Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtanzania mwosha choo huwezi muona humu mzee [emoji23][emoji23][emoji23] watanzania wote waliomo humu ni wasomi na most of us ni bachelor degree holders tena wenye kazi za maana tu na maisha yanayoeleweka unlike you guys humu wasomi wa bachelor humu mupo wawili au wewe pekeako..
Labda alimaanisha kwa kulinganisha na kwao kwamba mtu ako na shahada lakini anaosha vyoo kutokana na uhaba wa ajira,tofauti na huku kwetu fursa zipo nyingi.
 
Stand za kinyama kama hizi zimetapakaa Tz nzima mzee, Magu was the real deal mkuu.
Na bado hapo alikuwa na mipango mingi ya namna hiyo kwa Tanzania nzima, sijui Stend ya Moshi, Arusha na Bukoba zina hali gani sasa hivi maana kuko kimyaaa! Bora wengine Bukoba hata soko kuu ni aibu...mzee baba alikuwa na maono ya mbali sana.
 
Kuna kitu nyuma ya pazia na muda ukifika utaongea.
Wale wanaharakati wa ulaya wamelishwa matango pori na wanaharakati uchwara wa hapa jirani kuwa pipeline ita displace people na kuharibu ecosystem ya lake victoria which is rubbish. All people ambao watakuwa affected na mradi will be handsomely compensated and moved to new areas.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom