Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KOT2 sio Kipevu oil jetty 2 bali ni Kipevu oil terminal 2 na imeshakamilika na mimi mwenyewe nilimwaga mapicha hapa. Kisha sikujua kwamba Watanzania walikuwa wanaimport lpg kutoka Middle-East hadi Tanga na Dar ports kisha wakifika Namanga border wanaendelea kulipa VAT ya zamani ya 8% badala ya 16%. Mwaka mmoja au miwili iliyopita Kenya iliongeza VAT on petroleum products kutoka 8% hadi 16%. Sasa swali langu ni Kama gesi zinazopitia Mombasa port zinatozwa 16% VAT mbona hizi za Namanga border zitozwe 8%? Aiseeh KRA ipo sawa na iendelee vivyo hivyo kusawazisha tozo katika border points zote.
Hivi ninyi wakenya mna matatizo gani?, Yaani kila mnalofanya kwenu mnasema ni sahihi lakini nchi zingine wakifanya kutokana na Sheria zao mnasema sio sahihi wanaichukia Kenya, mnaendelea kulialia "endlessly".

Sheria ya Tanzania ya kudhibiti magonjwa ya wanyama inasema waziwazi kwamba," Wanyama au ndege wazima "Live animals and birds" wakiingizwa nchini bila kufuata taratibu zilizopo, lazima wateketezwe. Tanzania tulipochoma vifaranga kutoka Kenya, hadi Leo bado mnaendelea kulia. Huwa ninawaita ninyi wakenya ni "Crying baby syndrome", kwamba wakati wote ninyi mpo sahihi na wengine wako "wrong"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
KOT2 sio Kipevu oil jetty 2 bali ni Kipevu oil terminal 2 na imeshakamilika na mimi mwenyewe nilimwaga mapicha hapa. Kisha sikujua kwamba Watanzania walikuwa wanaimport lpg kutoka Middle-East hadi Tanga na Dar ports kisha wakifika Namanga border wanaendelea kulipa VAT ya zamani ya 8% badala ya 16%. Mwaka mmoja au miwili iliyopita Kenya iliongeza VAT on petroleum products kutoka 8% hadi 16%. Sasa swali langu ni Kama gesi zinazopitia Mombasa port zinatozwa 16% VAT mbona hizi za Namanga border zitozwe 8%? Aiseeh KRA ipo sawa na iendelee vivyo hivyo kusawazisha tozo katika border points zote.
Kwani anayetoza hiyo 8% Namanga border ni TRA au KRA nchi ambayo mzigo unaingia?
 
Hahaha sasa Tanzania kuhandle 40% ya Kenyan lpg imports ndio inawafanya muwe regional logistics hub? What about Kenya ambayo inahandle zaidi ya 80% ya mizigo zote za Uganda? Sio lpg pekee ya Uganda bali 80% ya mizigo zote za Uganda zinapitia Mombasa port. Sasa wewe unaringa kwa sababu mnahandle 40% ya Kenyan lpg imports?
Kwani hii reginal inaundwa na Uganda pekee, Tanzania ni tegemeo kwa nchi zote ukanda huu, Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi, DRC, na Kenya & kwenye LPG, Kenya zaidi ya Uganda, ni nchi gani tena zinategemea bandari yenu?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tulijiandaa kuingia congo kiuchumi ,tulijitolea jasho na damu amani ipatikane congo na tufadi sote .....
Huu mgogoro ukikua ni lazima tutaathirika tutapiga maktym kiuchumi miaka dahali
Kagame atarush kukamata uwanda unaopakana nae na ataweza kirahisi maada ana faida kadhaa kimedani "sasa uo uwanda ndo tumepakana nao
Hivi karibuni baada ya waziri foreign rwanda kuleta ujumbe maalum kwa samia uganda kua neutral na sisi kukaa kimya sio dalili nzuri (kenya anasubiria fursa tuuapo)
Mkiru kushindwa na leo hatimae wapo Mozambique huku tukibaki salama +figisu za ndani na nje kuhusu miradi ya kimkakati vinanipa wasiwasi!!
Kagame anatakiwa akemewe vikali tsheked akalishwe chini sadly hakuna kiongozi mwenye guts
Kwa maslahi ya kiuchumi na kiusalama hatuna budi kuingilia sasa ( mulamula anafeli bigtym
*mh raisi nakuomba mteue membe kama mjumbe maalumu ataeshughulikia mgogoro huu wa rwanda na congo kwa maslah ya taifa la tanzania

Vita vinanukia sana
Membe na pk ni chui na paka
 
Mizigo ya Uganda nyie mnahandle chini ya 10%. Mizigo ya Kenya nyie mnahandle chini ya 5%. Rwanda na Burundi ni nchi ndogo sana hazina mizigo mingi. Mizigo ya South Sudan nyie mnahandle chini ya 5%.
Uganda tuna handle 22%, DRC 74%, Zambia & Malawi 80%, Rwanda na Burundi 95%

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kichapo gani bongolala wakati umeshindwa hata kuleta data ya nchi yako kuhusu water accessibility? Are you going nuts? Leta data ya nchi yako ndo uje utoe povu dwanzi wewe
Ukiacha hz broken za mitandaoni unazoongea ni upupu tu uliojaza kichwani, hamna kitu kabisa wewe mkalee, yn kwa akili zako fupi unataka kulinganisha Tz na Kenya kwenye suala la maji huoni haya?
 
