The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Kwa masikio na domo lile ataishia kuwaona kwenye TvNina uhakika yule mvaa tai pana na shati jeusi tii...watoto wazuri huwa anawaonea ''viusasa''![]()







Kwa masikio na domo lile ataishia kuwaona kwenye TvNina uhakika yule mvaa tai pana na shati jeusi tii...watoto wazuri huwa anawaonea ''viusasa''![]()







Huyo naskia alikutana na dem wa singida aka data🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mmoja alituma mtu Dar huyo mtu akaishia kulowea Dar hakutuma hata picha moja mpk leo![]()
Wakishindwa kabisa inabidi wapafanye juice point itapendezaWanafikiri kujenga BRT ni lipstick na chaki kazi imeisha
Matokeo yake mpaka kesho bado wanajengaga tu
View attachment 2224300

Walijaribu kuiga Tz kujenga BRT wakadhani ni kama kula githeri matokeo yake shuzi limewatoka.Mbona mradi umesimama hela imekata au hakuna political will.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu ni kweli kabisa yaan nina siku mbili ila sina amani tayaari nimeshamis kisamvu na chakula cha mtume![]()

They have nothing to show as private property ndiyo maana wanapost picha zilizopigwa na watu wengine na c wao binafsi. Wao wana own mabuti yenye mashavu![]()



We unabisha nini hao tena original ogaden! Au ulitegemea kuona wamevaa ninja?Hakuna msomali hapo.
Natoa tuu zile habari ambazo huwa zinawakera Sukuma gang ukiwepo wewe. 😆😆😆😄Umezidi ujinga sasa, hivi kuna mtu hapendi nyongeza ya mshahara?
Hapo naona waswazi sioni wasomali.We unabisha nini hao tena original ogaden! Au ulitegemea kuona wamevaa ninja?
Jamaa yuko nyuma ya mda, ni time Traveller. Bonge la tai aisee au pastor mbwa yule![]()



Utajijua mwenyewe nina namba ya mmoja nicheki pm ila hawapendi mungiki nakupa taadhari mapema😁Hapo naona waswazi sioni wasomali.
Juzi mama alikua uganda jana nikaona waziri wa mambo ya nje wa rwanda yuko magogoni na mama kaleta ujumbe toka kwa kagame,TZ ndio baba lao kwa huu ukandaNinahisi kwasababu ya usalama hawaaminiani. Anayeaminika zaidi kwenye mikataba ni Tanzania. Hata Ug hawezi kumuamini Rwanda moja kwa moja.
Jamaa yuko nyuma ya mda, ni time Traveller. Bonge la tai aisee au pastor mbwa yule![]()
.Kwa masikio na domo lile ataishia kuwaona kwenye Tv![]()



Alafu bila noma akaipost humu![]()



🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ataishia kunyonga tu.![]()