Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kweli kuna viongozi wa Africa ambao hawataenda mbinguni sio kwa uonevu huo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Me huwa ninadhani siyo binadamu kwa utu na moyo bali ni viumbe wengine wenye miili ya binadamu, si kwa ukatili huu.Halafu cha kushangaza utakuta pesa iliombwa na kutengwa kwa ajili ya kazi hiyo lakini wakatokea wajanja wachache wakaipiga. Ndivyo nchi zetu za kiafrika baadhi ya viongozi wetu hutufanyia.

Mtu mmoja au kikundi cha watu wachache wanaweza kuiba pesa ya kujeng vituo vya afya kadhaa wakati wanajua mahali vinapotakiwa kujengwa hakuna huduma hiyo, wamama wajawazito wanajifungua wengine wanapoteza watoto wao na hat wao wenyewe, ila hawaoni uchungu wowote watu wanavyoteseka.

Kuna baadhi ya nchi na baadhi ya viongozi wetu hawana utu wala ubinadamu hata kidogo.
 
Wale wanaharakati wa ulaya wamelishwa matango pori na wanaharakati uchwara wa hapa jirani kuwa pipeline ita displace people na kuharibu ecosystem ya lake victoria which is rubbish. All people ambao watakuwa affected na mradi will be handsomely compensated and moved to new areas.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hapo ndio ujiulize wao hawana akili kuwaza beyond the reasons? Ebu fikiria wako na shida ya mafuta na gesi lakini wanaletewa umbea eti wanakubali, hawa watu weupe sometimes huwa siwaelewi uwezo wao wa kuamua jambo.

Mrusi anawataabisha Europe kwasababu anajua wanamhitaji kwa ajili ya mafuta. Tena hakuna nchi wazito kufanya maamuzi kama Wajerumani siju wana tatizo gani.

Hata hapa Tanzania kuna miradi yao inataka au itakufa kwasababu ya uzembe wao. Kwenye ICGRL wao ndio wanaufadhili lakini mpaka tunavyoongea hivi sasa hauna muelekeo labda Serikali iingilie kati.
 
Mnasemaje?
IMG_20180516_171227.jpg
20180516_171527.jpg
IMG_20180516_171223.jpg
EFFECTS.jpg
2021-04-25.jpg
2022-05-06.jpg
2022-05-03.jpg
20220108_124548.jpg
20220108_124431 (1).jpg
 
Wamesurrender baada ya kuzungusha superpower kwa miezi mitatu.
USA walishindwa na "goat herders" kule Afghanistan after fighting 20 years., Russia imepigana only 3 months mnapiga kelele, remember, Russia is fighting with NATO behind the curtain,Ila wanatudanya kwenye media this war is Russia Vs Ukraine.
 
Kama kawaida unaonesha flyover, so road nzima ni hizo km 7 zilizoinuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
na kama kweli unaamini kuwa expressway inakimbia juu kwa juu for only 7km and not the actual 27km..! wacha tusibishane na wewe kwa sasa.. utakuja tu kuamini siku moja. bora tu bado uko hapa hapa jf. sina wasiwasi... tyme will come
 
Back
Top Bottom