Mbona munatumia kuni kama road signpost? 🤣 🤣 🤣Naona unaweka mitaa yenu sasa![]()
Mbona munatumia kuni kama road signpost? 🤣 🤣 🤣Naona unaweka mitaa yenu sasa![]()
ikiwa ikulu yenyewe haina maji 😂😂Tony254 waliokuwa pipe watered wako wapi hapa? 😅😅😅
View attachment 2248729View attachment 2248730View attachment 2248731
Nani kasema za mjini? Za vijijini Tanzania zina sidewalks!Barabara za vijiji hizo. Yani our villages zikona lami.
naomba nikushauri bro kwa hapo mushakamatika kua mpole tu mzee🤣🤣 tanzania haiko nigeria sisi ni majirani zenu tunajua mpaka alama za chupi zenu so ujue kabisa watu mutawadaganya ni watu wa mbali lakini sio watanzaniaBora it tallies with what TANROADS say..,
Click each region ujionee picha kamili., mbona uandike kwa mate na wino upo? 😜😂😂😂😂
ikiwa mwanza tu inajinyea unaiwazia dar 😂😂😂😂😂😂 naona ushajua kutofautisha kati ya street na main roadMombasa ni level ya Dar wacha kujitekenya.., wameonesha barabara zote, check the key idiot 🤣 🤣 😂 😂 😂 😂
alafu TANROADS data are not limited to major roads nyambaf, tarura wana manange barabara ndogo ndogo., TANROAD is the main body kama Kenya Roads Board(KRB).., even though kuna KENHA na KURA, body ni KRB.., wacha ufala wewe, mtajua hamjui roundi hii, nyambaff😆😂😂😂😆
Hapo ni Kenya huoni mazingira ya Kenya hayo?Mbona munatumia kuni kama road signpost?![]()
![]()
![]()
Mimi hapa ni mtz namfahamu kibe, jamaa anaongea point sana. Harmonise ni bonge LA fukuswiiUkijitoa wewe ni nani mwengine anamjua huyo Andrew Kibe.? Yaye ni nani yani hata aanze kumzingumzia harmonize.? Nyie maskini wa kenya mnashida gani.?😂😂😂
Wacha kulialia, me siwezi kusaidia soja. Tafuta majirani muchangishe 140,000 au mutafute kuni. 🤣 🤣 🤣 🤣Hapo ni Kenya huoni mazingira ya Kenya hayo?
🤣 🤣 🤣 🤣 Siasa ya bongo ni ya kishamba sana. Eti huyo amepatia watu hearse. Hii lorry itakuaje hearse.🤣🤣🤣
Kijijini mno lakini wana umeme ambao Nairobi hamna 😂😂😂
Walisema..hatuwezi fanana nao....
Hizi ni za vijijini zina sidewalk mpaka street lightsBarabara za vijiji hizo. Yani our villages zikona lami.
Mambo ya kawaida sana TanzaniaBarabara za vijiji hizo. Yani our villages zikona lami.
8. Kazilambwa Chagu 40 kilometers
🛣️ 1000 km