Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii battle imeharibika kwa sababu ya upuuzi wako. Nilitegemea ulete data kwamba Tanzania ina more data centres kushinda Kenya. Kwamba data centres za Tanzania zina bigger capacity kushinda za Kenya. Kwamba Tanzania ina more fibre optic cables kushinda Kenya. Kwamba fibre optic cables za Tanzania zina bandwidth kubwa kushinda za Kenya. Kwamba Tanzania ina more smartphone users kushinda Kenya. Kwamba Tanzania ina more start-ups kushinda Kenya. Kwamba start-ups za Tanzania zinaraise more money internationally kushinda za Kenya.

Kwamba Tanzania ina more research labs kushinda Kenya. Kwamba Tanzania ina more ISPs (internet service providers) kushinda Kenya. Kwamba Tanzania ina more internet users kushinda Kenya. Kwamba Tanzania ina more mobile money users kushinda Kenya. Kwamba Tanzania ina more ICT multinational regional headquarters kushinda Kenya. Kwamba Tanzania mna a higher mobile phone penetration rate kushinda Kenya. Kwamba Tanzania mna 5G (najua hamna 5G na sisi tunayo) na kadhalika.

Lakini wewe umeharibu hii battle kwa utoto wako. Wacha mtu mwingine anayeelewa haya mambo aje tudebate. Wewe hii topic huwezani nayo napoteza muda wangu bure.
Punguza pang'ang'a, Tanzania ipo sayari nyingine tofauti

2022-5-15_9-27-55.PNG
 
wametuzidi kwa kelele fiber optic cable coverage in Kenya is a joke!
Wewe huwa unaongea bila facts kila wakati. Unaropokwa tu. Two months ago kuna fibre optic cable ililand Mombasa kisha ikaruka Tanzania na ikaland SA kisha next destination ni Nigeria. Fibre optic cable coverage in Kenya is better than Tanzania by far. Fibre optic cable soon inafika hata Turkana. Kuna fibre optic cable ambayo ujenzi wake unaendelea inayotokea Mombasa na kupitia Turkana na kuingia South Sudan.
 
Hii fibre optic cable two months ago ililand Kenya kisha ikaruka Tanzania na next destination italand South Afrika. Nyie mnarukwa na fibre optic cable kisha mnajisifu. By the way hii ndio fibre optic cable ya sita kuland Kenya. Narudia hii ni fibre optic cable ya sita kuland Kenya. Nyie mna ngapi?


Cc chongchung
Geza Ulole
 
Wewe huwa unaongea bila facts kila wakati. Unaropokwa tu. Two months ago kuna fibre optic cable ililand Mombasa kisha ikaruka Tanzania na ikaland SA kisha next destination ni Nigeria. Fibre optic cable coverage in Kenya is better than Tanzania by far. Fibre optic cable soon inafika hata Turkana. Kuna fibre optic cable ambayo ujenzi wake unaendelea inayotokea Mombasa na kupitia Turkana na kuingia South Sudan.
Ooh Yeah?



 
Mna fibre optic cables ngapi? Tuanzie hapo. Sisi tuna sita. Hii ya sita iliyoland last month ina more bandwidth kushinda hizo tano za Kenya za awali. So kwenye bandwidth pia tumewapiga.

So saivi tumepata Fibre optic cable?
You've said we never had it!
 
Tanzania hii moja ambayo banking sector ni ndogo na ICT sector is almost non-existent? Au unadhani hatuifahamu Tanzania? Nyie hamna high quality and high paying jobs nyingi. Kazi nyingi ambayo mnazo ni low paying jobs ya shambani au ya mining. Yaani kazi ngumu ya kuvunja mgongo ila inalipa mapato madogo. Banking sector na ICT sector yenu ni ndogo vibaya sana ukizilinganisha na za Kenya.
Onyesha banking sector au ICT sector hapa Africa zinachangia kiasi gani katika kutoa ajira Africa?, Unadhani hao wakenya waliopo Tanzania wanaongoza kwa kutuma remittances Kenya hapa Afrika wanafanya kazi za low pay?.

Sector ya madini hapa Tanzania pekee, imeajiri watanzania wengi na wanaopata pesa nyingi kuliko sector yenu yote ya banking na ICT kwa pamoja.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
So saivi tumepata Fibre optic cable?
You've said we never had it!
Mimi ninazungumzia idadi na capacity. Ninaposema ICT sector ya Kenya ni kubwa kushinda ya Tanzania simaanishi kwamba nyie hamna fibre optic cable, la hasha, namaanisha kwamba mna fibre optic cables chache kushinda Kenya na total bandwidth ya fibre optic cables zenu ni ndogo kushinda total bandwidth ya fibre optic cables za Kenya, kwa mfano the latest cable iliyoland Kenya ina more capacity kushinda capacity za cables tano za awali za Kenya.
 
Mnaweza kuwa na kila kitu ambacho sisi pia tunayo ila sisi tunazo kwa wingi. Hio ndio sababu ICT sector yetu ni kubwa kushinda yenu. Kwa mfano idadi ya IT research labs. Idadi ya smartphone users, idadi ya mobile money users, idadi ya start-ups, kiwango cha pesa ambayo start-ups zinaraise kimataifa. Mnaweza kuwa na haya mambo ila kwenye idadi tumewapiga.
Mimi sio mtaalamu Wala sifuatilii Sana Mambo ya IT, lakini Ninauhakika idadi ya smart phone users na mobile money users, Tanzania imeizidi Kenya, leta data tuone Kama Kenya imezidi Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Onyesha banking sector au ICT sector hapa Africa zinachangia kiasi gani katika kutua ajira Africa?, Unadhani hao wakenya waliopo Tanzania wanaongoza kwa kutuma remittances Kenya hapa Afrika wanaofanya kazi za low pay?.

Sector ya madini hapa Tanzania pekee, imeajiri watanzania wengi na wanaopata pesa nyingi kuliko sector yenu yote ya banking na ICT kwa pamoja.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hahahahaha. Hahaha. Wacha nicheke kama venye ulikuwa unacheka zamani.
 
Wewe huelewi tunamaanisha nini tunaposema kwamba sector ya ICT ya nchi fulani ni kubwa kushinda sector ya ICT ya nchi nyingine. Hapa hatuongei kuhusu ni nini hakipo katika nchi moja na kipo katika nchi nyingine. Hapa tunazungumza tu kuhusu idadi ya ICT services na infrastructure. Kwa mfano idadi ya data centres, hata idadi ya internet users, idadi ya fibre optic cables na bandwidth ya hizo cables na kadhalika. Wewe ndio huna hoja.
Wacha kutengeneza vigezo unavyotaka wewe, kitu chochote kinachohusu IT lazima kitumike ili kulinganisha ukubwa wa IT katika nchi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mimi sio mtaalamu Wala sofuatilii Sana Mambo ya IT, lakini Ninauhakika idadi ya smart phone users na mobile money users, Tanzania imeizidi Kenya, leta data tuone Kama Kenya imezidi Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Usiingilie hii battle. Hii battle ni kati yangu na chongchung ambaye sasa ameshaanza kulemewa. Anatia huruma sana. Battle ya ICT na Banks wacheni kabisa Watanzania. Niwape advice ya bure tu.
 
Back
Top Bottom