Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wala sijasoma upumbavu wako na sisomi trust me.
We Ni utoto unakusumbua, I again repeat a president Kwanza mwenye ana surport a candidate in the coming election can not stand in a national event and lie about his achievements, tweeter ingewaka moto, the opponents wangechambua and use that against them the very next second, so kubisha facts nikama waschana wadogo Wana wivu. Sometimes hata kama Ni debate, debate maturely... I even nolonger comment much hapa coz niligundua wengi wenyu mna utoto and are not realists, when something is good just man up and say hapo Kwa roads good job then bring something you better at.. si kupinga Hadi kitu inaonekana... Roads zimejengwa Kwa wingi Sana and that all that have been to Kenya recently can attest.
 
Tony254 unataka nikutumie shillings ngapi uniletee uzinduzi wa kilometers 500 tu 2 za barabara zenu za lami 10k kilometers mlizojenga kwa miaka 8? 😂😂😂

Au mumejenga ghost roads ambazo sio mortal visible? 😅😅😅

View attachment 2248723View attachment 2248724View attachment 2248725View attachment 2248726
Hilo swali niulize Mimi and hiyo kitu unaweka ya 2017 is accurate sababu ukiskiza hotuba ya uhuru alisema in the first term they did only 3k which is accurate by that tweet after that they did the rest niambie I give you proof unyamaze urudi kunywa uji wa asubuhi .
 
Wacha ujinga. Tanzania hii ambayo ni one-party dictatorship? Nyie hamna demokrasia bali mna one party dictatorship. Ona mnamfunga jela Freeman Mbowe wa upinzani kwa madai ya Ugaidi. Mnampiga marisasi Tundu Lissu wa upinzani. Halafu David Ndii sio Mungu. Kuna mambo nakubaliana naye na kuna mambo sikubaliani naye.
Sasa mbona wale wale mliokua mkiwaita "CCM die hard" Leo wanaipinga CCM?, Sisi hatuangalii chama au kabila, mtu yeyote mwenye akili tunamuunga mkono, awe ndani au nje ya CCM, mtu yeyote Kama Hana uwezo tutampinga, awe ndani au nje ya CCM.

Kenya hamna uwezo huo wa kufikiria na kuchagua, ninyi mnakazimika kuunga mkono mtu kutoka kabila lako, au aliyependekezwa na kabila lako.

Hivi Miguna Miguna Yuko wapi hivi Sasa?, Chris Msando, Jacob Juma, Robert Aoko, Pio - Gama Pinto, Tom Mboya, na maelfu ya watu wanaozidi kuuliwa hapo Kenya na serikali yenu dhalimu ya kidikteta unataka kulinganisha na Tanzania tuliowazidi katika "democracy ranks"

Hivi nchi Kama South Africa, Sychelles, Angola, Namibia, Mauritius na Mozambique ambazo bado vyama vya ukombozi vipo madarakani utaziita hazina Demokrasia. Wacha kulinganisha nchi Kama South Africa ambayo inaongoza Afrika katika nchi zenye Demokrasia na upumbavu wenu wa ukabila eti kwa kigezo cha chama kimoja, Kenya hakuna vyama vya siasa ni mikusanyiko ya makabila kugombea vyeo vya kisiasa.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mbona wale wale mliokua mkiwaita "CCM die hard" Leo wanaipinga CCM?, Sisi hatuangalii chama au kabila, mtu yeyote mwenye akili tunamuunga mkono, awe ndani au nje ya CCM, mtu yeyote Kama Hana uwezo tutampinga, awe ndani au nje ya CCM.

Kenya hamna uwezo huo wa kufikiria na kuchagua, ninyi mnakazimika kuunga mkono mtu kutoka kabila lako, au aliyependekezwa na kabila lako.

