Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😅😅 You always resort to anger na matusi mkiambiwa ukweli. Hata USA in 2022 bado ina prioritize health bongo ndo nani? Ama mtafanya juju na ku prioritize witch doctors 😅😅 I won't even be surprised
Weka data,mna Health facilities ngapi Nchi yenu yote? Nataka data sio kujichekesha hapa..

Tukitoka kwenye Afya tutakuja kwenye maji na Chakula.

Soma hiyo attachment hapo Chini,kuna ujenzi wa Hospital mpya unaendelea na Ujenzi wa Hospital nyingine ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi unaanza mwaka huu 👇

Screenshot_20220516-122635.png


Screenshot_20220517-091228.png


Screenshot_20220517-220756.png
 
Dodoma inakua kwa kasi ijawahi kutokea duniani kuna miradi kama 3 hvi 4 ikikamilika itakua imeipiku mombosa ndani ya miaka 3 au 4 ijayo
Wewe unadhani Mombasa watu wamelala? Hakuna mahali panajengwa Kenya sasa hivi kushinda Mombasa. Kuna daraja nne zinajengwa Mombasa sasa hivi. Kuna ujenzi wa gati kubwa yenye capacity ya 450,000 TEUs p.a inayojengwa Mombasa port. Kuna ujenzi wa Kipevu oil terminal. Kuna ujenzi wa barabara ya leni nne ya Dongo Kundu bypass phase 2 unaoendelea. Soon ujenzi wa Dongo Kundu special economic zone (SEZ) utaanza. Sasa usifikiri kwamba Dodoma itaipita Mombasa ni kama Mombasa imelala. Kuna mambo makubwa yanafanyika Mombasa.
 
Sasa wewe hauoni hiyo rate yenu ya kuzaliana ilivyokubwa mpaka mkawa na watoto almost a million of the same age group sitting for exam!!!!

Maana yake nini? Out of 55m kenyans; children under 18 are 27m, adults of Reproductive age 17 million the rest are old men and women. Sasa out of 17m adults of Reproductive age lets say couple pair ni 8 million sasa out of these 8 million couple pair mnazalisha watoto 800k per year ambao wanakuwa registered kwenye shule zenu in a single registration year hamuoni hiyo percentage ni kubwa sana ? Maana yake nini? Mnapigana miti sana kila mwaka mnazaliana by 10% per couple pair.

Lastly the numbers can also be explained by back log of pupils who did not attend school previously incorporated into a single registration year unless otherwise the numbers are consistent on year by year basis.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wanapigana pumbu mpk kwenye recreational parks tena wazi wazi, kwnn wasiwe na rate kubwa ya infants [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sisi ndio tumeandika au ni Auditor General wenu? Huyo ndio kamtolee mapovu.
Shida yenu ni kuelewa lugha ya kiingereza, na tukisema hivo huwa mnafikiria ni kuringa. Language barrier inakupa Misinformation jamaa, for example ati hii article imekufanya ufikirie chinese wana take over port ya Mombasa surely..tafuta mtu wa kukutafsiria jameni usijiaibishe.
There was a roumour that the port was used as colateral, - kulikuwa na fununu kwamba port itachukuliwa na wachina kenya ikikosa kulipa loan ya SGR... First of all, Kenya haijashindwa kulipa hio loan. Secondly the romour was proven wrong...soma tena ulichotuma

Screenshot_20220518-095152.png
 
Shida yenu ni kuelewa lugha ya kiingereza, na tukisema hivo huwa mnafikiria ni kuringa. Language barrier inakupa Misinformation jamaa, for example ati hii article imekufanya ufikirie chinese wana take over port ya Mombasa surely..tafuta mtu wa kukutafsiria jameni usijiaibishe.
There was a roumour that the port was used as colateral, - kulikuwa na fununu kwamba port itachukuliwa na wachina kenya ikikosa kulipa loan ya SGR... First of all, Kenya haijashindwa kulipa hio loan. Secondly the romour was proven wrong...soma tena ulichotuma

View attachment 2228940
Soma statement ya mwisho kabisa ,usichukie yanayokufirahisha wewe 🤣🤣

Mombasa Port is vulnerable 😬😬😬😬
 
Endelea na historia ila kwa sasa Dar Port ipo huku imeiba mzigo wote wa Mombasa[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2228923View attachment 2228924
Soja kumbe hujui kusoma a simple bar graph data, enyewe sasa nimeamini wewe ni primary school drop out. 🤣 🤣 🤣
 
Soja kumbe hujui kusoma a simple bar graph data, enyewe sasa nimeamini wewe ni primary school drop out. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kalilie twitter [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220518-094904.jpg
Screenshot_20220518-095113.jpg
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] We google slang ni nini kwanza na uache makasiriko
Peleka mavi yako kibera, slang unaijua wewe? Wazee wa "konekshon", "edukashon" na slang wapi na wapi. Mtanzania ukimkuta anaongea kingereza basi ujue anaongea kama mzungu mwenye lugha yake co nyie wazee wa bad accent. Eti unaongea kuhusu slang yn mkunya amfunze mtz slang [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jifunze kusoma data kwanza wacha kujiaibisha [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Walai wewe ni primary school drop out if you think hii data umepost favors Dar port over Mombasaport.
Cargo yote tumeiba, mmebaki na Mitumbwi ya passengers[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom