chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,120
Nimemuomba anioneshe kilometers 11k za Uhuru kaingia mitini, mpaka saivi sijaoneshwa hata kilometers 500 😂😂😂😂Huwa unasema hv hv lkn huwa haurudi mbwa wewe![]()
Nimemuomba anioneshe kilometers 11k za Uhuru kaingia mitini, mpaka saivi sijaoneshwa hata kilometers 500 😂😂😂😂Huwa unasema hv hv lkn huwa haurudi mbwa wewe![]()
Shirikiana na wenzio vizuri, endelea pale walipoachia sasa 😂😂😂😂Hehehe, unajua lami ilio tandazwa North Eastern wewe? hadi Ethiopian border, kwanza ndio ilipatia Uhuru votes in 2017 kutoka hizo eneo, hawakukua wameona lami tokea independence., kalilie kwa choo, tumewaacha mbali mlidhania sisi ni wenzenu , mko down nanii 😂 😂 😂 😂 😂
Piga hawa vilaza na facts kabisa., unawaumiza sana, usiwahurumie, wazoee ukweli 😂 😂 😂 😂 😂There you go again with your old data... Hadi Sasa nakuinea huruma you so desperate to prove something that's not there lemmie update you with the new north estern roads that were completed last year, this the new look of the roadsView attachment 2248836so please don't run around bringing old data to show how desperate you are to prove useless things... North estern roads were paved that's why there is too many kms Hadi zinawashtua mnababaika Kila Mahali kama kondoo zimepoteza mfugaji![]()
Bora yoote ni paved iwe vichochoro ama highway, tunaongelea paved 23,000km, kajinyonge kama inakuuma😂😂😂😂😂Nataka barabara ndefu kuanzia angalau kilometers 100, Usiniletee vichochoro
Na hamna barabara yoyote Kenya refu kuzidi hizi highways na ulisema highways ndio 70% made paved network 😂😂😂Bora yoote ni paved iwe vichochoro ama highway, tunaomgelea paved 23,000km, kajinyonge kama inakuuma😂😂😂😂😂
Kama hiyo ni third world Dar itakua 6 world 😜 🤣 🤣 🤣🤣🤣., ama hautaki hii niweke google earth images, realtime 2022😜😆😆., minyani roundi hii haina amani, miti yoote lazima iteleze..,Kwa Jinsi wanavyoongea watu wa Huu mji nilitegemea Kuendane na maneno yao.
Kwenye Video Properly marked roads ni mtihani , Full of Chaos na hii ni Jumapili je siku za kazi inakuaje. Pia inaonekana Mikokoteni inalipa maana ipo kila kona, Jiji halina Bus la maana hata moja na malori yaliyogeuzwa kubebea abiria yapo kila kona . Wana kamera barabarani ambazo zinasaidia mengi pamoja na kuweka order ila sidhani kama zinatatua mambo hayo. ( Traffic na Police wangekusanya rundo la pato kutokana na kuwaadabisha wanao sababisha kutokua na order mfano maeneo ya pedestrian na kusimamisha magari ovyo kila eneo hasa ya abiria. Moi avenue imesifiwa na mwenye video kwamba ni properly marked road lakini kwa Taifa la uchumj mzito hivyo haina maajabu yoyote.
Pia swala la ukusanyaji taka ni majanga, kuna taka kila eneo.
Ule ugonjwa wa Dar wa Machinga pembezoni mwa Barabara naona tumewaachia wao.
Naona huu mji hauheshimu hata kidogo Pedestrian, wanavuka ovyo hakuna maeneo yao muhimu ya kuvukia na wengine wanatembea juu ya Fly over .
View attachment 2248867
View attachment 2248868
View attachment 2248869
View attachment 2248870
View attachment 2248871
View attachment 2248872
View attachment 2248873
Machinga Kambi popote .
View attachment 2248874
View attachment 2248875
Watu wanatembea juu ya Fly over .
View attachment 2248876
View attachment 2248877
View attachment 2248878
Typical Third world city type with African broken streets.
View attachment 2248883
View attachment 2248884
View attachment 2248885
View attachment 2248886
View attachment 2248887
Kwa hivyo short roads hazipaswi kuwekwa lami ama?Na hamna barabara yoyote Kenya refu kuzidi hizi highways na ulisema highways ndio 70% made paved network 😂😂😂
Hazifiki 3500 km 😅😅😅
View attachment 2249049
Sasa uwasikie wenyewe na Kiingereza chao kibovu wakisifia Nairobi utafikiri ni Tokyo fulani.