Hivi Miguna Miguna Yuko wapi hivi Sasa?, Chris Msando, Jacob Juma, Robert Aoko, Pio - Gama Pinto, Tom Mboya, na maelfu ya watu wanaozidi kuuliwa hapo Kenya na serikali yenu dhalimu ya kidikteta unataka kulinganisha na Tanzania tuliowazidi katika "democracy ranks"

Hivi nchi Kama South Africa, Sychelles, Angola, Namibia, Mauritius na Mozambique ambazo bado vyama vya ukombozi vipo madarakani utaziita hazina Demokrasia. Wacha kulinganisha nchi Kama South Africa ambayo inaongoza Afrika katika nchi zenye Demokrasia na upumbavu wenu wa ukabila eti kwa kigezo cha chama kimoja, Kenya hakuna vyama vya siasa ni mikusanyiko ya makabila kugombea vyeo vya kisiasa.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
So Tanzania Kuna democracy kuliko Kenya ama unaamanisha Nini? Tanzania walio Zima internet hehe Tanzania ambayo walipiga tundulisu marisasi Tanzania ambayo ilifunga tv and radio stations zisio support CCM, Tanzania ambayo Kila MTU lazima asifu serikali ukienda against unakua kama msaliti ama Tanzania ipi? Tanzania ambayo serikali inadanganya wanchi eti wanajenga Kwa pesa za ndani kumbe miradi mingi ya mikopo except the dam pekee Na dam Ni sababu walinyimwa pesa ya mikopo sababu wanajenga Kwa reserve ??? Ama Ni Tanzania ipi unasemea?
 
If you can challenge WB and UN data then anything is possible. That's what I have learnt in this forum. Kila mtu anavuta upande wake
Hapa tulimaliza mchezo, watu wanavuja povu tu, let's be entertained 😂 😂 😂 😂 😂
 
l
Ukiacha hz broken za mitandaoni unazoongea ni upupu tu uliojaza kichwani, hamna kitu kabisa wewe mkalee, yn kwa akili zako fupi unataka kulinganisha Tz na Kenya kwenye suala la maji huoni haya?
It's true hatuwezi kulinganisha Kenya na Tanzania kwenye suala la maji kwa sababu Kenya is at 59% accessibility rate wakati wewe hata data ya nchi yako ndio huyajui.
 
Hapa tulimaliza mchezo, watu wanavuja povu tu, let's be entertained 😂 😂 😂 😂 😂
Hii imekuwa hekaya za abunuasi. Mtu na kende zake mbili ananiuliza if I can challenge David Ndii wakati yeye data zote tumeleta hapa za WB, UNICEF, IMF, UN and many other reputable bodies amechallenge zote! How should such a person be handled?
 
31 May 2022
Nairobi , Kenya

How Safe/Dangerous is Downtown Nairobi Kenya🇰🇪



Source : African Tigress

Comments ya hii clip tells it all, Kenya rocks despite.., yaani Tanzania mtangoja sana, every city has it's downside and nairobi isn't exceptional, big ups to African Tigress, we show kenya all sides and we still look far better than u ambao mnafichaga ukweli 😂 😂 😂 😂
 
Hii imekuwa hekaya za abunuasi. Mtu na kende zake mbili ananiuliza if I can challenge David Ndii wakati yeye data zote tumeleta hapa za WB, UNICEF, IMF, UN and many other reputable bodies amechallenge zote! How should such a person be handled?
Wamechoka hawana jibu kabisaa kwa Kenya, u see it's difficult to argue against facts, ndio wanajaribu lakini wapi!
 
Sasa mbona wale wale mliokua mkiwaita "CCM die hard" Leo wanaipinga CCM?, Sisi hatuangalii chama au kabila, mtu yeyote mwenye akili tunamuunga mkono, awe ndani au nje ya CCM, mtu yeyote Kama Hana uwezo tutampinga, awe ndani au nje ya CCM.

Kenya hamna uwezo huo wa kufikiria na kuchagua, ninyi mnakazimika kuunga mkono mtu kutoka kabila lako, au aliyependekezwa na kabila lako.

Hivi Miguna Miguna Yuko wapi hivi Sasa?, Chris Msando, Jacob Juma, Robert Aoko, Pio - Gama Pinto, Tom Mboya, na maelfu ya watu wanaozidi kuuliwa hapo Kenya na serikali yenu dhalimu ya kidikteta unataka kulinganisha na Tanzania tuliowazidi katika "democracy ranks"

