joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hivi Kenya Kuna Demokrasia kuizidi Tanzania?, Hata vichaa watakuchekaSo Tanzania Kuna democracy kuliko Kenya ama unaamanisha Nini? Tanzania walio Zima internet hehe Tanzania ambayo walipiga tundulisu marisasi Tanzania ambayo ilifunga tv and radio stations zisio support CCM, Tanzania ambayo Kila MTU lazima asifu serikali ukienda against unakua kama msaliti ama Tanzania ipi? Tanzania ambayo serikali inadanganya wanchi eti wanajenga Kwa pesa za ndani kumbe miradi mingi ya mikopo except the dam pekee Na dam Ni sababu walinyimwa pesa ya mikopo sababu wanajenga Kwa reserve ??? Ama Ni Tanzania ipi unasemea?



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

. 1539 km
