Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimepata watoto wa kisomali muda huu😄😄😄View attachment 2224188
Shebby kwenye mavazi nakupa 10/10. Upo smart sana, Kenya tunasema umedunga vinoma. Niulize tu unatumia software gani kufunika uso? Wengine wetu pia tuna picha hatari sana ambazo tunaweza kupost humu ila mtu kama mimi mambo ya technology nipo nyuma sana. Niliona Teargas pia alitumia mbinu hii ya kufunika uso. Software gani mnatumia wadau?
 
Kilimo hakikupi utajiri huo unaoutazamia...Angalia kampuni ya Sumsung tu pekee yake inalipa kodi kiasi gani huko Korea, ama kampuni ya Boeing USA...wenye technology ndio wenye hela dunia ya leo
Ni kweli technology inalipa. Halafu kuna nchi moja hatari sana kwenye technolojia kwa jina la Taiwan. Wanaongoza duniani kwa teknolojia ya computer microchips. Hususan kampuni bingwa kwa jina la TSMC.
 
Aisee napenda sana kunukia vizuri mie nina collection ya colognes/perfume nne ninazo zipenda 1.creed aventus,2.amouge interlude etc.
Siunajua wabongo tunao uwezo
Kabisa mkuu my favourite perfume is Channel. Naipenda sana hii kitu imetulia sana na haichoshi hata ikikaa muda mrefu. Kuna ambayo ikichanganyika na jasho.

Kweli unapenda vitu vikali Creed si haba mzee.
 
Wanaume wengi wa Tanzania wanajulikana kwa ushoga, si unaona jamaa nguo imembana kalio.
Hawa una taarifa zao? 🙄

Screenshot_20220514-201747.png


Screenshot_20220514-201425.png
 
Juzi mama alikua uganda jana nikaona waziri wa mambo ya nje wa rwanda yuko magogoni na mama kaleta ujumbe toka kwa kagame,TZ ndio baba lao kwa huu ukanda
Kabisa mkuu wakaskazini wanajibaraguza tu kwenye hili eneo. Na bado kuna mipango mizuri inakuja hapo mbeleni.
 
Toroka uje kaka tukifinye nchi ya neema hii kila kitu kinapatikana kwa urahisi
Wacha mwenzako Shebby01 atafute pesa. Nairobi kuna pesa kwa waliosoma. Kampuni kubwa kubwa za kimataifa zipo Nairobi. Akishatengeneza pesa atakuja nyumbani kula bata.
 
Hongera kwake kwa hili.. ila hio hela haihusu mishahara yote.. ila maximum ndo hio 23% kwa mishahara ya kima cha chini.. mishahara ya juu hio % inapungua.. hatujui mwenye 1M au 3M ataongezwa kwa % ngap.

Natolea mfano mdogo.. anaelipwa kima cha chin cha 300,000 (mfano tu).. akiongezewa hio 23%, ongezeko inakuwa 69,000,
Na anaelipwa 3M.. akiongezewa hio 23% inakuwa 690,000, sasa serikal haiwezi kuongeza 690,000 kwa mtu mwenye msharaha wa 3M (hii 690,000 tayar ni mshahara wa mtu mwingine kbsa huu)

So inayojulikana ni hio 23% kwa kima cha chin.. ndo mana taarifa inasema ikiwemo 23% ya kima cha chini ..huko juu hatujui ni ngap.. inawezekana hata ikawa ni 5%

Ngoja nitoe mfano wa uongezeko la 5% kwa mtu wa msharaha wa 3M.. huyu ataongezewa 150,000..

Sasa ona tofauti.. ongezeko la 23% wa mshahara wa mwenye 300,000 ni 69,000 lkn ongezeko la 5% wa mshahara wa mwenye 3M ni 150,000 (reasonable kbs hii)

Sijui nilitaka niongeze nn lkn nadhan umeelewa kitu tayar
Me najifunza tu kwa watu ambao wako eagerly kuelimisha wengine. Nimeelewa kitu mkuu.Hapa tusubirie kwa wafanyakazi salary slips zao zitasomaje mwisho wa mwezi wa kuongezewa mshahara.
 
@Tony254 Haya yanayotokea husikii mkenya akisema lolote, lakini Tanzania ikijibu mapigo, wakenya wote wanaanza kupiga kelele, siku zote ninakuambia kwamba Kenya ndiyo nchi yenye kuanza chokochoko kwa majirani wake wote, hivi ninyi mpo na shida gani?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ubinafsi tu kaka na roho mbaya wanapoona mwenzao anaanza kufanikiwa.
 
Back
Top Bottom