Hivi nchi Kama South Africa, Sychelles, Angola, Namibia, Mauritius na Mozambique ambazo bado vyama vya ukombozi vipo madarakani utaziita hazina Demokrasia. Wacha kulinganisha nchi Kama South Africa ambayo inaongoza Afrika katika nchi zenye Demokrasia na upumbavu wenu wa ukabila eti kwa kigezo cha chama kimoja, Kenya hakuna vyama vya siasa ni mikusanyiko ya makabila kugombea vyeo vya kisiasa.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
South Africa sio one party dictatorship kwa sababu ANC katika uchaguzi uliopita wa madiwani ilipata 46% ya kura. Huko Tanzania katika uchaguzi uliopita, 90% wa MPs wanatokea chama kimoja cha kidikteta. Sasa utalinganishaje 46% ya ANC na 90% ya chama cha madikteta (CCM)?
Pili, hao sukuma gang hawaipingi CCM, wao wanampinga mama. Mama akiondoka hao sukuma gang watakuwa mstari wa mbele kusapoti rais atakayefuata. Hao Sukuma gang sio kwamba wamewacha kuwa wanachama wa ccm, wao bado ni wanachama wa CCM. Ikiwa wangekuwa wanaipinga chama cha madikteta (CCM) basi wangeondoka chamani na kuanzisha chama chao kando na kuanza kirasmi kuipinga CCM. Ila kama wangefanya hivyo basi wangepigwa marisasi sana kwa maana chama cha madikteta (CCM) huwa haipendi ushindani kutoka chama zingine. Nabakia na kauli yangu kwamba Tanzania ni one party dictatorship.

 
Wamechoka hawana jibu kabisaa kwa Kenya, u see it's difficult to argue against facts, ndio wanajaribu lakini wapi!
"Wanaboa" sana as they would say 😂
I wonder how they gain by disputing every data here. Tukiwaambia tumewaacha by far wanafaa kukubali tu. In life you can't win in everything
 
Hii Ni utoto mko nayo kupinga facts Ni ujinga inaonyesha we debating Na watu si wangwana. A president can't lie on national television Kwanza days to election that will be used to discredit his choice raila.. with road nayo Ni mingi Sana Hadi wasasa zinaendelea kujengwa everywhere in the counties
Sio cc bali ni nyinyi wenyewe vile mnalia mkiwa twitter
tapatalk_-1203061160_338x479.jpg
 
Nadhani mpaka 2030, mama atakuwa ameanza mradi wa reli ya Mtwara port-Mbamba Bay ila huwa najiuliza kama hii reli itajengwa itakuwa jambo zuri kama itakuwa Cape Gauge Railway maana ndo njia bora kuhudumia Zambia, Congo na Malawi effectively na efficiently!
Serikali inamalizia kufanya feasibility study ya sgr hakuna cha cape gage.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-090129.png
    Screenshot_20220603-090129.png
    145.5 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220603-090309.png
    Screenshot_20220603-090309.png
    67.2 KB · Views: 16
We Ni utoto unakusumbua, I again repeat a president Kwanza mwenye ana surport a candidate in the coming election can not stand in a national event and lie about his achievements, tweeter ingewaka moto, the opponents wangechambua and use that against them the very next second, so kubisha facts nikama waschana wadogo Wana wivu. Sometimes hata kama Ni debate, debate maturely... I even nolonger comment much hapa coz niligundua wengi wenyu mna utoto and are not realists, when something is good just man up and say hapo Kwa roads good job then bring something you better at.. si kupinga Hadi kitu inaonekana... Roads zimejengwa Kwa wingi Sana and that all that have been to Kenya recently can attest.
Again, sijasoma upumbavu wako.
 
Sio cc bali ni nyinyi wenyewe vile mnalia mkiwa twitter View attachment 2248801
Hadi Sasa you never noticed with Kenyans who hate the government hata ujenge Nini they will always find a thing to complain. Build them roads you will see a section complaining that we don't eat roads, bring a good education system wengine ndio Hao that it is too engaging, Mafuta inakosa worldwide wanasema uhuru ameficha mafuta... It helps sometimes to keep the government in check because anything guys complain in tweeter is picked by the main stream media's but sometimes they too much... They don't know how to appreciate, now a Tanzanian reading might think Kenya is burning but in real sense we having it better than most African countries.
 
Hizo dual wheels gharama yake ikoje? Ngoja muda ukifika tutajua ila ninaamini feasibility study itashauri Cape Gauge kama mradi utatekelezwa chini ya Mtwara Development Corridor!
Ni mwendo wa sgr tuu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-090129.png
    Screenshot_20220603-090129.png
    145.5 KB · Views: 13
  • Screenshot_20220603-090309.png
    Screenshot_20220603-090309.png
    67.2 KB · Views: 13
Back
Top Bottom