Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo Sabaya ni vizuri afungwe kifungo kirefu sana gerezani. Watu kama hao ni wahujumu wa uchumi. Wahujumu wa uchumi wanaoitisha wafanyibiashara hongo huko China hunyongwa. Hii ni economic crime. Hujuma dhidi ya uchumi wa Tanzania. Wafanyibiashara wanaamua kufunga biashara zao kwa sababu ya usumbufu wa mtu mmoja. Mwishowe uchumi wa Tanzania unaumia na kufifia kwa sababu ya huyo Sabaya.
Kama jambazi no 1 east africa kaachiwa na serikali ya kifisadi ya huyu mjambiani mpumbavuu kwanini unataka sabaya afungwe ....yani haachiwe baraba na yesu asurubiwe....sijui kama unamjua huyo jambazi singasinga.
 
Yaani Uganda itaingia middle-income in the next two years hata kabla ya ujenzi wa EACOP kukamilika. Yaani kilimo pekee kimewapeleka Uganda hadi middle income bila kutegemea mafuta. Kenya pia ilikuwa middle income bila kutegemea madini. Tusipuuze sector ya agriculture kwa sababu hio sector ni muhimu.
Inflow ya oil investment mbona ipo Uganda kwa muda! Hebu fanya uchunguzi refinery n oil exploration n acquisitions in Hoima around Lake Albert! Imeongiza blns of US $!
 
Kwahiyo wewe unafikiri nchi ni masikini kwa sababu ya nini au sababu ya wamachinga ....umasikini au utajili wa nchi yoyote ile ni matokeo ya wafanyakazi wa serikali
Wewe leo umeweza kuandika bila matusi hongera sana
 
Hivi unajua inflation inavyofanya kazi kweli wewe? Kama inflation rate ni 4% kwa mwaka it means ndani ya 5 years purchasing power imeporomoka kwa 20% sasa maana yake nini kwa mfanyakazi? Hii inamaana uwezo wa mfantakazi kumudu gharama za maisha umepungua kwa asilimia 20%. Ikiwa hivyo huyu mfanyakazi atafidia vipi hizi gharama za maisha zilizoongezeka kama sio kula rushwa na kulisababishia taifa hasara. Kwani hukuona report ya CAG Assad kuhusu 1.5tn unaccounted for kiufupi hiyo hela imeliwa na Taifa limepata hasara including you
Pumba! sjamaliza kusoma ata
 
Hii video nimeisikiliza na imenihuzunisha sana. Huyo Sabaya ni shetani wa aina gani? Na mbona aruhusiwe kunyanyasa wafanyibiashara namna hii?
Sabaya mtu wa hovyo sana,lakini sahivi anatia huruma japo yeye hakua na huruma kwa hawa wafanyabishara...anastahili kuendelea kupata dose
 
Inflow ya oil investment mbona ipo Uganda kwa muda! Hebu fanya uchunguzi refinery n oil exploration n acquisitions in Hoima around Lake Albert! Imeongiza blns of US $!
Wow sikuwa na habari. Wacha nitafanya uchunguzi zaidi nikipata muda.
 
hivi inanibamba sana jinsi wabongo kidogo wakiona muundo msingi una iga xpressway kwa umbali, yani inawapa afueni aisee, wanachangamka sana.!🔥 😅😅😅😅

👇🏽👇🏽
Screenshot_20220608-132700_Chrome.jpg
 
Burigi Chato Hotel U/C in Chato 82 km toka lake Burigi 16 km from Biharamulo Town!





MY TAKE
Mradi wa Tshs 11 bln bila ya ESIA!
 
hivi inanibamba sana jinsi wabongo kidogo wakiona muundo msingi una iga xpressway kwa umbali, yani inawapa afueni aisee, wanachangamka sana.!

View attachment 2254258
Imagine hapa ndio mwisho wa SGR na ndio main station. Yani danganyika hakuna mpangilio kila kitu kimechanganyikiwa. Reli haina connection ya port na marshalling yard iko 100km from Dar
 
chongchung mbona wewe ni mwehu siku zote?😂😂😂, eti clasic buses ni luxury? boss hizo si luxury buses 😂 😂 😂 😂 ., mbona ukaacha na hizi? 👇👇👇 ungejumuisha yote., cherry picking what suits your propaganda kisha unajipiga kifua😂😂😂😂😂, mko ovyo sana, hamjiamini kabisaa, lazima mtumie propaganda kujikweza, na kupotosha😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mie ndawaumbua na kuwanyoosha., jikubalini tu na muwe proud of where u are and what u have.,

Such👇👇 are not a big deal ba mzee to give u orgasms.., tuondolee ushamba😂😂
View attachment 2254170
View attachment 2254171
View attachment 2254162

View attachment 2254179
View attachment 2254111
View attachment 2254121
View attachment 2254156

View attachment 2254127
View attachment 2254112
View attachment 2254113
View attachment 2254114

RISE OF TECH-SAVVY BUSES​

How technology is changing long-distance bus transport​

Bus owners have had to adjust to the changing tastes of the millennium rider, giving modern conveniences that make the travel experience almost comparable to an aeroplane​

In Summary
• With the changing demands of modernity, bus companies plying long-distance routes have been forced to adapt to catch up with their riders’ technology
• Technologies adopted range from pneumatic doors to CCTV cameras, WiFi access to air conditioners, and in-built extinguishers operated at the touch of a button
Passengers at one of the modernised Yutong Dreamline buses, featuring tablets, WiFi, USB ports and air condition system
Passengers at one of the modernised Yutong Dreamline buses, featuring tablets, WiFi, USB ports and air condition system
Image: ANDREW KASUKU
Moments after checking in to our bus, my seatmate immediately put his phone-charging cable to a USB port at his seat. Mohammed Mustafa wanted to do a WhatsApp video call and his phone was running out of power.
The bus tablets switched on after we had left the stage. He picked his earphone and plugged it in one of the tablets fixed at the back of a chair in front of him.
Katika hizi brands kuna big Benz brand hapo kama hii? 😂😂😂
Kwanini Benz sio luxury?
FUrMCRJXoAEjrx4.jpeg
 
Wananchi wa Biharamulo wagomea jina la Burigi Chato Natioral Park! Samia awaahidi gate lao!



Sikiliza kuanzia dk 24




MY TAKE
Hizi ndo zile siasa za controversy za JPM ninazosema! Yaani siasa chafu!!

Ziwa Burigi lipo Biharamulo mkoa wa Kagera ambapo ni km 82 toka Chato (km 116 toka Chato Airport) ila imelazimishwa kuwa hifadhi Burigi Chato na gate likawekwa Chato km 82 toka ziwa Burigi na kuna mji wa Biharamulo (mkubwa zaidi ya kijiji cha Chato) ulio km 16 toka ziwa Burigi na hamna gate la kuingilia mbuga ya Burigi Chato!

Ikumbukwe mji wa Bharamulo upo chini ya km 20 kutoka Biharamulo GR na Kimisi GR halafu

Hii ni moja ya weakness ya JPM alikuwa analazimisha vitu bila maarifa ndo maana hakufanikiwa hapa hata kuanzisha mkoa wa Chato haitafanikiwa!




 
Back
Top Bottom