Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Ma dictator hua na viherehere sana,asubiri anaharaka ya nn


mkuu uko na hasira sanaa leo
, naikubali wisdom yako ila wakiku chocha weee kinaumana


Ma dictator hua na viherehere sana,asubiri anaharaka ya nn


mkuu uko na hasira sanaa leo
, naikubali wisdom yako ila wakiku chocha weee kinaumana


Mkuu huo ndio ukweli, ndio mana nikasema mwenda zake alikuw anajua anacho fanya , ila naona mabovu yake ndio yamewafunika badhi ya watu humu, kiukweli kuna vitu vingi snaaa mpaka sasa vingekuwa history bila uwepo wake.Sasa Kama umeachiwa miradi mingi na pesa ni kidogo, jukumu lako Kama kiongozi ni kuongeza mapato zaidi na kubana matumizi(ikiwemo kutokuongeza mishahara), ni upuuzi Kama unajua kipato ni kidogo lakini unazidi kuongeza matumizi.
Tony, Magufuli alikua anajua ni maeneo gani angeweza kuongeza mapato nje ya Makusanyo ya TRA, nadhani ulishuhudie katika kipindi chake jinsi tulivyokua tukikamata "Kilograms of gold and Tanzanite" zilizokua zikitoroshwa nje ya nchi na kuzitaifisha, Ina maana tangu kufariki kw Magufuli watu wameacha kutorosha madini, mbona hatusikii tena kukamatwa?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Magufuli aliipendelea Chato tuseme tu ukweli. Alijenga airport kubwa, hospitali kubwa, national park ambayo amehamisha wanyama kutoka maeneo mengine na kuwaleta Chato. Sasa bado watu wanapinga kwamba Magufuli aliipendelea Chato? Mbona lipo wazi kwamba aliipendelea Chato? Mimi siishi huko lakini hata mimi naona ndani ya miaka mitano ya uongozi wake alipeleka miradi mingi huko Chato. Lakini yote tisa, kumi ni kwamba Magufuli amejenga miundo mbinu Tanzania nzima na ameibadilisha sura ya Tanzania. Kwenye kujenga miundo mbinu hana mshindani. Bado nakubali alifanya makubwa kwenye ujenzi wa miundombinu huko TZ.Anyway huko kulkua na pori kubwa lilikua useless na kuifadhi majambazi na makundi makubwa ya ngombe za wanyarwanda na wasukuma
Magufuli akaanzisha hifadhi ili kulilinda vizuri kawapa tanapa tanapa wakapeleka wanyama almost wote tuu so now ni nationalpark!!
Chato ilpata bahati ya magufuli kujenga miundo msingi mfn:hospitali ya kanda 'airport 'ofisi za kiserekali na taasisi zake 'ferry ya kisasa ni karibu na hifadhi nyingine ya rubondo island" huko biaramuro ni kijijini tuu sema eneo kubwa la hifadhi lipo upande wao je ungekua mtoa maamuzi ungefanyaje?
Usilazimishe vitu usivyovijua, kijana utaliwa kiboga .. eneo ambalo tunatengeneza viaduct ya kupeleka reli yetu bandarini ni hili hapa 👇 ..Mwisho wa SGR ya Tanzania ndio huu hapa View attachment 2254357
Ooh sawa nimeelewa.Tony usisikilize watu wanao penda habari za kuwatekenya halafu wacheke wenyewe. Passengers terminal na port ni vitu viwili tofauti. Line ya port ipo na inachepukia kabla ya kufika kwenye hiyo Passengers terminal mizigo haipiti city centre.
Hakuna hata space ya kujenga any tangible infrastructure ya kuunganisha port na SGR. Kumebana kila mahali majumba. Dar port imejaa.Duh! Yaani SGR yao haijafika kwenye port? Hahaha. Sasa itakuwa inasafirisha abiria pekee, sio mizigo?
Magu aliipendelea daresalam dodoma na mwanza ndo sehemu magu alizipendelea sana speaking of chato palkua kijijini tuu kabla ya magu lkn pia ni tanzania vilevile ultaka wawe maskini hadi lini ndo ungeridhika wao kupelekewa hospital au airport? Au veta au ferry au economy stimulation aiwahusu?Magufuli aliipendelea Chato tuseme tu ukweli. Alijenga airport kubwa, hospitali kubwa, national park ambayo amehamisha wanyama kutoka maeneo mengine na kuwaleta Chato. Sasa bado watu wanapinga kwamba Magufuli aliipendelea Chato? Mbona lipo wazi kwamba aliipendelea Chato? Mimi siishi huko lakini hata mimi naona ndani ya miaka mitano ya uongozi wake anepeleka miradi mingi huko Chato. Lakini yote tisa, kumi ni kwamba Magufuli amejenga miundo mbinu Tanzania nzima na ameibadilisha sura ya Tanzania. Kwenye kujenga miundo mbinu hana mshindani.
Alafu ielekee juu ya majumba?Usilazimishe vitu usivyovijua, kijana utaliwa kiboga .. eneo ambalo tunatengeneza viaduct ya kupeleka reli yetu bandarini ni hili hapa.. View attachment 2254374View attachment 2254375View attachment 2254376View attachment 2254377bisha tena



