Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hali inazidi kuwa mbaya huko Kunyaland 😁😁.

Niliwaambia hakuna kitu kushusha interest rates zitafanya kushusha inflation inayosababishwa na shortage ya bidhaa ikiwemo food..

Biden Mwenyewe kanyoosha mikono na kuwaambia Americans kwamba hana cha kufanya kushusha bei ya gas na chakula afu nyie Kunyaland ndio mnajikosha kwa upumbavu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-083331.png
    Screenshot_20220603-083331.png
    120.4 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220603-083417.png
    Screenshot_20220603-083417.png
    43.5 KB · Views: 15
Mkandarasi wa Mchongo aliyeletwa na Sukuma gang kupiga pesa za baawa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-082544.png
    Screenshot_20220603-082544.png
    120.9 KB · Views: 12
Sitaki Wikipedia, nataka kutoka kwenye local newspapers, Rais ni mtu mkubwa, hawezi kwenda kuzindua kilometers 11k usiku usiku bila kuonekana 🤣🤣🤣🤣
Hii pia unapinga?
 
Mimi ninsmkubali Sana David Ndii toka zamani bila kujali mrengo wake wa kisiasa, huo upumbavu wa kuegemea mirengo ya kisiasa sisi huku Tanzania sio tatizo kubwa Kama ilivyo huko kwenu, hapa nimezungumzia Rutto na Raila na nimewaweka kundi Moja japo wapo pande mbili tofauti za kisiasa.

Jambo Moja ambalo linanisumbua Sana Kenya ni jinsi ambavyo hamtumii akili zenu katika kufikiria badala yake mnavutwa zaidi na ukabila, ukanda au vyama vya kisiasa. David Ndii ni miongoni mwa watu wenye uwezo mkubwa Sana wa Elimu na akili ya kufikiria mambo, lakini kila anapotoa maoni yake, badala ya kujadili kile alichokisema, ninyi mnapinga kwa misingi ya mirengo ya kisiasa.

Huku Tanzania wakati wa kipindi cha Magufuli, ninyi wakenya mlikua mkisema tulikua tunaunga mkono CCM, Kuna wakenya wapumbavu walikua wakisema wote waliokua wakiunga mkono utawala wa Magufuli ni "CCM die hard". Hivi Sasa walewale waliokua mliokua mkiwaita CCM die hard", wanaipinga CCM mnawaita "Sukuma gang". Hii ni kuonyesha kwamba, Tanzania hatuna huo ujinga wa kufuata mirengo ya kisiasa Kama huko kwenu, tunachofuata ni vitendo na akili ya mtu husika.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
David Ndii anafanyia Ruto kazi, wacha kujifanya know-it-all, siasa ya Kenya huijui.
 
Ukanjanja wa mwandishi hamna mahali SGR imetajwa na waziri SMZ design ya reli itajulikana feasibility study ikiisha!




 
Tanzania inatawala soko la EAC kwenye cement manufacturing..,tuna jumla ya viwanda 14,cha 15 mbioni kuanza kujengwa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220511-092312.png
    Screenshot_20220511-092312.png
    54.6 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220513-104418.png
    Screenshot_20220513-104418.png
    147 KB · Views: 18
31 May 2022
Nairobi , Kenya

How Safe/Dangerous is Downtown Nairobi Kenya



Source : African Tigress


Kwa Jinsi wanavyoongea watu wa Huu mji nilitegemea Kuendane na maneno yao.

Kwenye Video Properly marked roads ni mtihani , Full of Chaos na hii ni Jumapili je siku za kazi inakuaje. Pia inaonekana Mikokoteni inalipa maana ipo kila kona, Jiji halina Bus la maana hata moja na malori yaliyogeuzwa kubebea abiria yapo kila kona . Wana kamera barabarani ambazo zinasaidia mengi pamoja na kuweka order ila sidhani kama zinatatua mambo hayo. ( Traffic na Police wangekusanya rundo la pato kutokana na kuwaadabisha wanao sababisha kutokua na order mfano maeneo ya pedestrian na kusimamisha magari ovyo kila eneo hasa ya abiria. Moi avenue imesifiwa na mwenye video kwamba ni properly marked road lakini kwa Taifa la uchumj mzito hivyo haina maajabu yoyote.

Pia swala la ukusanyaji taka ni majanga, kuna taka kila eneo.

Ule ugonjwa wa Dar wa Machinga pembezoni mwa Barabara naona tumewaachia wao.

Naona huu mji hauheshimu hata kidogo Pedestrian, wanavuka ovyo hakuna maeneo yao muhimu ya kuvukia na wengine wanatembea juu ya Fly over .

IMG_7702.jpg

IMG_7706.jpg

IMG_7705.jpg

IMG_7710.jpg

IMG_7700.jpg

IMG_7704.jpg

IMG_7703.jpg



Machinga Kambi popote .

IMG_7685.jpg

IMG_7695.jpg



Watu wanatembea juu ya Fly over .

IMG_7686.jpg

IMG_7687.jpg

IMG_7688.jpg



Typical Third world city type with African broken streets.

IMG_7708.jpg

IMG_7695.jpg

IMG_7700.jpg

IMG_7709.jpg

IMG_7706.jpg
 
Unataka aje kwani si nakupostia roads you laughing kwani unataka Nini Tena??
Hamna barabara uliopost so far zaidi ya jubilee propaganda 🚮🚮🚮

Barabara mlizonazo ni za vumbi sio za lami
Toka lini kilometers 2000 zikawa cheap kuliko kilometers 700, inflation aside 😂😂😂😂

Mafala ya uhuru ndio mtaamini huu upuzi
Screenshot_20220602-081529.png
 
Isiolo-Moyale road ni 525 kilometres na ilizinduliwa wakati wa utawala wa Uhuru Kenyatta.
Kenyatta did not build the entire 525 KM of this road. Other phased were built by President Mwai Kibaki

Kuna phase ya Isiolo town - Merille river Bridge 136km
Turbi - Moyale 122km started in 7th November 2012 by President Mwai Kibaki

Merille river - Marsabit was also awarded in 2012

The whole conversation discussed by Kenyans as project continues with images from when it was started is in skyscrapercity from way back 2010.

Follow the link

Screenshot_20220603-100635_Brave.jpg
 
Hii pia unapinga?
Hii nimekubali, haya bado kilometers 10.5k
Najua hii ndio barabara ndefu zaidi kuwahi kujengwa Kenya nzima
 
Kenyatta did not build the entire 525 KM of this road. Other phased were built by President Mwai Kibaki

Kuna phase ya Isiolo town - Merille river Bridge 136km
Turbi - Moyale 122km started in 7th November 2012 by President Mwai Kibaki

Merille river - Marsabit was also awarded in 2012

The whole conversation discussed by Kenyans as project continues with images from when it was started is in skyscrapercity from way back 2010.

Follow the link

View attachment 2248901
You have a point but hapa tunaongea only kuhusu completion date. Uhuru commissioned the entire 500 km road once it was completed, regardless of who started it.
Cc chongchung
 
Acha udwanzi wewe hiyo ni time iliyowekwa mtandaoni and the data could be of any past years. TIme halisi ingeandikwa ndani ya hiyo taarifa usifikiri sisi ni rahisi kutuongopea kama yule mlevi anavyowaongopea kuhusu 10k road network in 3 years.
We ni fala msee, sasa si ulete list yako yenye inaonyesha habari tofauti
 
Back
Top Bottom