Sasa wewe hauoni hiyo rate yenu ya kuzaliana ilivyokubwa mpaka mkawa na watoto almost a million of the same age group sitting for exam!!!!
Maana yake nini? Out of 55m kenyans; children under 18 are 27m, adults of Reproductive age 17 million the rest are old men and women. Sasa out of 17m adults of Reproductive age lets say couple pair ni 8 million sasa out of these 8 million couple pair mnazalisha watoto 800k per year ambao wanakuwa registered kwenye shule zenu in a single registration year hamuoni hiyo percentage ni kubwa sana ? Maana yake nini? Mnapigana miti sana kila mwaka mnazaliana by 10% per couple pair.
Lastly the numbers can also be explained by back log of pupils who did not attend school previously incorporated into a single registration year unless otherwise the numbers are consistent on year by year basis.
Sent from my SM-A107F using
JamiiForums mobile app