Daah hii nmeipenda aisee yani hawa wajuba wanataka kukusanya kodi mpaka makanisani 😅😅
Tonny kiongozi bora ni yule ambae hata nyumbani kwake yanaokana matokeo ya ubora wake katikatika uongozi, proverbs nyingi tu zimelieleza hili suala kama "Charity Biggins at home" "A man's public life reflects his private life" na misemo mingine mingi tu, hiv ungetegemea JPM alete maendeleo nchi nzima alafu nyumbani kwake kuzorote.? yani asiifanye lolote Ili anapomaliza muda wake nduguze wamtukane kwamba hakufanya lolote nyumbani kwao (kama nyerere 😂😂 I'm kidding) .?Magufuli aliipendelea Chato tuseme tu ukweli. Alijenga airport kubwa, hospitali kubwa, national park ambayo amehamisha wanyama kutoka maeneo mengine na kuwaleta Chato. Sasa bado watu wanapinga kwamba Magufuli aliipendelea Chato? Mbona lipo wazi kwamba aliipendelea Chato? Mimi siishi huko lakini hata mimi naona ndani ya miaka mitano ya uongozi wake alipeleka miradi mingi huko Chato. Lakini yote tisa, kumi ni kwamba Magufuli amejenga miundo mbinu Tanzania nzima na ameibadilisha sura ya Tanzania. Kwenye kujenga miundo mbinu hana mshindani. Bado nakubali alifanya makubwa kwenye ujenzi wa miundombinu huko TZ.
Hakuna nafasi kijana wacha kupiga domoUsilazimishe vitu usivyovijua, kijana utaliwa kiboga .. eneo ambalo tunatengeneza viaduct ya kupeleka reli yetu bandarini ni hili hapa.. View attachment 2254374View attachment 2254375View attachment 2254376View attachment 2254377bisha tena
😂😂 We jamaa sio bure ni mwehu wewe.. haya kama unaijua Tz, hii line (viaduct mpya inayoonekana ndio inaanza ujenzi) inalekea wapi.? 👇
We taahira nimekuambia Burigi Chato NP sio planted National Park, ni upgraded Game Reserves iliokua na wildlife toka awali, na bado Tanzania ina zaidi ya Game Reserves 17 zenye wanyama wengi tuMagufuli aliipendelea Chato tuseme tu ukweli. Alijenga airport kubwa, hospitali kubwa, national park ambayo amehamisha wanyama kutoka maeneo mengine na kuwaleta Chato. Sasa bado watu wanapinga kwamba Magufuli aliipendelea Chato? Mbona lipo wazi kwamba aliipendelea Chato? Mimi siishi huko lakini hata mimi naona ndani ya miaka mitano ya uongozi wake alipeleka miradi mingi huko Chato. Lakini yote tisa, kumi ni kwamba Magufuli amejenga miundo mbinu Tanzania nzima na ameibadilisha sura ya Tanzania. Kwenye kujenga miundo mbinu hana mshindani. Bado nakubali alifanya makubwa kwenye ujenzi wa miundombinu huko TZ.
Hata sasa tunawachapa hao Wakenya we msukule wa Mwendazake.kipindi cha magu kabla ya covd tulihiti our highest score revenue kwenye italii aliwezaje?
Kabla hujanijibu naomba utuwekee yale mapato tuliokia tunawachapia wakenya hapa
Hii posti inakuusu geza ulole
Zaidi ya 35% ya Tanzania ni virgin reserved area, wanakaa wanyama tu, FYI Game Reserves ni nyingi kuliko National Park, unaposema Burigi ni eneo liliopandikizwa wanyama inaonesha namna huijui TanzaniaMagufuli aliipendelea Chato tuseme tu ukweli. Alijenga airport kubwa, hospitali kubwa, national park ambayo amehamisha wanyama kutoka maeneo mengine na kuwaleta Chato. Sasa bado watu wanapinga kwamba Magufuli aliipendelea Chato? Mbona lipo wazi kwamba aliipendelea Chato? Mimi siishi huko lakini hata mimi naona ndani ya miaka mitano ya uongozi wake alipeleka miradi mingi huko Chato. Lakini yote tisa, kumi ni kwamba Magufuli amejenga miundo mbinu Tanzania nzima na ameibadilisha sura ya Tanzania. Kwenye kujenga miundo mbinu hana mshindani. Bado nakubali alifanya makubwa kwenye ujenzi wa miundombinu huko TZ.
Mtapinduka na kushangaana Sana,mtafanya kampeni za kijinga humu ndani ila mimi kamwe sitabadili msimamo nilikuwa nao kabla ya Mwendazake kuwa Rais,alipokuwa Rais na hata baada ya kufa..Yani Geza Ulole siamini kama ni wewe unaye type ..unaweza hisi account imekuwa hacked..
Wewe Geza wakusifia Kila kitu cha magu ..tena ukafanya watu wengne wampende Magu...na ulikuwa una i track na kusifia miradi yake na ndege etc
Leo unaiita vitu vyake upuuzi..
Aiseh typical ndumi la kuwili..
Magu had his mistakes lakini..una complain kama vile ulikuwa unateseka sana..wakati wake
Angalia hii video Dakika ya 3:55 👇 . Utaona viaduct anayojengwa Ili kuiunganisha reli yetu na bandari .. Cc Tony254Hakuna nafasi kijana wacha kupiga domoView attachment 2254383
Jamaa hawajui kitu kuhusu Tz lakini wanalazimisha kutuzumgumzia 😂😂😂 Wana matatizo si bureZaidi ya 35% ya Tanzania ni virgin reserved area, wanakaa wanyama tu, FYI Game Reserves ni nyingi kuliko National Park, unaposema Burigi ni eneo liliopandikizwa wanyama inaonesha namna huijui Tanzania
View attachment 2254396