Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtanzania mwosha choo huwezi muona humu mzee [emoji23][emoji23][emoji23] watanzania wote waliomo humu ni wasomi na most of us ni bachelor degree holders tena wenye kazi za maana tu na maisha yanayoeleweka unlike you guys humu wasomi wa bachelor humu mupo wawili au wewe pekeako..
Ogopa wezi mkuu, msomi kutoka Kenya humu ni mmoja tu, wengine wote ngumbalu, wakijua broken ya kwenye mitandao basi nao wasomi.
 
NYAMHONGOLO bus terminal Mwanza, 👇ni picha za upande wa mbele tu wala sijaingia ndani.. haya waambie na wao walete NAIROBI green Park, State of art, ultra modern bus terminus 😂😂😂.. View attachment 2229358View attachment 2229360View attachment 2229361View attachment 2229365View attachment 2229366View attachment 2229367View attachment 2229368View attachment 2229369View attachment 2229370View attachment 2229371View attachment 2229372Ila mjomba aliipendelea Mwanza bhana 😅(natania), stendi kubwa za mabasi za kisasa mbili at a time, modern airport terminal, daraja la 3km juu ya maji, meli nyingi nyingi, vivuko. Ooh yes Mwanza is the capital of lake zone.. mwamba alikua ana ndoto kubwa sanaaa..
Kwenye bus stations mpo mbele. Huo ndio ukweli. Ila jina Nyamhongolo mngebadilisha 🤣 😂
 
Wewe hujanielewa, umetuonesha hivyo vyeti, lkn swali ni kwamba TUTAJUAJE NI VYAKO?

Hapa JF tunatambuana utaalam wetu kwa namna tunavyojenga hoja za kitaalam kwa umahiri na uweledi kwenye tasninia fulani.
Nilitegemea kwenye issue ya ASSETS hasa kwenye issue ya private car ya mtu angeielezea kitaalamu lakini naona hata haja scratch the surface 🤣 . so mwalimu wake alivyotaja aina za assets ndio kabaki nazo hizo hizo karuka madaraja yote hayo na mitihani kibao na mavyeti yote hayo, miaka yote hiyo bado hajaopoa chochote. Imagine na yeye akiwa mwalimu anaambukiza kila kitu kwa kizazi kifuatacho na kizazi hiko kikaambukiza hayo hayo tena yatakua yanapungua quality kwa jinsi wanavyoyapokea hayo matango kwa waliowafundisha mwanzo. Tuna majanga sana kuliko tunavyojua.
 
Soja hygiene ni muhimu tafadhali. Jaribu kusafisha kucha regularly.
Na wewe uwe unaosha soksi basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-1340197477.jpg
 
Ukitaka kuamini hii flyover haina maajabu Wakunya wote wakipost picha ya hii expressway ya mchina wanapost flyover tu, yn road ina km 27 lkn wanaweka picha ya haka kaeneo ka km7 zilizoinuka basi so km zingine 20 zilizobaki hazina maajabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom