Shida yenu ni kuelewa lugha ya kiingereza, na tukisema hivo huwa mnafikiria ni kuringa. Language barrier inakupa Misinformation jamaa, for example ati hii article imekufanya ufikirie chinese wana take over port ya Mombasa surely..tafuta mtu wa kukutafsiria jameni usijiaibishe.
There was a roumour that the port was used as colateral, - kulikuwa na fununu kwamba port itachukuliwa na wachina kenya ikikosa kulipa loan ya SGR... First of all, Kenya haijashindwa kulipa hio loan. Secondly the romour was proven wrong...soma tena ulichotuma
View attachment 2228940