Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara zinajengwa bila mbwembwe ju ni shugli ya kawaida tu. Nyinyi ndio munaitaji hafla ju bado nyie ni washamba tu. 🤣 🤣 🤣
Wacha ujinga wewe, dunia nzima hamna mradi unasainiwa, unaanza kujengwa na kukamilika na kufanyiwa ufunguzi bila ya official ceremony! Labda miradi ya kimagumashi huko Kunyaland!
 
Hilo swali niulize Mimi and hiyo kitu unaweka ya 2017 is accurate sababu ukiskiza hotuba ya uhuru alisema in the first term they did only 3k which is accurate by that tweet after that they did the rest niambie I give you proof unyamaze urudi kunywa uji wa asubuhi .
Weka barabara ya 500km iliyojengwa kwa mwaka 2018/2019 na 2019/2020 tuone
 
Hii Ni utoto mko nayo kupinga facts Ni ujinga inaonyesha we debating Na watu si wangwana. A president can't lie on national television Kwanza days to election that will be used to discredit his choice raila.. with road nayo Ni mingi Sana Hadi wasasa zinaendelea kujengwa everywhere in the counties
Hapo umetuongepea wapi 47 ultra modern world class stadiums across all counties?
 
So Tanzania Kuna democracy kuliko Kenya ama unaamanisha Nini? Tanzania walio Zima internet hehe Tanzania ambayo walipiga tundulisu marisasi Tanzania ambayo ilifunga tv and radio stations zisio support CCM, Tanzania ambayo Kila MTU lazima asifu serikali ukienda against unakua kama msaliti ama Tanzania ipi? Tanzania ambayo serikali inadanganya wanchi eti wanajenga Kwa pesa za ndani kumbe miradi mingi ya mikopo except the dam pekee Na dam Ni sababu walinyimwa pesa ya mikopo sababu wanajenga Kwa reserve ??? Ama Ni Tanzania ipi unasemea?
Kwani Raila hakupigwa na kuumizwa kichwani kwenye election iliyopita? Imagine that happens to a prospective president in a democratic country
 
Mkuu chongchung hongera kwa kazi iliyotukuka ya kuwabana hawa wahuni.. ebu wape mfano..post barabara zote za bongo zilizozinduliwa kuanzia sasa kurudi nyuma hadi 2015.. post na distance.. kila unapopata nyingine, jiqoute afu jumlisha hizo distance..mwingine atakaekuquote asisahau kujumlisha distance
I challenge kenyans to do the same
I think this will take a lot of time..
Pitieni hapa kujua some of barabara zilizokuwa completed or on going
 
"Wanaboa" sana as they would say
I wonder how they gain by disputing every data here. Tukiwaambia tumewaacha by far wanafaa kukubali tu. In life you can't win in everything
Tumeleta data za WB kuhusu urefu wa barabara na pia data za Kenya road board ikionesha mtandao wa barabara ambazo ni paved Kenya ni 12k km bado mmpeginga na kushikilia alizo sema Uhuru kwa mdomo. Nani mbishi sasa kati yenu na sie mnabishia hata facts.
 
So wewe kutoka Kwa shimo yako huko Tanzania umegundua kitu hata Kenyan government officials or media haijagundua hehe okay wise man... And there is a point you missing most of the roads are for the second term which started in 2018 meaning most roads started completing from 2019, 2020 and 2021 even as we speak several roads are not done yet so Rudisha hicho kijikaratasi chako fake penye umetoa ufwate facts uwache kujiaimbiasha
Tupe budget ya serikali on roads construction kwa hiyo period uliyosema that most roads were built. Tukipata budget zake tutajiridhisha na kukubali.
 
Wacha ujinga wewe, dunia nzima hamna mradi unasainiwa, unaanza kujengwa na kukamilika na kufanyiwa ufunguzi bila ya official ceremony! Labda miradi ya kimagumashi huko Kunyaland!
Cha muhimu ni completion ceremony, hizo zingine sio lazima.
 
Usiniletee pictures za bitumen mzee kwani nani asiejua bitumen inafananaje? Leta inaugural events hizo kilometers zikizinduliwa, nataka evidence uhuru akikata utepe wa barabara za lami zenye urefu wa kilometers 11k sasa hivi
Hapo umekamata kende moja tuu wanapiga kelele je ukikamata na ya pili si itakuwa kilio kikubwa
 
I think English is the problem here read again it says embarked on the competition meaning they weren't complete but they were either on process or in plan now those are the once that have completed in 2022 those are more than 5 years since that arrival was written and Uhuru said most of the roads were done in the second term... Nini ndo hauelewi hapo??? Niletee artical ya 2022 ama 2021 ndo ukue una make sense but hizo vitu unarokota huku unakimbiza humu Ni ujinga tu hausaidii roads were built in the last 4 years first get that in your mind then now Sasa anzia hapo
Lete budget ya road sector kwahiyo last 4 years tulinganishe na ujenzi wa hizo kilometers.
 
Back
Top Bottom