Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kabisa mkuu wakaskazini wanajibaraguza tu kwenye hili eneo. Na bado kuna mipango mizuri inakuja hapo mbeleni.
TZ inakubalika maziwa makuu mpaka SADC,jamaa wa kaskazini alijichagua mwenyewe tu awe mpatanishi mgogoro wa congo alichokipata atosahau
 
Good evening to all the witches in here. Did you know that Tanzanians view Nairobi as half London? Yes, this statement is true according to their president and the citizen themselves.

View attachment 2224581
Mtanzania akija kwako hata akukute kuko ovyo atakusifia,Mtanzania akija dukani kwako ikiwa yeye ni mteja atakuambia naomba,huo ni ukarimu wetu na kujishusha kwetu na ndiko kunakofanya tuishi kwa amani na upendo,so mama kusema hivyo wala akumaanisha ni mojawapo ya ukarimu wetu,even wewe siku ukinikaribisha hapo kibera kwenye kibanda chako cha mabati tegemea lazima nikupe hongera kwa kumiliki kibanda cha mabati
 
but for raila.. he even has a heavier uphill task, coz all his shortlisted candidates are all 100% fit for the position.! but i think he will eventualy settle on a kikuyu and not kalonzo, if he's still aspires to get full support from 'the system' or 'the deep state'.. yatafakari hayo
Pelekeni upuuzi wenu huko kwenu, badala ya kuchagua viongozi kwa kuzingatia uwezo, ninyi mnatumia kabila, tukisema kwamba ninyi ni primitive Sana, kwanini mnakasirika?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Soma taarifa uelewe. Hakuna tariff au kizuizi chochote kilichowekwa hapo. Waziri wenu wa fedha amesema kwamba Kenya imechelewa kubadilisha mfumo wa forodha (customs) na bado Kenya inatumia mfumo wa kizamani. Sasa badala nyie muulize KRA kwa nini wamechelewa kubadilisha mfumo wa forodha kulingana na makubaliano ya nchi za EAC, akina Geza Ulole wanamshauri mama vibaya kwamba afanye retaliation. Sasa mbona tatizo hili ni ndogo sana na KRA inastahili kupewa pressure ibadilishe mfumo ianze kutumia mfumo mpya. Na wala Kenya haijaweka kikwazo chochote. Hakuna tariff mpya iliyowekwa na Kenya.
Ni kawaida yenu siku zote, mkifanya ninyi lazima Kuna sababu nzuri zinazo halalisha matendo yenu, lakini nchi zingine zikifanya, hata zitoe sababu gani ninyi mnahisi kuonewa "Cry baby syndrome" and Kenya is always right while others are wrong mentality.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ila mimi japo ni mtz kura yangu nampatia Baba hustler is not my choice anaweza kuharibu pakubwa. Baba ana busara kama Kenyatta na anaweza kuendeleza aliyoacha mezani tofauti na hustler ambaye anaweza kupiga yote chini ya mtangulizi wake ili atengeneze legacy yake.

Ni mawazo yangu tu.
Mkuu, sio busara kuegemea upande mmoja katika siasa za Nchi jirani hasa nchi Kama Kenya ambayo imesambaratika kwa misingi ya ukabila.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania have been having those minerals but it still remains among the poorest and least developed nations in the world.
Unless the definition of development has changed, but the fact that in Kenya water and food are not available to majority of Kenyans, then Tanzania is far ahead of Kenya ada far as development is concern.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wacha mwenzako Shebby01 atafute pesa. Nairobi kuna pesa kwa waliosoma. Kampuni kubwa kubwa za kimataifa zipo Nairobi. Akishatengeneza pesa atakuja nyumbani kula bata.
Sasa kwanini wakenya wengi wasomi wamejazana Tanzania badala ya kubaki Nairobi Kama kweli Kuna pesa?.

Ukweli ni kwamba, Kenya economic base is very narrow, it is very thin can't absorb many people like Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli technology inalipa. Halafu kuna nchi moja hatari sana kwenye technolojia kwa jina la Taiwan. Wanaongoza duniani kwa teknolojia ya computer microchips. Hususan kampuni bingwa kwa jina la TSMC.
Kwa nchi za Dunia ya tatu, kilimo ndio mfumbuzi wa matatizo ya uchumi msijidanganye, hizo high tech sectors ni hadi nchi iwe imeendelea Sana, ni sawa na kulinganisha biashara ya mazao na biashara ya dhahabu.

Biashara ya mazao ndio mkombozi wa wananchi wengi Tanzania na Afrika lakini haina faida kubwa ukilinganisha na dhahabu. Kila chenye faida kubwa kinahitaji mtaji na Elimu kubwa kukiendesha

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mtanzania akija kwako hata akukute kuko ovyo atakusifia,Mtanzania akija dukani kwako ikiwa yeye ni mteja atakuambia naomba,huo ni ukarimu wetu na kujishusha kwetu na ndiko kunakofanya tuishi kwa amani na upendo,so mama kusema hivyo wala akumaanisha ni mojawapo ya ukarimu wetu,even wewe siku ukinikaribisha hapo kibera kwenye kibanda chako cha mabati tegemea lazima nikupe hongera kwa kumiliki kibanda cha mabati
Sahihi kabisa mkuu.Na ukipatiwa kitu huku umetoa pesa bado unasema ahsante.

Ukisema unaomba hapo Kenya unamaanisha upewe msaada au upatiwe bure. Hupewi hitaji lako labda wajue ni mtanzania.

Sina hakika kuna mtu alinambia alivyofika Nairobi akaomba aelekezwe mahali akaambiwa mpaka atoe pesa hakuna kitu cha bure.

Huku kwetu mtu yuko radhi aache shughuli zake akufikishe mahali unakwenda bure kabisa mpaka ufike.

Fahari na jadi ya mtanzania huwa ni kuona amemsaidia mtu mwenye uhitaji. Utaratibu wetu huu tuutunze na kuuenzi ni utamaduni mzuri kwa vizazi vyote.
 
Mkuu, sio busara kuegemea upande mmoja katika siasa za Nchi jirani hasa nchi Kama Kenya ambayo imesambaratika kwa misingi ya ukabila.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa mkuu,ila japo nao huwa wana upande kwenye siasa zetu . Ila nimekuelewa bila shaka sijaleta shaka kwa yoyote yule. Ahsante kwa ushauri wako.
 
Kwa suruali aliovaa isije akaliwa yeye.
Toa ushamba hapa wakunya hamjui kuvaa hamna exposure ya kutosha ikifikia issue ya kuvaa hii pamba nilio tupia hapo inaitwa street look common in uk ans europe we umekaa ngomongo huna habari🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Snapchat-329606790.jpg
Snapchat-1543688396.jpg
Snapchat-945288397.jpg
Snapchat-1178698420.jpg
 
Back
Top Bottom