7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Nimekuelewa brother. Dah ilikuwa aibu kweli kweliWapinzani tshesekedi awakwenda nairobi akabaki uhunye tu na strategy zake za kijinga kutaka kutumia nafasi ya kujipenyeza congo



Nimekuelewa brother. Dah ilikuwa aibu kweli kweliWapinzani tshesekedi awakwenda nairobi akabaki uhunye tu na strategy zake za kijinga kutaka kutumia nafasi ya kujipenyeza congo



🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakilisha taifa kaka,bonda hao watoto
Ahsante Tony254 kuna app kibao zipo playstore kama vile snap chat,cottage photo mie natumia app ya simuShebby kwenye mavazi nakupa 10/10. Upo smart sana, Kenya tunasema umedunga vinoma. Niulize tu unatumia software gani kufunika uso? Wengine wetu pia tuna picha hatari sana ambazo tunaweza kupost humu ila mtu kama mimi mambo ya technology nipo nyuma sana. Niliona Teargas pia alitumia mbinu hii ya kufunika uso. Software gani mnatumia wadau?
🤣🤣🤣🤣kwa kweli sema kazi tu brother namaliza alafu nageuzaToroka uje kaka tukifinye nchi ya neema hii kila kitu kinapatikana kwa urahisi![]()
Blu by channel naikubali aisee wabongo tuko vizuri😁😁😁😁Kabisa mkuu my favourite perfume is Channel. Naipenda sana hii kitu imetulia sana na haichoshi hata ikikaa muda mrefu. Kuna ambayo ikichanganyika na jasho.
Kweli unapenda vitu vikali Creed si haba mzee.
😔😔😔😔😔duuuuuh haya mambo ndo yanafanya mvua inapangua 😔😔😔😔😔
Tanzania tukiwekeza kwenye kilimo cha kisasa kwa ardhi tuliyo nayo na kupata masoko ya bidhaa zetu tutapiga hatua kubwa sana kiuchumi.Kwa nchi za Dunia ya tatu, kilimo ndio mfumbuzi wa matatizo ya uchumi msijidanganye, hizo high tech sectors ni hadi nchi iwe imeendelea Sana, ni sawa na kulinganisha biashara ya mazao na biashara ya dhahabu.
Biashara ya mazao ndio mkombozi wa wananchi wengi Tanzania na Afrika lakini haina faida kubwa ukilinganisha na dhahabu. Kila chenye faida kubwa kinahitaji mtaji na Elimu kubwa kukiendesha
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Take care kaka ukipita pande za kibera hizi njemba zisije kukuotea
Bwana yule ni bonge la mshamba na mapigo yake ni ya kishambashamba tuuNilivaa tai Mwaka 2014 lakini sio kama lile jani la mgomba la yule Bwana.



Kweli kabisa. Tuko vizuri tunapenda vizuri na tunavijua na tunavimudu.Blu by channel naikubali aisee wabongo tuko vizuri![]()
Saw sawa kabisa. Karibu home,home is sweet bro.Huwa ninaenjoy sana kama nimekwenda mahali halafu nikakuta kuna sehemu inafanana na mazingira ya TZ najikuta napamiss nyumbani muda huo huo.kwa kweli sema kazi tu brother namaliza alafu nageuza
Stop quoting my posts you fuckin' idiot! play games with your fellow Kenyans not me.Hii hapana,inawapa sifa mshenzi nyie mnaolipwa salary na Serikali ila tulio kwenye sekta hiyo tunakula hasara..
Kuna njia nyingi appropriate za ku deal nalo.
Madeni ya mchina kutokana na kujenga miradi isiyoweza kuzalisha na kurudisha mikopo, Sri-Lanka na Kenya hazina tofauti katika kukopa na kujenga miradi ya hovyo, Kenya mjiandae.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Technically yupo Kenya kwa sababu za kikazi, sio kama Wakunya waliojazana Tanzania na mikamera yao kila kona wakishangaa maisha ya Watanzania which they never dreamed of!Nairobi is a London to Tanzanians and that`s why wahuni like shebby01 hawataki kurudi Tanzania.
View attachment 2224606
Ndio hapo utambue jinsi walivyo na ombwe la akili, wanapayuka GDP wakati hundreds wanakufa njaa kwenye almost each county, Mombasa pia watu wanakufa njaa, their 2nd largest city@Tony254
dyfre
Teargas
NairobiWalker
Hivi mnajisikiaje mkiwa mnaimba GDP wakati ndugu zenu wanaishi maisha haya?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa niletee wapi Tanzania wamenormalize ushoga kiasi cha watu publicly kujitangaza na kuendesha harakati zao kama kunyaland, kunyaland kati Wanaume 10, 3 are publicly proud to be shogaz, huku Tanzania ukisema unaenda Mombasa kila mtu anakuangalia mara mbili mbili with side eyes, (of course the world Mombasa is synonym of sodomization) but now Nairobi is taking over, kunyaland ina sifa mbaya sana huku nawashangaaga mnavyofikiri you are anything relevant here.Unaanzaje kudownload picha za mangese kwa simu yako ama amekutuma umfanyie advertisement
Upo sawa mkuu, hawa wakenya tatizo lao ni kuishi maisha ya nadharia yasiyoendana kabisa na hali ya nchi Yao, utawasikia mara nyingi walitumia mifano ya nchi zilizoendelea wakilinganisha na Kenya, kwamfano, "Japan Wana madeni zaidi ya Kenya", au kwasababu nchi zilizoendelea zinawekeza zaidi kwenye "high tech sector, Kenya nao utakuta huko ndiko wanakimbilia na kuachana na sector Kama hizo za kilimo na viwanda vidogo vidogo.Tanzania tukiwekeza kwenye kilimo cha kisasa kwa ardhi tuliyo nayo na kupata masoko ya bidhaa zetu tutapiga hatua kubwa sana kiuchumi.
Nilizungumzia Ukraine kwamba wanalima sana na WFP katika ngano wanayonunua asilimia 50 ya ngano ni ya Ukraine.
Kwa nafasi tuliyonayo Tanzania tukiwekeza kilimo cha kisasa tunaweza kuilisha Afrika.
US kuwa the super power baada ya WW2 ni baada ya kubadilisha sera za uchumi wake wakawekeza kwenye kilimo intensively,nchi zinatoka kwenye vita hazina chakula hawa jamaa wakaanza kuwalisha, na hapa alipiga pesa nyingi sana.
Kama nimekosea unaweza kunikosoa mkuu.
Jamaa wanataka kutumia ile vita kama fursa kwao hasa drc baada ya kujiunga eacNimekuelewa brother. Dah ilikuwa aibu kweli kweli![]()
Idiot ni baba yako,ukileta upotoshaji nitakukoti kama kawaida bwana Sukuma gang..Stop quoting my posts you fuckin' idiot! play games with your fellow Kenyans not me.