The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,186
Chaya-Nyahua Road 👇
Hahaha kwa hivyo bado unaumwa kujua kwamba Kenya ina gdp kubwa kushinda yenu? Pole kwa maumivu.Mim video zozote zinatoka kenya huwa naangalia mazingira ya pemben mfano watu walivyo/walivyoovaa na magari yanayopita..hakuna siku nimepata uhalisia wa GDP yao na ninachoona kwenye hayo mazingira au hata magari yanayopita..
Hivi hii ni accredited university? Mbona sijawahi kuisikia popote?Umeficha ficha nn sasa
Date of admission 02/01/2012
Date of graduation 11/12/2015 [emoji848]
View attachment 2229294
Jahazi boti mitumbwi changanya huko [emoji1]Unknown ndio nini? Magendo?[emoji23][emoji23]
Huwa mkisikia kwamba mtu ni mchumi huwa hamtaki kuamini kabisa licha ya evidence inayowekwa. eliakeem, joto la jiwe na sasa wewe Justinr. Nimenotice huwa mnafikiri mchumi ni mungu kumbe ni mtu wa kawaida tu. Hapa Kenya kusomea degree ya uchumi unahitajika kupata grade ya B+ kwenye KCSE ambayo mimi nilipata.
Amini unachotaka.Wewe hujanielewa, umetuonesha hivyo vyeti, lkn swali ni kwamba TUTAJUAJE NI VYAKO?
Hapa JF tunatambuana utaalam wetu kwa namna tunavyojenga hoja za kitaalam kwa umahiri na uweledi kwenye tasninia fulani.
GDP yenu ni ya mchongoHahaha kwa hivyo bado unaumwa kujua kwamba Kenya ina gdp kubwa kushinda yenu? Pole kwa maumivu.
Tanzania 8,000 health facilitiesWeka data,mna Health facilities ngapi Nchi yenu yote? Nataka data sio kujichekesha hapa..
Tukitoka kwenye Afya tutakuja kwenye maji na Chakula.
Soma hiyo attachment hapo Chini,kuna ujenzi wa Hospital mpya unaendelea na Ujenzi wa Hospital nyingine ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi unaanza mwaka huu 👇
View attachment 2228930
View attachment 2228931
View attachment 2228952
Mbona unapunguza idadi? Tunazo zaidi ya 8500 na tunaendelea kujenga nyingine zaidi 👇Tanzania 8,000 health facilities
Kenya 14,000 health facilities
View attachment 2229414
View attachment 2229415
Wewe kwanza umeenda university? Tuanzie hapo. Mwosha choo kama wewe huna haki ya kuzungumza kuhusu mambo ya university na wewe mwenyewe hujafika huko.Hivi hii ni accredited university? Mbona sijawahi kuisikia popote?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mtanzania mwosha choo huwezi muona humu mzee 😂😂😂 watanzania wote waliomo humu ni wasomi na most of us ni bachelor degree holders tena wenye kazi za maana tu na maisha yanayoeleweka unlike you guys humu wasomi wa bachelor humu mupo wawili au wewe pekeako..Wewe kwanza umeenda university? Tuanzie hapo. Mwosha choo kama wewe huna haki ya kuzungumza kuhusu mambo ya university na wewe mwenyewe hujafika huko.
Hii issue ipo kama ya JNHHP
The bad thing is kenyan activists ndo wenye wivu
Duh noma mzee.NYAMHONGOLO bus terminal Mwanza, [emoji116]ni picha za upande wa mbele tu wala sijaingia ndani.. haya waambie na wao walete NAIROBI green Park, State of art, ultra modern bus terminus [emoji23][emoji23][emoji23].. View attachment 2229358View attachment 2229360View attachment 2229361View attachment 2229365View attachment 2229366View attachment 2229367View attachment 2229368View attachment 2229369View attachment 2229370View attachment 2229371View attachment 2229372Ila mjomba aliipendelea Mwanza bhana [emoji28](natania), stendi kubwa za mabasi za kisasa mbili at a time, modern airport terminal, daraja la 3km juu ya maji, meli nyingi nyingi, vivuko. Ooh yes Mwanza is the capital of lake zone.. mwamba alikua ana ndoto kubwa sanaaa..
Waambie wakuoneshe terminal yao mpya ya Kisumu airport alafu ufananishe na hii stendiNYAMHONGOLO bus terminal Mwanza, 👇ni picha za upande wa mbele tu wala sijaingia ndani.. haya waambie na wao walete NAIROBI green Park, State of art, ultra modern bus terminus 😂😂😂.. View attachment 2229358View attachment 2229360View attachment 2229361View attachment 2229365View attachment 2229366View attachment 2229367View attachment 2229368View attachment 2229369View attachment 2229370View attachment 2229371View attachment 2229372Ila mjomba aliipendelea Mwanza bhana 😅(natania), stendi kubwa za mabasi za kisasa mbili at a time, modern airport terminal, daraja la 3km juu ya maji, meli nyingi nyingi, vivuko. Ooh yes Mwanza is the capital of lake zone.. mwamba alikua ana ndoto kubwa sanaaa..
Stand za kinyama kama hizi zimetapakaa Tz nzima mzee, Magu was the real deal mkuu.NYAMHONGOLO bus terminal Mwanza, [emoji116]ni picha za upande wa mbele tu wala sijaingia ndani.. haya waambie na wao walete NAIROBI green Park, State of art, ultra modern bus terminus [emoji23][emoji23][emoji23].. View attachment 2229358View attachment 2229360View attachment 2229361View attachment 2229365View attachment 2229366View attachment 2229367View attachment 2229368View attachment 2229369View attachment 2229370View attachment 2229371View attachment 2229372Ila mjomba aliipendelea Mwanza bhana [emoji28](natania), stendi kubwa za mabasi za kisasa mbili at a time, modern airport terminal, daraja la 3km juu ya maji, meli nyingi nyingi, vivuko. Ooh yes Mwanza is the capital of lake zone.. mwamba alikua ana ndoto kubwa sanaaa..