Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,757
Another port loading..
Good point by the wayUi
Rironi to thika road to Marua 142+37=179km
Meanwhile eti Baba wa Afrika ni Mandela aliyesaidiwa na Nyerere kukomboa nchi yake, wazungu bhn mbwa sn.Mkuu bado hujaweka pesa Nyerere alikua anatumia kugharamia ukombozi wa nchi za kusini, sio pesa ndogo ni pesa ndefu mno billions of USD
Iko ivo kila mahali hadi danganyikaChakula na maji mzozo, basic needs struggling!
Piga hesabu $500mil ya mwaka 1978 unapata kiasi gani kwa ss ndio utapata jibu kwnn tulipoteza nafasi yetu ya u super power wa EA kwa miaka ile mpk pale Magu alipoirudisha status yetu.
Ni uthubutu wa hali juu kuvunja uhusiano na beberu mwingereza kwa maslahi ya waafrika wengine . Late mwl nyerere alikua mzalendo sanaMkuu bado hujaweka pesa Nyerere alikua anatumia kugharamia ukombozi wa nchi za kusini, sio pesa ndogo ni pesa ndefu mno billions of USD
Sasa jiulize kuna kanchi hapa EA kanaweza kutumia pesa hiyo kwenye vita kwa sasa? Hapo ndipo ujue nguvu ya Tz kiuchumi na kijeshi tangu kitambo.
Nimepita hapo , zina kuja vizuri sanaaa
Sema huyo aliyechukua video hajapatendea haki kabisa, ni kama anajifunza.Nimepita hapo , zina kuja vizuri sanaaa
Ni kweli mkuu , inaonekna bado mchanga kwenye tathiniaSema huyo aliyechukua video hajapatendea haki kabisa, ni kama anajifunza.
So unataka kutuaminisha a ring road haiwezi kuwa a dual carriageway?Watanzania hupenda ubishi za kijinga sana
So according to you a ring road is jusy a ring road and can never be a dual carriageway sio?That's a ring road in Dodoma, not a dual carriage way. Huu upuzi wa kuwadanganya wakenya akadanganye watanzania wenzake
Kenya ku raise hela kama hiyo kufanya project yoyote hawawezi hata sasa. Imagine mzigo wote huo Tz ilikuwa nao miaka hiyo.Piga hesabu $500mil ya mwaka 1978 unapata kiasi gani kwa ss ndio utapata jibu kwnn tulipoteza nafasi yetu ya u super power wa EA kwa miaka ile mpk pale Magu alipoirudisha status yetu.
Wakati wengine walikuwa wanalamba mkoloniMkuu bado hujaweka pesa Nyerere alikua anatumia kugharamia ukombozi wa nchi za kusini, sio pesa ndogo ni pesa ndefu mno billions of USD
Halafu tuko nao tunashindana nao sasa kwa vile hawana chochote cha kuonyesha!Wakati wengine walikuwa wanalamba mkoloni
$2.2b kwenye vita pekee c mchezo aisee.Kenya ku raise hela kama hiyo kufanya project yoyote hawawezi hata sasa. Imagine mzigo wote huo Tz ilikuwa nao miaka hiyo.
Sio kuvunja tu uhusiano, angalia costs za kuingiza bidhaa mafuta yakiwamo kuelekea nchi zilizokua chini ya ukoloniNi uthubutu wa hali juu kuvunja uhusiano na beberu mwingereza kwa maslahi ya waafrika wengine . Late mwl nyerere alikua mzalendo sana
Kwahiyo hapo kwa makadirio Tz ilitumia kama $10b kukomboa nchi za Afrika. Shida ya mzee wetu yule hakuwa ana claim anything in return.Sio kuvunja tu uhusiano, angalia costs za kuingiza bidhaa mafuta yakiwamo kuelekea nchi zilizokua chini ya ukoloni
Zimbabwe na South Africa zilikua zinatumia bandari ya Tanzania kuingiza materials zilizotumika kwenye harakati za ukombozi sababu bandari zote nyingine zilikua chini ya mabeberu, gharama kubwa ya kusafirisha mali hizo ni Tanzania ililipia