Hahaha sasa Tanzania kuhandle 40% ya Kenyan lpg imports ndio inawafanya muwe regional logistics hub? What about Kenya ambayo inahandle zaidi ya 80% ya mizigo zote za Uganda? Sio lpg pekee ya Uganda bali 80% ya mizigo zote za Uganda zinapitia Mombasa port. Sasa wewe unaringa kwa sababu mnahandle 40% ya Kenyan lpg imports?
Wacha kuwa mkaidi yani nchi ina port yet neighbour ana assist by 40% of LPG impotation ? Na bila haya unalinganisha na iyo landlocked country
 
31 May 2022
Nairobi , Kenya

How Safe/Dangerous is Downtown Nairobi Kenya🇰🇪



Source : African Tigress
 
Mimi ninsmkubali Sana David Ndii toka zamani bila kujali mrengo wake wa kisiasa, huo upumbavu wa kuegemea mirengo ya kisiasa sisi huku Tanzania sio tatizo kubwa Kama ilivyo huko kwenu, hapa nimezungumzia Rutto na Raila na nimewaweka kundi Moja japo wapo pande mbili tofauti za kisiasa.

Jambo Moja ambalo linanisumbua Sana Kenya ni jinsi ambavyo hamtumii akili zenu katika kufikiria badala yake mnavutwa zaidi na ukabila, ukanda au vyama vya kisiasa. David Ndii ni miongoni mwa watu wenye uwezo mkubwa Sana wa Elimu na akili ya kufikiria mambo, lakini kila anapotoa maoni yake, badala ya kujadili kile alichokisema, ninyi mnapinga kwa misingi ya mirengo ya kisiasa.

Huku Tanzania wakati wa kipindi cha Magufuli, ninyi wakenya mlikua mkisema tulikua tunaunga mkono CCM, Kuna wakenya wapumbavu walikua wakisema wote waliokua wakiunga mkono utawala wa Magufuli ni "CCM die hard". Hivi Sasa walewale waliokua mliokua mkiwaita CCM die hard", wanaipinga CCM mnawaita "Sukuma gang". Hii ni kuonyesha kwamba, Tanzania hatuna huo ujinga wa kufuata mirengo ya kisiasa Kama huko kwenu, tunachofuata ni vitendo na akili ya mtu husika.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wacha ujinga. Tanzania hii ambayo ni one-party dictatorship? Nyie hamna demokrasia bali mna one party dictatorship. Ona mnamfunga jela Freeman Mbowe wa upinzani kwa madai ya Ugaidi. Mnampiga marisasi Tundu Lissu wa upinzani. Halafu David Ndii sio Mungu. Kuna mambo nakubaliana naye na kuna mambo sikubaliani naye.
 
Mauricio Icardi at Giraffe Manor Nairobi

FB_IMG_1654231880683.jpg
FB_IMG_1654231877926.jpg
FB_IMG_1654231874731.jpg
 
Kagombaneni na WB 😅😅😅


Wivu itawauwa hehe but that's what he said himself (uhuru) he said in his first term which ended 2017 he built 3km the rest his second term what's hard there to understand ama Ni wivu unawauwa... Do you think he can lie like that on national television bearing the fact that it's close to election and if he lies the opponent's are there to discredit ??? Where we have done well sometimes be gentle men and say good job si kupinga Kila kitu kamamachizi with roads we double you and it's a fact just say hapo tumekubali iishe kama wangwana utoto was kupinga Hadi data iko Ni ujinga
 
Ikiwabana waonyeshe barabara wanakimbia . Hawana hata barabara hata moja ya 1500km hatafu watakuambia wana barabara zenye urefu wa 23k
Hii Ni utoto mko nayo kupinga facts Ni ujinga inaonyesha we debating Na watu si wangwana. A president can't lie on national television Kwanza days to election that will be used to discredit his choice raila.. with road nayo Ni mingi Sana Hadi wasasa zinaendelea kujengwa everywhere in the counties
 
Hii ni report ya 2019
Km of roads network in Tanzania. Kwa sasa tudeal na paved roads tu

TARURA (district roads) = 2,250.69km
TANROAD (Truck & Regional) = 8,671km + 1,808km
Total of paved roads = 12,729.69 km mwaka 2019


View attachment 2247537View attachment 2247538
Mko 12k tuko 23k and Kenya Ni ndogo kuliko Tanzania. In the roads part wacheni tu. It will be foolish coz mtakua tu mnapinga facts kama waschana Wana wivu
 
Hivi ninyi wakenya mna matatizo gani?, Yaani kila mnalofanya kwenu mnasema ni sahihi lakini nchi zingine wakifanya kutokana na Sheria zao mnasema sio sahihi wanaichukia Kenya, mnaendelea kulialia "endlessly".

Sheria ya Tanzania ya kudhibiti magonjwa ya wanyama inasema waziwazi kwamba," Wanyama au ndege wazima "Live animals and birds" wakiingizwa nchini bila kufuata taratibu zilizopo, lazima wateketezwe. Tanzania tulipochoma vifaranga kutoka Kenya, hadi Leo bado mnaendelea kulia. Huwa ninawaita ninyi wakenya ni "Crying baby syndrome", kwamba wakati wote ninyi mpo sahihi na wengine wako "wrong"

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kama mlifuata sheria zenu zinazosema mchome vifaranga basi ni sawa. Ila huo sio ubinadamu. Vifaranga ni viumbe hai na kuvichoma kunaonyesha ni jinsi gani nyie mna unyama na ukatili.
 
Back
Top Bottom