Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The only shipyard in lake Victoria
IMG_20220518_092219.jpg
IMG_20220518_092201.jpg
 
bongolala, chakula TUNANUNUA kutoka kwenu, we don't get it for free. Chakula tunanunua as far as Mexico and Brazil so nyefnyef zako peleka Tandale

Kama viongozi wenu ndio wanatafuta matibabu chini Kenya sasa mkenya wa kawaida atatafuta matibabu gani Tanzania?

Ajira hamtupatii. We rightfully earn it coz we are an oasis of intellectuals. You should even be worried that Kenyan professionals are taking over your jobs because your education system can't produce fully baked professionals for your job market

En exclusive economy wakati wewe hata hicho kiwanja chako hapo gongo la mboto umekodishiwa na serikali!? [emoji23]

Miradi gani mnaongoza nayo. Zile za kufadhiliwa na wazungu ama? Hivyo ndivyo hiyo elimu yenu duni ya saint kayumba inavyowadanganya?

Nitajie hiyo bomba mliyobeba kutoka Kenya kupeleka Tanzania na niambie ni kiwango gani ya elimu ilitumika hapo [emoji23]

Mliiba mizigo zipi wakati hadi leo mizigo zenu mingi haswa za Zanzibar bado zinasushwa Mombasa? [emoji23]

Mliua KQ?! [emoji23] Kwa kutumia missiles au maji ya babu wa Loliondo? KQ inapaa anga za juu wakati nyinyi mmebakiza safari za ndani. Jiangalie

Wewe jinga type tu
Naona umeumia kweli kweli mpaka ukaandika insha ndefu na matusi juu, mm huwa nafurahi mkunya akipata matatizo yoyote yale kama hivi ulivyoymia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa hii insha yako sitaijibu yote mana ulivyoandika kwa kilio vyote vinaonesha uhalisia wa nilichopost. Mm nitajibu pale kwenye professional Kunyans kuajiriwa bongo na kufanya Tz kuwa kitovu cha remittance kwa Wakenya kuliko nchi yoyote Africa.

Kwanza kabisa asante kwa kukubali kwamba tunawaajiri ni the most talented and professional Kunyans, hii inamaanisha wakunya wanasoma kwa bidii ili kuja kupata nafasi ya kazi Tz, safi sana kwa kutusomeshea wataalamu na cc kuwatumia kuzalisha mali ilihali tukiwalipa ujira mdogo wanaorudisha nyumbani.

Pia nikujuze kitu ambacho hujui, ni kwamba the most talented and professional Kunyans kuajiriwa Tz haimaanishi kwamba Tz hakuna professionals, ni kama wakunya waliosoma wanapokimbilia USA, UK et al, co kwamba zile nchi hazina wasomi wabobevu bali uchumi wao unaruhusu ku accomodate domestically produced professionals and others professionals from poor countries like Kunyaland hilo ulijue kuanzia leo, sorry for disappointing you[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanafurahi kuimport matchbox na toothpaste[emoji1787]
Safi sana naona mshakubali kwamba kwa sasa Dar Port inapitisha cargo kubwa kuliko Mombasa port inayopitisha cargo ndogo ambazo ni food aid [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ndio umeumia soja. Nimekupiga na facts sasa unataka kuanza umbea. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Sina hio time.
Kwa sasa cargo iliyokuwa inaenda Mombasa imerudi Dar hata ulie haitobadili ukweli, wekeni pesa muikarabati the old Mombasa port iwe ya kisasa kama Dar port tuendeleze ushindani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naona umeumia kweli kweli mpaka ukaandika insha ndefu na matusi juu, mm huwa nafurahi mkunya akipata matatizo yoyote yale kama hivi ulivyoymia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa hii insha yako sitaijibu yote mana ulivyoandika kwa kilio vyote vinaonesha uhalisia wa nilichopost. Mm nitajibu pale kwenye professional Kunyans kuajiriwa bongo na kufanya Tz kuwa kitovu cha remittance kwa Wakenya kuliko nchi yoyote Africa.

Kwanza kabisa asante kwa kukubali kwamba tunawaajiri ni the most talented and professional Kunyans, hii inamaanisha wakunya wanasoma kwa bidii ili kuja kupata nafasi ya kazi Tz, safi sana kwa kutusomeshea wataalamu na cc kuwatumia kuzalisha mali ilihali tukiwalipa ujira mdogo wanaorudisha nyumbani.

Pia nikujuze kitu ambacho hujui, ni kwamba the most talented and professional Kunyans kuajiriwa Tz haimaanishi kwamba Tz hakuna professionals, ni kama wakunya waliosoma wanapokimbilia USA, UK et al, co kwamba zile nchi hazina wasomi wabobevu bali uchumi wao unaruhusu ku accomodate domestically produced professionals and others professionals from poor countries like Kunyaland hilo ulijue kuanzia leo, sorry for disappointing you[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huyo huwa akiwa anaandika utakuta machozi yanamlenga lenga. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Endelea na historia ila kwa sasa Dar Port ipo huku imeiba mzigo wote wa Mombasa[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2228923View attachment 2228924
Enyewe ujinga wenu iko kwenye DNA. So bongolala you can't even interpret graphs? Can't you see that hiyo graph ya Mombasa imeanzia 0-45 while ya Dar imeanzia 0-21? What does that tell you? It simply means that Dar port is handling half of what Mombasa port is handling (21 inaingia ndani ya 45 mara mbili hadi ubakishe change).

Alafu tukisema wengi wenu hamjasoma mnaona ni madharau
 
Enyewe ujinga wenu iko kwenye DNA. So bongolala you can't even interpret graphs? Can't you see that hiyo graph ya Mombasa imeanzia 0-45 while ya Dar imeanzia 0-21? What does that tell you? It simply means that Dar port is handling half of what Mombasa port is handling (21 inaingia ndani ya 45 mara mbili hadi ubakishe change).

Alafu tukisema wengi wenu hamjasoma mnaona ni madharau
Heheheheeee nimekamata ngumbalu, hivi wewe uliyesomea masomo ya arts unataka kushindana na mm niliyesoma pure mathematics? Haya twende sasa hyo iliyoanzia 0-45 na hyo iliyoanzia 0-21.

Kwanza kabisa nikuambie tu hyo ya Mombasa imeanza na namba kubwa kwa sababu ya Mitumbwi ya passengers, yn ili graph ipate ku accomodate hyo Mitumbwi ya passengers ni lazima ianzie na namba kubwa but hiyo haina impact yoyote kwenye number of cargo vessels arrived and departed.

Wewe hujasoma hesabu huwezi kunielewa ngoja nikueleweshe kwa vitendo, hebu angalia hyo data ya kwanza ya Mombasa port hyo data ya kijani ndio inaonesha number of cargo vessels, hapo interval ni 5 yn 20-25, do you think kwamba hyo data ya kwanza inafika hata two vessels?

Haya njoo kwenye data ya Dar port, angalia hyo data ya kwanza alafu niambie ni vessels ngapi. Nadhani ss umeelewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220518-094904.jpg
Screenshot_20220518-095113.jpg
 
Back
Top Bottom