Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Chamoto jamaa wa certificate in software programming, Justinr mjamaa wa kusukuma mkokoteni na chongchung mjamaa jobless nimeshawaeleza mambo ya accounting wacheni nayo. Mnajaribu kupingana na mtu aliyesomea haya mambo hadi mwisho. I am a CPA (K). Mwanzoni mwa jina langu ninaruhusiwa kuandika neno CPA kwa sababu CPA ni title yangu ila huwa naandika Mr. kwa sababu sipendi maringo kama nyinyi. Yaani nimesomea uhasibu hadi cheti cha mwisho kabisa cha section 6 na kuhitimu. Kwa hivyo muwache kudanganya watu humu.
Eti Chamoto una-argue vitu usivyovielewa. Wewe umewahi kuunda balance sheet yoyote maishani mwako? Kama hujui vitu vipi vinafall under assets na vitu vipi vinafall under liability unafunga bakuli lako sio kutupigia makelele hapa. Na Justinr unang'ang'ana kwamba ikiwa mtu mmoja anaishi ndani ya nyumba basi hio nyumba ni liability. Plenty of brain-dead people in this forum.
View attachment 2229116
View attachment 2229073
View attachment 2229124
Cc NDINDA
joto la jiwe
😂😂😂 Tonny umejiabisha sana, mabishano ya mambo za assets na liabilities hadi umepost vyeti.? 😂😂 Nimesoma business class wakati nipo "O" level, na nimejua kuhusu assets na liabilities nikiwa form one and Two, nimejua kutengeneza balance sheet nikiwa chalii wa form 1, nimejua kutengeneza correction of Error account nikiwa chalii wa form 3.. then u ar here bragging of knowing balance sheet 😂😂😂..
 
Kenyans car [emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220122-165557.jpg
 
The old stadium with no seats [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums1634139004.jpg
 
Lupita ana uraia wa Kenya na Mexico ila Dna yake ni 100% Kenyan. Lupita ni mweusi hata kushinda wengi wetu hapa halafu hajajichibua ngozi kama Waafrika wajinga wanaopenda kujichibua ngozi ili wawe weupe zaidi. Yeye anapenda ngozi yake jinsi ilivyo na ndio maana mimi nampenda kwa sababu amejikubali na kujipenda jinsi alivyo. Huyu Lupita hana hata chembe chembe cha DNA moja cha Kimexico ndani yake, huyu ni mjaluo pure 100%. Sasa kama hupendi basi kalilie chooni.
View attachment 2227741

View attachment 2227743
View attachment 2227744

Wazazi wake ukiwaangalia unaona tu kwamba wao ni Waafrika 100% pure, hakuna chembe chembe cha Umexico ndani yao. Hawa Wajaluo ndio mnatumia nguvu nyingi kusema kwamba sio Wakenya eti kwamba ni Wamexico? Baba yake ni governor wa Kisumu county sasa hivi tunavyozungumza. Governor ni nafasi nzito sana hapa Kenya, ni kama regional commisioner (RC) huko Tanzania. Kwa hivyo baba ya Lupita ni regional commisioner wa Kisumu county. Tofauti ni kwamba hapa Kenya governor anachaguliwa na watu ila RC huko Tanzania anateuliwa na rais.
View attachment 2227747

View attachment 2227749
Kweli kabisa, huyu dada anaonekana ni mtamu. Nkitizama hayo mashavu yake usoni kuna picha fulani inanijia namna mashavu part 2 yalivyo
 
Chamoto jamaa wa certificate in software programming, Justinr mjamaa wa kusukuma mkokoteni na chongchung mjamaa jobless nimeshawaeleza mambo ya accounting wacheni nayo. Mnajaribu kupingana na mtu aliyesomea haya mambo hadi mwisho. I am a CPA (K). Mwanzoni mwa jina langu ninaruhusiwa kuandika neno CPA kwa sababu CPA ni title yangu ila huwa naandika Mr. kwa sababu sipendi maringo kama nyinyi. Yaani nimesomea uhasibu hadi cheti cha mwisho kabisa cha section 6 na kuhitimu. Kwa hivyo muwache kudanganya watu humu.
Eti Chamoto una-argue vitu usivyovielewa. Wewe umewahi kuunda balance sheet yoyote maishani mwako? Kama hujui vitu vipi vinafall under assets na vitu vipi vinafall under liability unafunga bakuli lako sio kutupigia makelele hapa. Na Justinr unang'ang'ana kwamba ikiwa mtu mmoja anaishi ndani ya nyumba basi hio nyumba ni liability. Plenty of brain-dead people in this forum.
View attachment 2229116
View attachment 2229073
View attachment 2229124
Cc NDINDA
joto la jiwe
sasa unaficha nn wakati ulishaweka vyeti vyako tukakujua mpaka jina lako? Acha utani Mr Tony ...
 
Hakuna sehemu hata moja ikakosa slums in Kunyaland, ukiona nyumba moja ya tajiri juwa kwamba kuna nyumba 100,000 za maskini pembeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220115-104953.jpg
JamiiForums-1804643573.jpg
 
Hata kwenye economics nakupiga vibaya sana. Wewe ningekuadvice uwachane na mimi tu. Mimi sio size yako. Hii ni transcript yangu ya second year nikiwa bado mwanafunzi kwenye university mwaka wa 2013. Angalia units nyingi ni za economics na accounting. Hakuna unachoweza kuniambia kwenye economics wala accounting.


View attachment 2229268

Cc Chamoto joto la jiwe eliakeem NDINDA chongchung Justinr

Sawa, umetuletea hii kitu. Lkn hatuna uhakika kama ni ya kwako. Hivyo nashauri, kila mtu aendelee kuamini anacho amini.
 
Sasa kuwa na adabu na kuanzia leo ukae ukijua mzigo wote wa Mombasa umerudi Dar port.
Wewe hakuna unachokijua bongolala. Sasa hata kama kuinterpret graphs ndio shida kwako what else do you know? Eti mathematician! 😂 😂
 
Wewe hakuna unachokijua bongolala. Sasa hata kama kuinterpret graphs ndio shida kwako what else do you know? Eti mathematician! [emoji23] [emoji23]
Nmekupiga "nice upper cut" [emoji109][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom