Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Britam tower on ground [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2229270
Kha! [emoji849][emoji849][emoji849] tangia huko juu nilikuwa sijakuelewa mana nilidhani ni jengo lingine la Britam limekaa tenge likitaka kudondoka, kumbe ndio hilo hilo ambalo huletwa kila siku likiwa na make up!!!

Sasa hii picha ndio imenizindua baada ya kuona uchafu kama kawaida [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wewe mtu wa routine diagnostics unajua nini zaidi ya kufuata SOPs na GCLP tuu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
SOP isikupatie pressure. Ingine ndio hiyo

IMG_20220518_200933_073.jpg


Screenshot_20220518-225005.png
 
please please i beg u 🙏🏽 The best 007, hii story za kuchongoana tuache.. sisi wote watu wazima. tujadili tu mambo ya kenya vs tz na miradi. na sio mavazi na maumbile.. tafadhali nakuomba..🙏🏽🙏🏽
You are wasting your time begging an idiot. Huyo soja The best 007 kazi yake ni rahisi sana.
 
Hapana Uhuru Kenyatta alienda kulia kwa Macron aishurutishe TOTAL wapitishe bomba Kenya lakini katoka tupu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ila hawa watu aisee,kuna wakati wanatia hasira sana ila ukishawajua hawakusumbui sana, wakati wa utekelezaji wake na baada ya kumalizika zinahitajika juhudi kubwa zaidi kuulinda lasivyo wanaweza kufanya hujuma.
 
Tanzania na Uganda watafute pesa wenyewe na WA inject kwenye mradi wa EACOP,kutegemea Hawa vibaraka wa Kunyaland hatufiki..

Watu ni wapumbavu Sana,wapi ambako kutakuwa na displacement of people?

Na hao watu si wanalipwa fidia na kutafutiwa maeneo mengine? Wanakera Sana Hawa mbwa..

Kama kuna wengine wako Tanzania hii wanaojiita NGOs watafute Nchi ya kwenda [emoji116]

View attachment 2229338
Watafute wengine lasivyo utasuasua sana.Hizi ni hujuma za maksudi.
 
Wenye akili wanachangamkia fursa ila Tanzania sasa sijui nini kinaendelea Kuhusu mamilioni ya Tani za Makaa ya Mawe tuliyonayo..

Hongera Botswana [emoji116]

View attachment 2229413
Bado tupo kwenye mpango mkakati wa kuyachimba,majadiliano yanaendelea, yataendelea siku zote hatuna haraka si unajua tena serikali haina haraka saaaaana!!!!
 
Back
Top Bottom