa kwa meli unaekwa juu kwa lori ambayo inasafirisha mzigo hadi pugu alafu mzigo uingie sgr. hio ni gharama na kupoteza mda. heri uchukue mzigo wako kwa lori direct kwa port kama zamani tu. Sama boy 255