. Noma sana Mkuu.Yaani hizi barabara ni mwaka gani waliweka? ya Kisumu inaanzia Isbania border na inaishia border na south sudan sio kitale kilaza, kumbe hauna uwelewa, uko hovyo😆😆😜 ya Malindi to Bagamoyo haijajengwa ama inaendelea.., iko wapi Nairobi to Busia? Mombasa to Lamu? Mombasa to Meru to Garisa? hauwezi lolote wewe., tupe facts za Tanzania tucheke., linchi likubwa fukara🤣🤣😜😜😆😆I can bet 70% of these roads never built up by uhuru, lakini atakuambia kajenga 11k kilometers, hivi Kenya kuna longest roads nyingine tofauti na hizi?
Hata 3500 hazifiki 😂😂😂
View attachment 2248947
Si ni ukweli Dar sio slum 90%.., na Tanzania sio fukara EAC yote? ama aje soja boy?So ni uongo Kenya bado kuna njaa?
Ni uongo Kenya bado kuna slums?
Ni uongo Kenya bado kuna insecurity?
Ni uongo Kenya bado kuna ukabila?
Ni uongo Kenya kuna shida ya maji?
Ni uongo Kenya kuna shida ya umeme?
Ni uongo Kenya kuna gape kubwa la maskini na tajiri?
Ni uongo Kenya inasumbuliwa na magonjwa kuliko nchi yoyote EA?
Ni uongo Kenya kuna rushwa kuliko nchi yoyote EA?
Ni uongo uchumi wa Kenya unamilikiwa na wageni wachache?
Ni uongo Kenyatta family na wanasiasa wachache wanamiliki karibu 3/4 ya ardhi yenye rutuba Kenya?
Fikiri alafu tafakari, usiwe mjinga.
Kwa hivyo short roads hazipaswi kuwekwa lami ama?
Sasa kinawashinda nini kuleta hizo barabara hapa, yaani hata hafla za mikataba ya mkandarasi na serikali yenu hawakupiga pictures? 😂😂😂Yaani hizi barabara ni mwaka gani waliweka? ya Kisumu inaanzia Isbania border na inaishia border na south sudan sio kitale kilaza, kumbe hauna uwelewa, uko hovyo😆😆😜 ya Malindi to Bagamoyo haijajengwa ama inaendelea.., iko wapi Nairobi to Busia? Mombasa to Lamu? Mombasa to Meru to Garisa? hauwezi lolote wewe., tupe facts za Tanzania tucheke., linchi likubwa fukara🤣🤣😜😜😆😆
Unafikiria Kenya ni Tanzania kila kitu ni hafla? 😆 😆 😆 😆 ata sikumbuki outer ring ikiwa na hafla ilipojengwa.., Red hill haikua na hafla,., yaani ujenzi mingi ya barabara Kenya haina hafla, tulizoea bana, kila kitu sio mbwembwe ama sherehe shenzi type, yaani umelemewa unatafuta vijisababu uchwara, nyambaff, jipe shughli ulcers itakumaliza mzee, usife kwa pressure bure🤣😆😆😆Sasa kinawashinda nini kuleta hizo barabara hapa, yaani hata hafla za mikataba ya mkandarasi na serikali yenu hawakupiga pictures? 😂😂😂
Ulikuwa unamanisha "pia hawa vilaza hawana facts kabisa?"Piga hawa vilaza na facts kabisa., unawaumiza sana, usiwahurumie, wazoee ukweli![]()
![]()
![]()
![]()
![]()


Barabara zinajengwa bila mbwembwe ju ni shugli ya kawaida tu. Nyinyi ndio munaitaji hafla ju bado nyie ni washamba tu. 🤣 🤣 🤣Sasa kinawashinda nini kuleta hizo barabara hapa, yaani hata hafla za mikataba ya mkandarasi na serikali yenu hawakupiga pictures? 😂😂😂
Sasa you guys don't trust World Bank tena?Wivu itawauwa hehe but that's what he said himself (uhuru) he said in his first term which ended 2017 he built 3km the rest his second term what's hard there to understand ama Ni wivu unawauwa... Do you think he can lie like that on national television bearing the fact that it's close to election and if he lies the opponent's are there to discredit ??? Where we have done well sometimes be gentle men and say good job si kupinga Kila kitu kamamachizi with roads we double you and it's a fact just say hapo tumekubali iishe kama wangwana utoto was kupinga Hadi data iko Ni ujinga



This is a reputable organization they dont publish without verification.Eti a president can't lieHii Ni utoto mko nayo kupinga facts Ni ujinga inaonyesha we debating Na watu si wangwana. A president can't lie on national television Kwanza days to election that will be used to discredit his choice raila.. with road nayo Ni mingi Sana Hadi wasasa zinaendelea kujengwa everywhere in the counties


tuoneshe sasa laptops za shule nitoke hapa JF sasa hivi.