Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shebby kwenye mavazi nakupa 10/10. Upo smart sana, Kenya tunasema umedunga vinoma. Niulize tu unatumia software gani kufunika uso? Wengine wetu pia tuna picha hatari sana ambazo tunaweza kupost humu ila mtu kama mimi mambo ya technology nipo nyuma sana. Niliona Teargas pia alitumia mbinu hii ya kufunika uso. Software gani mnatumia wadau?
Ahsante Tony254 kuna app kibao zipo playstore kama vile snap chat,cottage photo mie natumia app ya simu
 
Kabisa mkuu my favourite perfume is Channel. Naipenda sana hii kitu imetulia sana na haichoshi hata ikikaa muda mrefu. Kuna ambayo ikichanganyika na jasho.

Kweli unapenda vitu vikali Creed si haba mzee.
Blu by channel naikubali aisee wabongo tuko vizuri😁😁😁😁
 
Kwa nchi za Dunia ya tatu, kilimo ndio mfumbuzi wa matatizo ya uchumi msijidanganye, hizo high tech sectors ni hadi nchi iwe imeendelea Sana, ni sawa na kulinganisha biashara ya mazao na biashara ya dhahabu.

Biashara ya mazao ndio mkombozi wa wananchi wengi Tanzania na Afrika lakini haina faida kubwa ukilinganisha na dhahabu. Kila chenye faida kubwa kinahitaji mtaji na Elimu kubwa kukiendesha

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Tanzania tukiwekeza kwenye kilimo cha kisasa kwa ardhi tuliyo nayo na kupata masoko ya bidhaa zetu tutapiga hatua kubwa sana kiuchumi.

Nilizungumzia Ukraine kwamba wanalima sana na WFP katika ngano wanayonunua asilimia 50 ya ngano ni ya Ukraine.

Kwa nafasi tuliyonayo Tanzania tukiwekeza kilimo cha kisasa tunaweza kuilisha Afrika.

US kuwa the super power baada ya WW2 ni baada ya kubadilisha sera za uchumi wake wakawekeza kwenye kilimo intensively,nchi zinatoka kwenye vita hazina chakula hawa jamaa wakaanza kuwalisha, na hapa alipiga pesa nyingi sana.

Kama nimekosea unaweza kunikosoa mkuu.
 
kwa kweli sema kazi tu brother namaliza alafu nageuza
Saw sawa kabisa. Karibu home,home is sweet bro.Huwa ninaenjoy sana kama nimekwenda mahali halafu nikakuta kuna sehemu inafanana na mazingira ya TZ najikuta napamiss nyumbani muda huo huo.
 
Nairobi is a London to Tanzanians and that`s why wahuni like shebby01 hawataki kurudi Tanzania.

View attachment 2224606
Technically yupo Kenya kwa sababu za kikazi, sio kama Wakunya waliojazana Tanzania na mikamera yao kila kona wakishangaa maisha ya Watanzania which they never dreamed of!

Wasikilize hasa Wakunya wapo kwenye mitaa ya watu wa hali ya chini Dar lakini wanasema those people look and live richly/standards of living is high🤣

 
Unaanzaje kudownload picha za mangese kwa simu yako ama amekutuma umfanyie advertisement
Sasa niletee wapi Tanzania wamenormalize ushoga kiasi cha watu publicly kujitangaza na kuendesha harakati zao kama kunyaland, kunyaland kati Wanaume 10, 3 are publicly proud to be shogaz, huku Tanzania ukisema unaenda Mombasa kila mtu anakuangalia mara mbili mbili with side eyes, (of course the world Mombasa is synonym of sodomization) but now Nairobi is taking over, kunyaland ina sifa mbaya sana huku nawashangaaga mnavyofikiri you are anything relevant here.
 
Tanzania made

FSnhQlQXEAI5cil.jpeg


FSnhROlXEAAQed7.jpeg
 
Tanzania tukiwekeza kwenye kilimo cha kisasa kwa ardhi tuliyo nayo na kupata masoko ya bidhaa zetu tutapiga hatua kubwa sana kiuchumi.

Nilizungumzia Ukraine kwamba wanalima sana na WFP katika ngano wanayonunua asilimia 50 ya ngano ni ya Ukraine.

Kwa nafasi tuliyonayo Tanzania tukiwekeza kilimo cha kisasa tunaweza kuilisha Afrika.

US kuwa the super power baada ya WW2 ni baada ya kubadilisha sera za uchumi wake wakawekeza kwenye kilimo intensively,nchi zinatoka kwenye vita hazina chakula hawa jamaa wakaanza kuwalisha, na hapa alipiga pesa nyingi sana.

Kama nimekosea unaweza kunikosoa mkuu.
Upo sawa mkuu, hawa wakenya tatizo lao ni kuishi maisha ya nadharia yasiyoendana kabisa na hali ya nchi Yao, utawasikia mara nyingi walitumia mifano ya nchi zilizoendelea wakilinganisha na Kenya, kwamfano, "Japan Wana madeni zaidi ya Kenya", au kwasababu nchi zilizoendelea zinawekeza zaidi kwenye "high tech sector, Kenya nao utakuta huko ndiko wanakimbilia na kuachana na sector Kama hizo za kilimo na viwanda vidogo vidogo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom